Hivi vitu sio kabisaMimi bahati na sibu zinikalie mbali MI sichezagi kabisa
Ni kweli mkuu we need people to accomplish our dream. Hata kama ni hivyo ni muhimu mhusika uwepo eneo la tukio pale unapohusisha kitu kinachoamua ndoto yako kukamilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waaminifu tupo sana tu sema nyie wakuu mnawaamini masharobaro watu wa mjini maneno mengi utafikiri kameza memory cardMkuu ningependa ushauri zaidi hapo kwenye ku deal na mafundi haswa ukiwa mbali. Mimi niko Scandinavia na kwa kweli naogopa hata kutuma hela ya kununulia kiwanja achilia mbali kujenga kwa sababu nishasikia hizi habari za ndugu/ marafiki kutokuwa waaminifu. Hili limenipa wakati mgum maana nakuwa nabaki na hela mkononi tu na likizo zenyewe ni siku 25 kwa mwaka kiasi ambacho huwezi kwenda bongo na kufanya la maaana
hongera mkuuNilijiingiza kqwnye ufugaji wa kuku na nikanunua kuku wa tsh 2000,000 sikumaliza hata week mvua zikanyesha mafuriko yakasomba banda na kuku wake..... Sikukata tamaa nikanunua kiwanja sehemu nyingine nikajenga mabanda ya kisasa nikaanza na kuku wengine wa tsh 500,000 leo hii nina kuku zaidi ya 7000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa sitaki hata kuwaskia kabisa.Motivational speakers wanapoteza watu san
huyo msichana kama hajakufanyia usanii basi zoba.Nlijichanga zikafika m3 nikafungua kibanda cha tigo pes , Mpes na Airtel money nikaweka msichn apo mm nikaendelea na kaz zangu baada ya mwez faid ilikua lak moja na sabini ,,, baada ya wiki 1 mbele akatapeliwa laki 4, baada ya siku 2 tena akatapeliw lak 7,,,, nikafunga kibanda nikakiuza nikauza na lain zote nikaachan na iyo biashar sas nimeanzsh nyingine
Sent from my iPhone using JamiiForums
hapa nilipo nmechoka mpaka kucheka ila wewe umeniweza 😄 😄 😄wao wanapigwa kila siku hata simu wameuza hawana namna ya kuona huu uzi. kazi kuvaa suti za mtumba na tai ndefuu alafu wanakimbizana na daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo maisha yao sasahapa nilipo nmechoka mpaka kucheka ila wewe umeniweza
Nimecheka sana ..Nilienda ifunda tech nikiwa na div one ya 10 nikamaliza nina div 3 ya 15.
Hii ndio hasara kubwa maishani mwangu, SITOSAHAU.
Aache chai.Wewe huyo upoteze 10M mmh, una hiyo pesa? Au unahisi kasema 100,000/= ni Million 10 hizo,acha chai.
Huyo dada yako ni zaidi ya mnyama Dubu.Dada yangu mmoja(wa kufikia) alikuwa amejenga maeneo ya Ulongoni, baada ya kuona fursa kwenye ufugaji wa kuku nikamuomba nitumie kiwanja chake kwa muda kwa ajili ya kufugia. Mwenyewe hakuwa na wazo la kuki-utilize kwa namna yoyote. Akanikubalia, nika-save nikafikisha kama 2.5M, nikajenga mabanda, nikaenda kuku project nikachukua vifaranga kama 300 vya kuroiler, nikamleta mdogo wangu amemaliza form six nikampangishia chumba pale kwa dada nikamkabidhi project.
Picha linaanza kuku wanapoanza kuwa kuku, kila mtu anamsifia dada kwa project, maana hawakujua kama ni yangu, mwenyewe sikuwa naenda pale mara kwa mara. Majirani na wageni wakajua dogo ni mfanyakazi wa dada na project ni ya dada. Kila mtu akampongeza dada kwa kujiongezea kipato kwenye kuku. Kuku wakaendelea kupendeza bana!!! Dada akaanza visa, mara sijui dogo hamsalimii, mara sijui hampi hela, mara sijui dogo ana kiburi, mpaka akamfukuza pale kwake. Ikabidi nitafute room ingine pale jirani kwa ajili ya dogo.
Ile kuku wanafikisha miezi minne na nusu, sikuwa nimepanga kuwauza nilitaka watage nitotoleshe nipanue project. Mpaka hapo nmeshatumia karibia 5.5M (ile kujenga mabanda, kununua kuku, usafiri, chakula, madawa na expenditures za dogo pale).
