Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,315
Silipwi, ili nakubali kazi nzuri ya Rais Magufuli
Unaudhi sana wewe unalipwa na nani? ccm? chattle?
Unaudhi sana wewe unalipwa na nani? ccm? chattle?
kwa kosa gani?
zito ni nzito kweliZitto aliwaambia NIGUSE wameufyata dadeki kina kirefu.
HahahahahHivi wewe 24/7 uko JF unaandika upuuzi utapata ujauzito lini? Tumia sehemu ya muda wako kumpatia mambo boyfriend wako la sivyo utaitwa mgumba shauri ya kuendekeza buk7
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi wa hizi propaganda za maji taka za Ndugai?Wamekula zaidi ya milion mia moja za wabunge wakaaacha kujadili bajeti wakaenda kula bata dar
Una ushahidi wa hizi propaganda za maji taka za Ndugai?
Wamekiri wapi? Weka ushahidi hapa!Wabunge wa Chadema wamekiri kupokea mamilion hayo
Mzito mjanja wakienda kumkamata anageuka anakua mjusi. Ndio maana wanaogopaZitto aliwaambia NIGUSE wameufyata dadeki kina kirefu.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa, mpaka sasa hivi hakuna mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
======
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa mpaka sasa hivi hakuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya Mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
Kamanda Mambosasa ameyabainisha hayo leo Mei 9, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama kuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwa hiyari yake kama ambavyo Jeshi la Polisi lilivyoagiza siku ya Mei 7.
"Hakuna hata mmoja aliyeripoti, inawezekana hawapo Dar es Salaam na ndiyo maana nilisema kama kuna yeyote bado yupo, na hakuna aliyepatikana pia, hatujawasaka lakini ule ulikuwa ni wito" amesema Kamanda Mambosasa.
Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa masaa 24 kwa Wabunge ambao wako Jijini humo, waondoke na kurejea Dodoma kuendelea na shughuli zao za Bunge na atakayekaidi basi atakamatwa kwa kosa la uzururaji kama wanavyokamatwa machangudoa nyakati za usiku.
Chanzo: EATV
NilisemaKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa, mpaka sasa hivi hakuna mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
======
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa mpaka sasa hivi hakuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya Mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
Kamanda Mambosasa ameyabainisha hayo leo Mei 9, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama kuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwa hiyari yake kama ambavyo Jeshi la Polisi lilivyoagiza siku ya Mei 7.
"Hakuna hata mmoja aliyeripoti, inawezekana hawapo Dar es Salaam na ndiyo maana nilisema kama kuna yeyote bado yupo, na hakuna aliyepatikana pia, hatujawasaka lakini ule ulikuwa ni wito" amesema Kamanda Mambosasa.
Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa masaa 24 kwa Wabunge ambao wako Jijini humo, waondoke na kurejea Dodoma kuendelea na shughuli zao za Bunge na atakayekaidi basi atakamatwa kwa kosa la uzururaji kama wanavyokamatwa machangudoa nyakati za usiku.
Chanzo: EATV
kosa gani wamefanya? Watanzania tusiwe wajinga hivo, huo ni upuuzi mkubwa, mtawapeleka mahakani kwa kosa gani? ni kupoteza muda na rasilimali za umma tu
Wamekiri wapi? Weka ushahidi hapa!
wakamatwe kwa kosa gani?
Sheria zipi au sheria za nani
Tena shukuru tusi lenyewe dogo tu,Mkuu acha kunitusi nitakuchukulia hatua Kali
Mambosasa alitegemea wajitokeze kuitikia wito batili? Kweli hamnazo!Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa, mpaka sasa hivi hakuna mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
======
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa mpaka sasa hivi hakuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwenye ofisi ya Mpelelezi wa kanda hiyo, kutokana na kukiuka kwa agizo la Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda, aliyewapa masaa 24 kurudi Bungeni.
Kamanda Mambosasa ameyabainisha hayo leo Mei 9, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama kuna Mbunge yeyote aliyeripoti kwa hiyari yake kama ambavyo Jeshi la Polisi lilivyoagiza siku ya Mei 7.
"Hakuna hata mmoja aliyeripoti, inawezekana hawapo Dar es Salaam na ndiyo maana nilisema kama kuna yeyote bado yupo, na hakuna aliyepatikana pia, hatujawasaka lakini ule ulikuwa ni wito" amesema Kamanda Mambosasa.
Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa masaa 24 kwa Wabunge ambao wako Jijini humo, waondoke na kurejea Dodoma kuendelea na shughuli zao za Bunge na atakayekaidi basi atakamatwa kwa kosa la uzururaji kama wanavyokamatwa machangudoa nyakati za usiku.
Chanzo: EATV