Mkuu nakubaliana kwa kiasi na maoni yako.
Ikumbukwe kuwa kabila la wasfwa na wahehe wamefanya kazi kubwa sana kutokea enzi za machifu kama Merere kuondoa au kukinga utumwa kuingia Mbeya.
Wasafwa walikuwa na jeshi kubwa sana lililowazuia waarabu kupita nyanda(plains) za kuanzia Mbarali, Kapunga...
Wewe mjinga sana, sasa hako kapicha ndio mwisho wako wa kufikiri.
Ati kwa vile Marekani barabara zina haribika , basi hapa kwetu ruksa kuharibika!
Wengine mnasoma lakini mna akili za kuku, kula karibu na kinyesi chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.