Ghafla kuku wakaanza kuugua, wanakufa ovyo ovyo. Dogo akaripoti kwa daktari akatafuta ugonjwa akaukosa, akaomba apelekewe mzoga mmoja wa kuku aliyekufa kwa aina ile. Bwana bwana, ile Daktari kuchunguza akakuta viashiria vyote vya sumu kwenye njia ya hewa. Kuku walikufa wote mwisho wa siku.. Iliniuma sana,5.5M of my hardly earned money, sijawahi kusimamisha tena ile project mpaka nipate shamba langu mwenyewe...
Daah hii ni zaidi ya balaaMsimu wa korosho 2018/2019 tulishauriana na jamaa angu mmoja kununua korosho kwa mfumo wa 'kangomba' then tuziuze kwa wanunuzi wakubwa ..yy aliwahi kufanya hivyo miaka miwili kabla na ilimlipa..nikaweka 4m ,tukanunua fresh kupitia kwa jamaa ambaye yupo huko na mzigo ukapelekwa ghalani..picha linaanza wanununz hawajafika bei..sisi tulinunua kilo 2500 ,bei ya kwanza ikawa 2700 kama sikosei,wakulima wakagoma then serikali ikaingilia kati ,hapo picha ndio ikanoga sasa,..tumwa wanajeshi huko yakafuata mauhakiki kama hamsini vile bahati nzuri tuliuzia kwa jina la mtu ambaye ni mkulima mkubwa so at least uhakiki haikusumbua ,baadae mkuu akasema atalipa watu wote tu hata wa 'kangomba' hapo kidogo amani ikarudi ...hii ni may 2020 hata senti sijapata na haina hata dalili ya kwamba tutalipwa ..plus hii corona ndio kabisa imekula kwetu dah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni faida kubwa sanaahasara kubwaa kabisa ni kuolewa na mwanaume Mario,mwanaume mzinzi goshhh najuta sana
Dada yangu mmoja(wa kufikia) alikuwa amejenga maeneo ya Ulongoni, baada ya kuona fursa kwenye ufugaji wa kuku nikamuomba nitumie kiwanja chake kwa muda kwa ajili ya kufugia. Mwenyewe hakuwa na wazo la kuki-utilize kwa namna yoyote. Akanikubalia, nika-save nikafikisha kama 2.5M, nikajenga mabanda, nikaenda kuku project nikachukua vifaranga kama 300 vya kuroiler, nikamleta mdogo wangu amemaliza form six nikampangishia chumba pale kwa dada nikamkabidhi project.
Picha linaanza kuku wanapoanza kuwa kuku, kila mtu anamsifia dada kwa project, maana hawakujua kama ni yangu, mwenyewe sikuwa naenda pale mara kwa mara. Majirani na wageni wakajua dogo ni mfanyakazi wa dada na project ni ya dada. Kila mtu akampongeza dada kwa kujiongezea kipato kwenye kuku. Kuku wakaendelea kupendeza bana!!! Dada akaanza visa, mara sijui dogo hamsalimii, mara sijui hampi hela, mara sijui dogo ana kiburi, mpaka akamfukuza pale kwake. Ikabidi nitafute room ingine pale jirani kwa ajili ya dogo.
Ile kuku wanafikisha miezi minne na nusu, sikuwa nimepanga kuwauza nilitaka watage nitotoleshe nipanue project. Mpaka hapo nmeshatumia karibia 5.5M (ile kujenga mabanda, kununua kuku, usafiri, chakula, madawa na expenditures za dogo pale).
Ghafla kuku wakaanza kuugua, wanakufa ovyo ovyo. Dogo akaripoti kwa daktari akatafuta ugonjwa akaukosa, akaomba apelekewe mzoga mmoja wa kuku aliyekufa kwa aina ile. Bwana bwana, ile Daktari kuchunguza akakuta viashiria vyote vya sumu kwenye njia ya hewa. Kuku walikufa wote mwisho wa siku.. Iliniuma sana,5.5M of my hardly earned money, sijawahi kusimamisha tena ile project mpaka nipate shamba langu mwenyewe...
hasara kubwaa kabisa ni kuolewa na mwanaume Mario,mwanaume mzinzi goshhh najuta sana
JUzi tu imenipiga Ng’ombe 4nimefunga kwa muda nasubiri mfungonuishe ila hii ndogo wala haijaniuma 2010 hadi 2018 nimepoteza 100m kwenye kujaribu biashara tofauti tofauti. nashukuru wote tuko salama na MKE wangu Dinia Ina mambo inawezekana hii kwa winginenikawa ni ndogoBucha la nyama za ng'ombe.l
121.
Hapana, sijataka hata.Jamani!...ulifanikiwa kumwambia?