Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

Vyovyote itakavyokuwa, sitakuwa sehemu ya kumchafua Dkt Slaa . Huyu ni Baba Wa demokrasia hapa nchini. Dkt Slaa kwa sasa umeshikilia roho zetu wapenda mabadiliko. Uamuzi wowote utakaochukua usisahahau jambo hili. Tunakupenda, tunakukubali, na tunakuthamini.
 
Niliposikia tetesi za Dr.W.Slaa kususa nilidhani niuzushi tu, la kwa uzi huu nashawishika kuamini Dk.Slaa ameamua kujitenda na chama rasmi.. Ni jambo gumu na la kuumiza sana kuona haya yanatokea wakati huu, hama kweli siasa ni zaidi ya tunavyoielewa wengi wetu.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa aliwahi kuweka wazi siku ya nyuma kuwa account hata mke wake huwa anaitumia kwa kuwa siyo account rasmi ya Chama bali ni yake Binafsi hivyo mke wake ana haki ya kuitumia pia na kwa muda mke amekuwata akiitumia hapa jf.

By the way, binafsi ninaheshimu sana mchango wa Dr. Slaa, sina namna ya kumuelezeakwa mazuri yake hata niweze kumtendea haki. Ila kitu ambacho sitathubu kukifanya ni kuelezea mapungufu yake, maana nitamkosea heshima moja kwa moja ingawa nitakua nimeuawasilisha ukweli katika sura yake halisi.
Nimeshangazwa sana kuona anasema hana mpango wowote na yeyote wakati jamii inatambua fika kuwa yeye bado ni katibu mkuu wa chama na mipango mingi inamuangalia yeye kipindi hiki kama ilivyokuwa katika kipindi kilichopita, lakini tumemsoma akikana kuwa hana mpango wowote wakati huo huo hatakai kutoa tamko rasmi kwamba anajiweka pembeni. Naomba binafsi niishie hapa kumjadili Dr. Slaa kwa lengo la kuenzi mazuri yake na nsije nikamkosea heshima, hata akiamua yeye kwenda CCM au kuungana na zito nitaendelea kumheshimu maana kila alichokifanya alikifanya kwa dhati ya moyo wake.

Nakutakia kila lenye kheri Dr. Slaa katika tafakuri yako.


IMG-20150801-WA0000.jpg
 
Dr.Slaa tutakufuata popote utakapokwenda.hatuko tayari kukaa Meza moja na lowassa.utakuwa ni unafiki sana

Naona unahitaji ndoa,hadi unaahidi kumfuata popote?naona watu mmeamua kuweka wazi kazi zenu sasa.
 
Vyovyote itakavyokuwa, sitakuwa sehemu ya kumchafua Dkt Slaa . Huyu ni Baba Wa demokrasia hapa nchini. Dkt Slaa kwa sasa umeshikilia roho zetu wapenda mabadiliko. Uamuzi wowote utakaochukua usisahahau jambo hili. Tunakupenda, tunakukubali, na tunakuthamini.

Didia

Huo ndio Ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Yericko,

Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.

sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.

Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.

Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.

Kwanza kabisa sitaki kuamini kuwa aliyeandika comment hii ni Dr. Slaa mwenyewe. Mpangilio na uchaguzi wa maneno ttu vinatosha kuamini kuwa siye.

Pili, nitoe rai kwa makamanda wenzangu tuwe wavumilivu kwa kipindi hiki chenye sintofahamu kwakuwa uvumilivu wetu ndio utatusaidia kuzishinda hila za ccm na mawakala wake.
 
Yericko,

Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.

sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.

Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.

Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.
Mzee Slaa anchana naye huyo!
Hu jamvini anajulikana kama Yericko Nyerere mtalaam wa majungu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Tunamtaka Dr. Slaa atulie. Tunachotaka ni kuitoa CCM kushika Dola. Vyeo ni vingi baada ya hapo. Wewe utachagua cheo unachokipenda.

Naye asituchoshe kabisa! Kama anataka kuondoka si aende bwana! Alaaa! Kama naye anajidanganya kwamba umaarufu aliokuwa nao ndani ya CHADEMA ataondoka nao atakuwa anaota ndoto za mchana!! Na aende hata leo! Sisi lengo letu linaelekea kutimia, la kumng'oa mkoloni mweusi!! Kwa hali hiyo mtu asituchanganye kabisaaaaaaaaaa!!
 
Dr. Slaa aliwahi kuweka wazi siku ya nyuma kuwa account hata mke wake huwa anaitumia kwa kuwa siyo account rasmi ya Chama bali ni yake Binafsi hivyo mke wake ana haki ya kuitumia pia na kwa muda mke amekuwata akiitumia hapa jf.

By the way, binafsi ninaheshimu sana mchango wa Dr. Slaa, sina namna ya kumuelezeakwa mazuri yake hata niweze kumtendea haki. Ila kitu ambacho sitathubu kukifanya ni kuelezea mapungufu yake, maana nitamkosea heshima moja kwa moja ingawa nitakua nimeuawasilisha ukweli katika sura yake halisi.
Nimeshangazwa sana kuona anasema hana mpango wowote na yeyote wakati jamii inatambua fika kuwa yeye bado ni katibu mkuu wa chama na mipango mingi inamuangalia yeye kipindi hiki kama ilivyokuwa katika kipindi kilichopita, lakini tumemsoma akikana kuwa hana mpango wowote wakati huo huo hatakai kutoa tamko rasmi kwamba anajiweka pembeni. Naomba binafsi niishie hapa kumjadili Dr. Slaa kwa lengo la kuenzi mazuri yake na nsije nikamkosea heshima, hata akiamua yeye kwenda CCM au kuungana na zito nitaendelea kumheshimu maana kila alichokifanya alikifanya kwa dhati ya moyo wake.

Nakutakia kila lenye kheri Dr. Slaa katika tafakuri yako.

Kuna wingu zito katika hili,
Muda ndio utakaoamua
 
Niliposikia tetesi za Dr.W.Slaa kususa nilidhani niuzushi tu, la kwa uzi huu nashawishika kuamini Dk.Slaa ameamua kujitenda na chama rasmi.. Ni jambo gumu na la kuumiza sana kuona haya yanatokea wakati huu, hama kweli siasa ni zaidi ya tunavyoielewa wengi wetu.
Dk,Hahusiki na kilichoandikwa hapo.
 
Last edited by a moderator:
Yericko,

Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.

sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.

Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.

Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.
Wote mlioungana na SLAA katika kipindi hiki kigumu kwenye mada hii na mmechangia ukurusa wa kwanza NIMEWAPA LIKE kwa niaba na weingine. ASANTENI WOTE, ASANTE DR. SLAA, LEO UMEMMALIZA YERIKO NYERERE NA WANAFIKI WOTE WA CHADEMA.
 
Back
Top Bottom