manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,317
Chadema mbele kwa mbele.Lowasa ushindi ni razima
Hata kuandika tu ni tabu halafu wewe ndio unategemewa upeleke ushindi? WaTz bana kupelekwa tu kama upepo.
Chadema mbele kwa mbele.Lowasa ushindi ni razima
kampeni zinaanza mwezi huu wa 8 ngoja tuone nani ni muhimu ndani ya chadema kati ya dr slaan na mbowe.wacha wajifariji tu.
Eti vyanzo vya kuaminika!Namuona Dr. Slaa pale Mbele.
Ahsante gsam kweli hudanganyi mzee
aaaah! Ukawa ni mali ya chadema, cuf, nccr na nld na wafuasi wao, kwanini slaa ndiye kaumia sana kwa lowassa kuja chadema, hivi taatizo ni lowassa kuja chadema au lowassa kugombea urais? Je, kama lowassa angejiunga na cuf kisha kupewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya ukawa kupitia cuf slaa angesemaje? Huyu jamaa hatutakii mema ukawa, amejaa hasira za kimang'ati zisizotusaidia ukawa, aende zake bana.
Tatizo hawajui Kwenye mahesabu kuna CREDIT na DEBIT na mwisho wa siku lazima vibalance.
Waanasema ubwabwa wameuweka kwa RICE COOKER umeme wenyewe wa bongo mh!!!!!!!!!!!!!!!!
yote ni yote ila dk slaa akubaliane na hali halisi tusonge mbele
wacha ukawa ife nashangaa hata cuf bado hawajagundua waende peke yao?tatizo wengi wao uelewa wao uko chini sana,ni watu wa kuangalia hapa,hawaangalii mbele.kusema ukweli dr slaa atatumika na ccm kama silaha yao kuu dhidi ya ukawa wakati wa kampeni,watasema mambo mengi kuhusiana na dr slaa kuachana na chadema kipropaganda zaidi ili kuwafanya wananchi wapoteze imani na ukawa,na hivi wanavyomkejeli kama kwamba si kitu ndani ya chama sidhani kama atakuwa tayari kwenda kuwaokoa ukawa wakati propaganda machine ya ccm itakapoanza kufanya vitu vyake.
duh. Ila kama dr. Slaa hayupp humo na kama hatohuzulia tena basi cdm imekwisha
mkuu vijana hawana nidhamu, kweli chama kimeuzwa.nimeshangaa sana leo kuona pro-chadema wanamtuka dr.slaa mpaka matusi ya nguoni kweli chadema siyo mchezo.
Tuombe uzima november baada ya matokeo ya uchaguzi hawa wanaomtuka jamaa yao dr.slaa watarudi kumsifia.
mkuu chadema ndo imekufa hivyo. Hata ubunge na udiwani sasa nawapa ccm tu. Ukombozi tutauanzisha upya
Wanachadema tunampenda sana dr slaa lkn kwa hili la kutokukubali maamuzi ya wanachama wengi?atupishe atuachie chama chetu
Chadema sio ya dr slaa,chadema ni ya wanachama
Kiongozi yeyote asiyeheshimu maoni ya wananchi hatufai,ss hatuendi kutafuta katibu wa chadema,la asha tunaenda kumtafuta rais wa watanzania
Tatizo wengi wao uelewa wao uko chini sana,ni watu wa kuangalia hapa,hawaangalii mbele.Kusema ukweli Dr Slaa atatumika na CCM kama silaha yao kuu dhidi ya UKAWA wakati wa kampeni,watasema mambo mengi kuhusiana na Dr Slaa kuachana na CHADEMA kipropaganda zaidi ili kuwafanya wananchi wapoteze imani na UKAWA,na hivi wanavyomkejeli kama kwamba si kitu ndani ya chama sidhani kama atakuwa tayari kwenda kuwaokoa UKAWA wakati propaganda machine ya CCM itakapoanza kufanya vitu vyake.
Dr. Slaa alienda kwa Nabii Mwingira akamwambia hivi "Dr. ukombozi wa nchi hii sasa siyo mjadala ni lazima na Mungu ameridhia, pambambaneni ila naona mtoto akizaliwa!! ombeni sana maana naona damu hatar ya damu kumwagika.
Sasa sijui hakuelewa mtoto anayezaliwa ni Lowassa.
aaaaaaah aaaaaaaah!!
wewe gamba usijifanye chadema watanzania wanataka mabadiliko wataiadhibu ccm kisawasawa