Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

Kwa taarifa yako Chief SECRETARY wa kwanza wa Tanzania huru baada ya Mwingereza kuondoka alikuwa anaitwa Dominick Nkembo, Msafwa kutoka Tarafa ya Iwindi. Utasemaje Wasafwa hawakusoma?
Nimekubali

Ova
 
Wasafwa wanapenda kukaa milimani
Wasafwa walikuwa ni watu waoga Sana walikuwa wakiona hata gari wanakimbia!
Lakini mleta uzi huu bado hujatuambia asili ya wanyakyusa je wametokea wapi?

Ova
Hakuna Msafwa muoga, wasafwa ni maskini jeuri tu. Futa hii
 
Mbeya ya wanyakyusa .....sema tu Kuna kipind wakoloni walituteka na kutupeleka Malawi .......

Then wasafwa waka dominate hapa mbeya town......but after decolonization bhanyambala ( wanaume )... tukarudi
Huo ni uwongo ambao hautasaidia hata kizazi chako kujuwa historia ya Wanyakyusa.

Wabantu wote ni migrants kutoka Congo desert na Niger Congo basin. Ila nani alitangulia kufika Mbeya mjini ndiyo issue. Wanyakyusa ni mchanganyiko wa movement ya Wapogoro kutoka Morogoro na Makabila yakiyokuwa yanamkimbia Chaka Zulu kutoka South Africa. Sehemu yao ya kwanza ku settle ni Rungwe na Kyela.

Wasafwa migration yao ni kutoka Niger/Congo basin, waliingilia Sumbawanga kutokea Congo desert wakaacha kundi moja linaitwa Wanyika na kuja ku settle Mbeya.

Kwa hiyo jamii ya kwanza kufika Mbeya ni Wasafwa wala siyo Wanyakyusa. Wasafwa wapo Mbeya Jiji, Mbeya Rural, Chunya, Mbarali na sehemu ya Mbozi. Wapo vilevile Tarafa ya Isongole iliyopo Rungwe kama kilometre 20 za kwanza baada ya mpaka wa Mbeya /Rungwe
 
Ni sawasawa na mji wa mbalizi na kabila la Wamalila.

Ila Wamalila nao hawajulikani kisa ni uchache wao
Wamalila siyo kabila bali ni lahaja tu. Sawa na kusema Wanyamanyafu siyo Wasafwa. Kabila hujitambulisha kwa lugha, eneo la kijiografia, utamaduni wa kuoa na kuzikana.

Wamalila wameamua tu kujitambulisha kwa lahaja yao kama kabila lakini ni jamii ya Wasafwa tu. Kwa Wasafwa kuna lahaja zifuatazo:- Waporoto, Waguruka, Wambwila, Wasongwe, Wayole, Wasoha etc

Kama na hao wengine wangeamua kujitambulisha kilahaja basi hakutakuwa na kabila la Wasafwa
 
Majina ya koo za kisafwa ndo kama yapi wakuuu...huwa siwajui kabisa....
Kuna majina yanayoanza na Mwa...
kama ilivyo kwa Wanyakyusa mfano Mwakalila, Mwashoma, Mwanjali, Mwakwenda, etc. Lakini kuna ambayo hayaanzi na Mwa kama Ndele, Mbwiga, Mbwette, Mbanga, Shelela, Mbonile, Mlekani, Malijani, Nkembo, Mboma, Sambwe etc
 
Enzi hizo mzee wangu alikuwa ananunua maeneo kule ituha ilikuwa wasafwa tupu lakini sasa hivi kumekuwa mji na wasafwa hawapo tena.
Ituha wamejaa wasafwa mkuu, ni kwao kule na ni wengi ila wageni tayari washafanya uvamizi.
Kama kawaida yao, baadhi washauza maeneo wamekimbilia milimani.
 
WASAFWA NDIO WAZAWA HALISI WA WILAYA ZA JIJI LA MBEYA, KILITOKEA NINI MPAKA WANYAKYUSA WA WILAYA ZA NJE YA JIJI KUFAHAMIKA NDIO WENYEJI?

Yani hii Tanzania nzima ukiuliza jiji la Mbeya linakaliwa na kabila gani, fasta mtu anakujibu wanyakyusa lakini ukweli ni kwamba wasafwa ndio wenyeji na hata hili jina la Mbeya lina asili ya kisafwa. si ajabu mtu anaweza asijue kwamba waoambnaji wakuu na matajiri wengi wa mbeya wenye maduka mengi, mahoteli, viwanda na makampuni ni wakinga lakini ukimuuliza swali mwenyeji wa hapa mbeya ni nani, atakujibu fasta tu mnyakyusa, kilotokea nini hadi ikawa hivi?

ni kwamba nchi ilipopata uhuru kulikuwa kuna wanyakyusa wengi wazawa wa wilaya za rungwe na kyela walianza kuja na kuhamia wilaya ya Mbeya mjini (kwa sasa jiji) ambako ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya, wageni wengine nao pia walikuja kuhamia mjini kupata huduma za kijamii, kusoma, kufanya biashara, n.k.

Muda huo wakazi wa mbeya mjini wengi walikuwa ni wazawa ambao ni wasafwa kundi la wamalila, shida ikaja kwamba wasafwa wakiona wageni walikuwa hawataki kuchangamana nao walikuwa wanahamisha makazi kwenda sehem ambayo wapo peke yao, mji ulizidi kuchanganya na kufanya wanyakyusa na wageni wazidi kuja mjini na ikawa usumbufu kwa wasafwa kuhama hama mji unavyozidi kupanuka, ikafikia kipindi wengine wakaanza kukimbilia maeneo ya mbali zaidi hata milimani.

matokeo yake hapa mjini makabila ya ziada yaliyokuja kama wanyiha, wandali, wakinga, wahehe, wangoni, wabena, n.k. wao wakawa wanajua huu mji ni wa wanyakyusa maana wasafwa wengi walikimbilia milimani ikawa vigumu kuwajua wao ndio wenye mji.

