Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,633
Youtube channel yako inaitwaje mpenzi ?yeye anakuwa na phd ya makalio, kwanini asijiamini
My life is mine to remember
Youtube channel yako inaitwaje mpenzi ?yeye anakuwa na phd ya makalio, kwanini asijiamini
๐๐๐๐๐๐๐...the believe about yrself that you hold deeply in the subconscious mind have a tremendous effect on the reality you experience in your life...
...Kama mwanamke ataamini matako yake yana thamani kuliko akili yake Basi kuna uwezekano mkubwa wa akili zake zote zikaamia matakoni kichwani kukabaki matope tuu..
Mlishapendana mnatuchoshaha ha ha umenichekesha sana, afu sasa nashangaa utampenda mtu kwa ghafl hivi? Afu ilikuwa Church. Alikuwa anapitisha kisonzo cha sadaka cha ajabu nikashangaa hakupitisha upande nilipokuwepo sijui alikuwa anaogopa nn?
Uuuwi ๐๐๐๐๐Si kwamba hawana akili tu, pia hawana lolote kitandani....mizigo tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kelele moja kwa poyoyo yake, weeeeeee๐๐Mnaokota mapoyoyo vichochoroni mnakuja kutulalamikia huku, ndio Kwanza naisoma hapa sijawahi hata kusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio sahivi tunapodiscuss akili za wenye wowowo Kubwa๐๐๐๐๐๐
Sasa yeye anajisifia, umeona wapi jaman ๐๐๐๐Wewe Kagebby hutakaa ulione tako lako, ni watu ndiyo wataliona, na kukufuata fuata kama nzi hasa me'' na ofa zisizo kikomo! yaani ukienda Hosp, Dr lazima ajipendekeze, Kazini Boss hakufokei, Daladala conda atasema hatupakii ili upate seat!nk
Tako ni ua wanawake wenzio utasikia wakikumwagia misifa km hivi duu! hiki kiji-shape kingekuwa changu wangenikoma mtaani!!
AU km ni me'' una tako utasikia Mkeo anakwambia ''ungekuwa mwanamke ungeringa sana!''
Ww unaonaje hawana akili?!
Mm najua wanazo tena nyingi hasaa
MoneystarsTv, usisahau Ku subscribeYoutube channel yako inaitwaje mpenzi ?
My life is mine to remember
Aisee๐๐๐๐Mtoa post bado kuna vitu vinakanganya et akili zipi?
Za shule-kwamba hawajasoma?
Za maisha-hawajui kujitegemea ie kupambana kama ww vile unavyo jitafutia ridhiki?
Akili kila mtu anazo me nahisi wao ndo wanaakili nyingi kuliko....
Tuletee mmoja asie na akili na maarufu๐๐๐๐Wala halina ukweli, kuna madem ni wembamba kama wemba na kichwani hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala halina ukweli, kuna madem ni wembamba kama wemba na kichwani hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mm potabooo! Kiasi kwamba upepo unaweza niacha si salama.Aisee๐๐๐๐
Me nadhan wewe nawe Una wowowo kubwa sasa๐
SA kama wana akili nyingi mbona hatuoni maisha Yao yakisonga?! Wanaishia kudanya Tu mjini?!
Hii comment ni kama ya mwanafunzi wa Primary..Utotoni ulikuwa ukipigwa stiki kwenye makalio ukilia unaambiwa unapigwa ujinga wako sio wewe. So kumbe ujinga unakaa matakoni, kwa hiyo huyo dada uliekutana nae huko nyuma kajaza ujinga tu