Vodacom Hawajitambui.

Habari, Tumepitia na kufanya marekebisho kwa vifurushi vyetu vya Supa Uni ili kutoa huduma bora zaidi. Endelea kutumia Vodacom mtandao Supa. Vigezo kuzingatiwa.
 
ime nibidi nirudi nyumbani sasa maana Tshs 1000 napewa MB250 ambapo simu yenyew 4g niki browse IG mara 2 tu kifurushi kinakua kwishney



TTCL
Hongera!Furahia GB5 za intanet kwa siku 30 kwa Tshs. 5,000.Tafadhali maliza kifurushi hiki kabla ya kujiunga na kingine.
 
Ambao mnatumia Vodacom nawapa tano kwakweli, mimi wamenishinda. Bei zao za Mabando ya Kupiga simu, messaji na internet ziko juu mno kuliko mitandao yote. Nimeamua kutulia zangu Airtel kwa kupiga simu na message na Halotel kwa internet. Very affordable
 
Huwa nawashangaa sana wanaotumia voda kwa huduma ya kupiga Simu na internet,gharama zao ziko juu na vifurushi vyao ni vya kipuuzi sana,Mimi mdau Wa Airtel kwa sh 10,000 unapata dakika 450 mitandao yote na mb kibao kwa mwezi,kwangu Mimi airtl ni mkombozi
 
Voda ni kwa mpesa tu na kukopa kifurushi wakati wa dharura me yangu tigo sh. 2500 napata 2.5 GB kwa wiki dk 215 tgo tigo na dk 20 mitandao mingine nikihata ni TTCL sh.1000 napata 500mb mchana na 3.5 GB USIKU. Siku moja nikapoteza line ya voda nikaenda vodashop kupata line yangu nkkafuata taratibu zote za polisi kufika vodashop sasa wananiambia niandike number tano nilizokuwa nawasiliana nazo tena nilizowapigia sio walionipigia tulizozana hapo nawaambia me huwa natumia kwa mpesa hawatak hadi nilipomuona Branch manager akanisaidia kurenew lakin kamwe siwezi tumia voda kununua vifurushi vya internet
 
hawa samaki ni wapuuzi.

yaani jinsi unavyozidi kuwa mteja mtiifu kwa kuwachangia mia mia zako,ndio nao wanakufanya ng'ombe wa maziwa.

mimi ya kwako tu kwa siku ilikuwa gb 1 na dakika sms kibao nikawa naridhika safi tu,he ghafla naamka siku moja mwezi uliopita nakuta wameporomosha mpaka 500mb,nikawadharau kabisa.

kabla sijawapa taraka nikawakopa kabisa,huku nasonya.
Hawa jamaa dawa yao ni kuwa na laini nyingi wakipinguza vifurushi we nae unahama hiyo laini na kuhamia kwenye nyingine ambayo hujaitumia mda. Na wakiona umeiterekeza laini yao kwa mda wanarudisha vifurushi ili wakushawishi kuitumia ndo tunavoenda nao hawa nyau sio voda tu hata tigo na nk.
 
Voda ni kwa mpesa tu na kukopa kifurushi wakati wa dharura me yangu tigo sh. 2500 napata 2.5 GB kwa wiki dk 215 tgo tigo na dk 20 mitandao mingine nikihata ni TTCL sh.1000 napata 500mb mchana na 3.5 GB USIKU. Siku moja nikapoteza line ya voda nikaenda vodashop kupata line yangu nkkafuata taratibu zote za polisi kufika vodashop sasa wananiambia niandike number tano nilizokuwa nawasiliana nazo tena nilizowapigia sio walionipigia tulizozana hapo nawaambia me huwa natumia kwa mpesa hawatak hadi nilipomuona Branch manager akanisaidia kurenew lakin kamwe siwezi tumia voda kununua vifurushi vya internet
Hicho cha tigo unakipata kwa menu ipi ndugu
 
Back
Top Bottom