Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

kampeni zinaanza mwezi huu wa 8 ngoja tuone nani ni muhimu ndani ya chadema kati ya dr slaan na mbowe.wacha wajifariji tu.

mkuu chadema ndo imekufa hivyo. Hata ubunge na udiwani sasa nawapa ccm tu. Ukombozi tutauanzisha upya
 
aaaah! Ukawa ni mali ya chadema, cuf, nccr na nld na wafuasi wao, kwanini slaa ndiye kaumia sana kwa lowassa kuja chadema, hivi taatizo ni lowassa kuja chadema au lowassa kugombea urais? Je, kama lowassa angejiunga na cuf kisha kupewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya ukawa kupitia cuf slaa angesemaje? Huyu jamaa hatutakii mema ukawa, amejaa hasira za kimang'ati zisizotusaidia ukawa, aende zake bana.

kiburi chenu na mbowe kitawazika la lichama lenu
 
Kauli ya Mbowe kwa tafsiri nyingine ni Kwamba Dr.W.Slaa amesusa, labda uko mbeleni akijisikia kuungana nao atafanya hivyo....

Kwa mtizamo wangu ni kwamba Dk.slaa ameweka slaa chini kwenye uwanja wavita na vita yenyewe ikiwa ukingoni kabisa..


Ni watakie kila la kheri CHADEMA tuko nyuma yenu.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hawajui Kwenye mahesabu kuna CREDIT na DEBIT na mwisho wa siku lazima vibalance.

Waanasema ubwabwa wameuweka kwa RICE COOKER umeme wenyewe wa bongo mh!!!!!!!!!!!!!!!!

Tatizo wengi wao uelewa wao uko chini sana,ni watu wa kuangalia hapa,hawaangalii mbele.Kusema ukweli Dr Slaa atatumika na CCM kama silaha yao kuu dhidi ya UKAWA wakati wa kampeni,watasema mambo mengi kuhusiana na Dr Slaa kuachana na CHADEMA kipropaganda zaidi ili kuwafanya wananchi wapoteze imani na UKAWA,na hivi wanavyomkejeli kama kwamba si kitu ndani ya chama sidhani kama atakuwa tayari kwenda kuwaokoa UKAWA wakati propaganda machine ya CCM itakapoanza kufanya vitu vyake.
 
Kweli Dr tunakuheshimu sana kwa kuwa wewe ndo umekijenga chama lakin hamna namna nyingine inabidi tusonge mbele
 
Duh. Ila kama Dr. Slaa hayupp humo na kama hatohuzulia tena basi cdm imekwisha
 
tatizo wengi wao uelewa wao uko chini sana,ni watu wa kuangalia hapa,hawaangalii mbele.kusema ukweli dr slaa atatumika na ccm kama silaha yao kuu dhidi ya ukawa wakati wa kampeni,watasema mambo mengi kuhusiana na dr slaa kuachana na chadema kipropaganda zaidi ili kuwafanya wananchi wapoteze imani na ukawa,na hivi wanavyomkejeli kama kwamba si kitu ndani ya chama sidhani kama atakuwa tayari kwenda kuwaokoa ukawa wakati propaganda machine ya ccm itakapoanza kufanya vitu vyake.
wacha ukawa ife nashangaa hata cuf bado hawajagundua waende peke yao?
 
nimeshangaa sana leo kuona pro-chadema wanamtuka dr.slaa mpaka matusi ya nguoni kweli chadema siyo mchezo.

Tuombe uzima november baada ya matokeo ya uchaguzi hawa wanaomtuka jamaa yao dr.slaa watarudi kumsifia.
mkuu vijana hawana nidhamu, kweli chama kimeuzwa.
 
Slaa amesha achana na siasa.. Makamanda msiwe na wasiwasi nchi tutaichukua bila msaada wa Slaa.. Tumejipanga vya kutosha
 
mkuu chadema ndo imekufa hivyo. Hata ubunge na udiwani sasa nawapa ccm tu. Ukombozi tutauanzisha upya

Wewe gamba usijifanye chadema watanzania wanataka mabadiliko wataiadhibu ccm kisawasawa
 
Wanachadema tunampenda sana dr slaa lkn kwa hili la kutokukubali maamuzi ya wanachama wengi?atupishe atuachie chama chetu
Chadema sio ya dr slaa,chadema ni ya wanachama
Kiongozi yeyote asiyeheshimu maoni ya wananchi hatufai,ss hatuendi kutafuta katibu wa chadema,la asha tunaenda kumtafuta rais wa watanzania

Maoni yapi ya wananchi? Kuna petition yoyote wanachama wamesign kukubali Lowassa aingie chadema hadi uite maamuzi au maoni ya wananchi?

Dr anasimamia kile chadema ilikuwa inakipigania... Anasimamia misingi ya chadema sio hii ya ubabaishaji na ya wezi, sio chadema inayonunuliwa na mtu!
 
Tatizo wengi wao uelewa wao uko chini sana,ni watu wa kuangalia hapa,hawaangalii mbele.Kusema ukweli Dr Slaa atatumika na CCM kama silaha yao kuu dhidi ya UKAWA wakati wa kampeni,watasema mambo mengi kuhusiana na Dr Slaa kuachana na CHADEMA kipropaganda zaidi ili kuwafanya wananchi wapoteze imani na UKAWA,na hivi wanavyomkejeli kama kwamba si kitu ndani ya chama sidhani kama atakuwa tayari kwenda kuwaokoa UKAWA wakati propaganda machine ya CCM itakapoanza kufanya vitu vyake.

Una akili sana weye, hii itawapa fursa CCM kusema chadema kimeuzwa kwa mafisadi, na hii itauza sana.
 
Dr. Slaa alienda kwa Nabii Mwingira akamwambia hivi "Dr. ukombozi wa nchi hii sasa siyo mjadala ni lazima na Mungu ameridhia, pambambaneni ila naona mtoto akizaliwa!! ombeni sana maana naona damu hatar ya damu kumwagika.
Sasa sijui hakuelewa mtoto anayezaliwa ni Lowassa.
aaaaaaah aaaaaaaah!!

wewe nchi hii si ya manabii wa uongo pelekeni hukohuko chadema
 
Back
Top Bottom