SoC03 Threads

  • Suggestion
Zumaridi ni msumari wa moto na chachu ya mabadiliko na wala hamuwezi kumpeleka popote. Mnamnanga kwa yeye kujiita ni mungu, hivi kweli ninyi mnaakili sawa? Je mnataka kumpeleka mahakamani...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Suggestion
ConstantineJ. Samali Mauki Utangulizi Bayogesi ni nini? Kwa mujibu wa Lucía Fernández wa Statistica (Feb 8, 2023), Bayogesi ni mchanganyiko wa gesi ya methane na hewa ya ukaa (kabonidayoksaidi)...
7 Reactions
4 Replies
833 Views
  • Suggestion
UTANGULIZI : Kumekuwepo na malalamiko mengi sana kutoka kwa watanzania kuhusu utendaji kazi wa maafisa wa serikali wakiwa ndani ya ofisi za Umma. Hii kero imekuwa ya muda mrefu na ambayo...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
  • Suggestion
Ni saa tatu za asubuhi, nikiwa nafua nguo nje ya nyumba yangu. Nashitushwa na ujio wa ghafla wa askari mgambo wanne wenye nyuso za shari shari wakiwa wameambatana na mwenyekiti wa mtaa. Japokuwa...
11 Reactions
6 Replies
3K Views
  • Suggestion
Miongoni mwa udhaifu mkubwa wa mfumo wa demokrasia ni nadharia yake ya 'wengi wape'. Nadharia maarufu ya utawala inayotaka kiongozi achaguliwe na kundi kubwa la watu bila kujali wasifu au uwezo wa...
13 Reactions
73 Replies
3K Views
  • Suggestion
Kitambulisho cha taifa hutumika kuthibitisha uraia wa mwananchi kwenye taifa husika. Lakini namna ulimwengu unavyoshuhudia ukuaji wa kasi kwenye sekta ya teknolojia ni vizuri kuboresha...
349 Reactions
331 Replies
23K Views
  • Suggestion
UTANGULIZI Ni ukweli usiopingika kwamba, siku hizi majanga ya kuporomoka kwa maadili katika jamii yanaongezeka tena kwa kasi sana. Miongoni mwa majanga haya ni pamoja na Ushoga, Usagaji...
13 Reactions
36 Replies
4K Views
  • Suggestion
Nakumbuka vizuri kuwa ilikuwa ni mwaka 2001 nilipoanza kutumia dawa za kulevya aina ya bangi.Tofauti na watumiaji wengi wa dawa hizi kuanza kuzitumia wakiwa kwenye umri wa balehe ambao kwa wengi...
18 Reactions
36 Replies
7K Views
  • Suggestion
Hello kwa miaka mitatu nipo hapa na niye nikiwapa vijana wenzangu ndugu zangu ABC za biashara ya viatu Makala namba 1 https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/36816184 Makala namba 2...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Suggestion
Ninashauri serikali ije na mkakati mahususi kuwajengea uwezo watendaji wa serikali za mitaa, Kupitia nguvu ya uhamasishi, ushauri na usimamizi wao wananchi unufaika na utekelezaji wa miradi kadhaa...
3 Reactions
2 Replies
614 Views
  • Suggestion
Uwepo wa vyoo bora ni muhimu sana katika shule ili kuhakikisha mazingira salama na afya kwa Wanafunzi ili kuwezesha suala la ufundishaji na ujifunzaji. Hata hivyo katika shule jumuishi changamoto...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Suggestion
Utapeli wa kimapenzi kwa sasa umeshamiri katika jamii yetu. Vijana wengine wanachukulia kama imekua fasheni. Katika jamii ya sasa imekuwa ngumu kujua yupi mwenye mapenzi ya kweli au uongo. Yupi...
3 Reactions
27 Replies
6K Views
  • Suggestion
UTANGULIZI Kuna fasihi pana ambayo inaunga mkono kwamba urasimishaji wa ardhi utawapa wamiliki wa ardhi manufaa ambayo ni pamoja na: dhamana ya kupata mikopo; kuongeza motisha ya kuwekeza kwa...
1 Reactions
2 Replies
941 Views
  • Suggestion
Na DON YRN. Habari za wakati huu wadau wa JamiiForums?, matumaini yangu tupo salama katika ujenzi wa Taifa letu. Lengo langu kutoa mada hii siyo kuleta uchonganishi au kuchafuliana biashara...
6 Reactions
22 Replies
8K Views
  • Suggestion
MOYO WA SIMBA: KUIMARISHA UJASIRI NA UADILIFU KATIKA MAAMUZI YAKO Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Maamuzi ni sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunafanya maamuzi madogo na makubwa...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Suggestion
KULINDA HAKI ZA KIKATIBA: JUKUMU LA SERIKALI KATIKA KUWALINDA WANANCHI WAKATI WA MAANDAMANO YA AMANI Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Suala la maandamano na haki za wananchi ni jambo muhimu...
3 Reactions
4 Replies
939 Views
  • Suggestion
MAAJABU YA NG'WANA MALUNDI --- Mwandishi:Saadala Muaza Utangulizi: Mwanamalundi ni miongoni mwa watu waliokuwa maarufu sana katika jamii ya wasukuma mnamo karne ya 19.Jamii ambayo kwa kipindi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Suggestion
Utangulizi. Baada ya kuja kwa ubepari , uhuru wa watu kufanya Biashara popote ilichangia kuwa na muingiliano wa wafanyabiashara kutoka sehemu mbalimbali Dunia . Hapo ndipo walanguzi wakubwa...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Suggestion
Wamasai ni miongoni mwa makabila maarufu katika manila takribani 150 yanayopatikana nchi Tanzania katika kanda za mikoa ya kanda za juu kusini hususani mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, jamii ya...
6 Reactions
45 Replies
7K Views
  • Suggestion
NAKATAA KUWA MTUMWA, SASA NAJITUMA! Mchana huu ulivyoangaza jua lake kwa ghadhabu, nilisimama kwenye kona ya barabara, nikisimuliwa na mazingira yaliyoniathiri kwa muda mrefu. Maisha ya mjini...
8 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom