ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,634
- 2,460
Oppo yako ina laini ngapi ?Mkuu unikumbuke na Mimi Oppo A3s utakapoingia kwenye ufalme wako.....amen
Oppo yako ina laini ngapi ?Mkuu unikumbuke na Mimi Oppo A3s utakapoingia kwenye ufalme wako.....amen
Redmi note 7 ina bei gani mkuu ?Uza mkuu uvute hata RN7
Bongo kisu kidogo ina rate hadi 500k+ ya 4GB RAM na ROM 64GB kuna Duka k/koo kuna jamaa anauza ila ukiagiza ya 3 RAM 32GB ROM ni 350,000 hadi bongo na ya 4GB 64GB ROM 420,000.
Hii ntanunua soon asBongo kisu kidogo ina rate hadi 500k+ ya 4GB RAM na ROM 64GB kuna Duka k/koo kuna jamaa anauza ila ukiagiza ya 3 RAM 32GB ROM ni 350,000 hadi bongo na ya 4GB 64GB ROM 420,000.
Nawezaje kuenable hiyo camera 2?
sawa mkuuMake sure camera api iko enabled kwanza
Manual Camera Compatibility - Apps on Google Play
Easily check whether your device supports manual camera settings!play.google.com
Download kwanza hyo apo kutest kama camera api iko disabled au la ,kisha share screenshot hapa
Gcam nimeinstal kwa simu yangu Samsung J7 ila haifunguki, nafeli wapi wakuu?
Hakuna port ya S10+ Exynos Chip?
Tumia link ya jamaa wa A7 huyo apo juu
Hizi Pixel kuzipata issue kishenzi, naweza kuipata wapi hiyo 3a kwa hiyo bei?Laki 8
Ukipata share na huku, mimi pia nahitaji 2xl au 3aNazitafuta sana hizi simu za Google pixel, nataka nianze na google pixel 2 au 2xl najua bei yake haitokua juu sana kwa sasa. Wapi zinapatikana Tanzania hii??? Zanzibar nimezikosa hizi simu
True... Ila wanasema camera zipo sawa zinatofautiana vitu vingine tu, ni kweli?Pixel 3a na 3a xl ni bugdet phones
Zinatofautiana tu size za vioo pamoja na battery. But vilivyobaki vyote ni the same.True... Ila wanasema camera zipo sawa zinatofautiana vitu vingine tu, ni kweli?