Nimetoka Ofisi za voda nimeiona hii... wanaita Vodacom Supakasi Unlimited ambayo inaanzia 50k kwa gb24.6 na
85k nimesahau gb ngapi wanatoa...
Hii wameweka bonus na ili upate huduma hii ni hadi line yako iombewe uwezo wa kujiunga na vifurushi hivi ... ukimaliza hizo gb speed inashuka unaendelea...
Kauli ya Mbowe kwa tafsiri nyingine ni Kwamba Dr.W.Slaa amesusa, labda uko mbeleni akijisikia kuungana nao atafanya hivyo....
Kwa mtizamo wangu ni kwamba Dk.slaa ameweka slaa chini kwenye uwanja wavita na vita yenyewe ikiwa ukingoni kabisa..
Ni watakie kila la kheri CHADEMA tuko nyuma yenu.
kwa nyie wageni wa technolojia ni shida sana, inawezekana camera haijasetiwa time n date so inasave kwa mwaka wakutengenezwa hiyo camera mkuu. Na wabongo wengi kuset mda na tarehe kwenye camera hawana huo mda
Niliposikia tetesi za Dr.W.Slaa kususa nilidhani niuzushi tu, la kwa uzi huu nashawishika kuamini Dk.Slaa ameamua kujitenda na chama rasmi.. Ni jambo gumu na la kuumiza sana kuona haya yanatokea wakati huu, hama kweli siasa ni zaidi ya tunavyoielewa wengi wetu.
Pole ndugu, BlackBerry tour ni kwamba inatumika kwa teknolojia mbili , cdma na gsm , huko ilikotoka ilikuwa inatumika kwenye CDMA kama Verizon wireless n'k so ina configuration za cdma , kuziona piga ##000000 utaona pop-up window .
Sahau kuhusu mpesa menu ,salio au kuweka salio kwa ussd kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.