Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 637
Moja ya majukumu ya walimu ni;
1.Kufundisha wanafunzi.
2.kuandaa azimio
3.kuita majina wanafunzi.
4.kusahihisha kazi za wanafunzi
5.kuandaa andalio la somo
6.kutunga & kusahihisha mitihani
7.kuwalea wanafunzi kimwili na kiroho.
8.kusimamia miradi mbalimbali shuleni
9.kutekeleza majukumu mengine atayopangiwa na mkuu wa shule au Afisa elimu
Sasa hayo majukumu wanayopaswa kuendelea nayo kukiwa hakuna wanafunzi ni yapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Kufundisha wanafunzi.
2.kuandaa azimio
3.kuita majina wanafunzi.
4.kusahihisha kazi za wanafunzi
5.kuandaa andalio la somo
6.kutunga & kusahihisha mitihani
7.kuwalea wanafunzi kimwili na kiroho.
8.kusimamia miradi mbalimbali shuleni
9.kutekeleza majukumu mengine atayopangiwa na mkuu wa shule au Afisa elimu
Sasa hayo majukumu wanayopaswa kuendelea nayo kukiwa hakuna wanafunzi ni yapi?
Sent using Jamii Forums mobile app