Laiti wasafwa wangebaki kwenye huu mji huenda wangekuwa na maendeleo sana kuzidi hata wanyakyusa, mji huu ulikuwa ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya lakini hii bahati wakaichezea na ni ngumu kurudi tena. wasafwa waliletewa hivi vitu vizuri hapa mjini ila wakavikimbia.

-hapa mjini serikali ilijenga shule nyingi ila wasafwa walizikimbia

-ajira nzuri enzi hizo zinahitaji elimu hata za shule ya msingi au form 4 zilikuwepo mjini wao zikawa zinawapita

-mji ulianza kujaa na kukawa na fursa za biashara ambazo wasafwa wangeweza kupata pesa lakini kujitenga kwao kukaliacha soko wazi kwa wageni.

-madaraka, vyeo na teuzi serikalini za kuongoza mji huu wakawaachia wageni ambao nao walitumia bahati hii kuwekana maofisini na kupeana vyeo.

-viwanja vingi waliviacha ama kuviuza na kukimbilia milimani kusiko hata na huduma za jamii, n.k.

-baadhi ya wasafwa waliorudi hapa mjini ama waliobaki maeneo ya karibu wakaanza kujitambulisha ni wanyakyusa kwa kuogopa aibu na wengine kufikia hatua ya kufuta majina ya ukoo ili kuepukana na aibu, hii tabia hadi sasa inaendelea.

Ni historia yenye kusikitisha ila ina funzo kubwa sana, mkataa kwao hugeuka mtumwa.

Mwisho kwa kuhitimisha naweza kutoa ushauri kwa wasafwa kwamba historia haiwezi kubadilika itabaki kwajili ya kujifunza lakini mnachoweza kubadilisha ni muda wa mbele (future) kwa maamuzi mnayoweza kuanza kuyatekeleza sasa ili angalau mrudishe hadhi, mapendekezo yangu kwenu:

- wasafwa mzingatieni sana elimu pambanieni na ikibidi mjinyime watoto wasome.

- mjipanue na kutafuta fursa mpya za kibiashara na kujiajiri, Mbeya ni jiji lina watu wengi wenye mahitaji mengi muangalie ni sehemu zipi mnaweza kuchota pesa.

- muwe na bidii ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa na uongozi kwenye huu mji wenu, mpambanie nafasi za kupaza sauti ya kero zetu wageni wa mbeya na zenu wazawa halisi wa mbeya.

-msaidiane na kubebana ili walio chini nao wawe na maendeleo, roho za umimi na ubinafsi haziwezi leta maendeleo.

-mjivunie asili yenu ya usafwa, kuna baadhi ya wasafwa hufuta majina yao ya ukoo na wengine kukana kabila lao, huu ni ujinga, jivunie kabila lako, nyumbani ni nyumbani kwa jirani sio kwako.

bila kufanya haya hakuna kitachobadilika

WASAFWA NDIO WAZAWA HALISI WA WILAYA ZA JIJI LA MBEYA, KILITOKEA NINI MPAKA WANYAKYUSA WA WILAYA ZA NJE YA JIJI KUFAHAMIKA NDIO WENYEJI?

Yani hii Tanzania nzima ukiuliza jiji la Mbeya linakaliwa na kabila gani, fasta mtu anakujibu wanyakyusa lakini ukweli ni kwamba wasafwa ndio wenyeji na hata hili jina la Mbeya lina asili ya kisafwa. si ajabu mtu anaweza asijue kwamba waoambnaji wakuu na matajiri wengi wa mbeya wenye maduka mengi, mahoteli, viwanda na makampuni ni wakinga lakini ukimuuliza swali mwenyeji wa hapa mbeya ni nani, atakujibu fasta tu mnyakyusa, kilotokea nini hadi ikawa hivi?

ni kwamba nchi ilipopata uhuru kulikuwa kuna wanyakyusa wengi wazawa wa wilaya za rungwe na kyela walianza kuja na kuhamia wilaya ya Mbeya mjini (kwa sasa jiji) ambako ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya, wageni wengine nao pia walikuja kuhamia mjini kupata huduma za kijamii, kusoma, kufanya biashara, n.k.

Muda huo wakazi wa mbeya mjini wengi walikuwa ni wazawa ambao ni wasafwa kundi la wamalila, shida ikaja kwamba wasafwa wakiona wageni walikuwa hawataki kuchangamana nao walikuwa wanahamisha makazi kwenda sehem ambayo wapo peke yao, mji ulizidi kuchanganya na kufanya wanyakyusa na wageni wazidi kuja mjini na ikawa usumbufu kwa wasafwa kuhama hama mji unavyozidi kupanuka, ikafikia kipindi wengine wakaanza kukimbilia maeneo ya mbali zaidi hata milimani.

matokeo yake hapa mjini makabila ya ziada yaliyokuja kama wanyiha, wandali, wakinga, wahehe, wangoni, wabena, n.k. wao wakawa wanajua huu mji ni wa wanyakyusa maana wasafwa wengi walikimbilia milimani ikawa vigumu kuwajua wao ndio wenye mji.

Laiti wasafwa wangebaki kwenye huu mji huenda wangekuwa na maendeleo sana kuzidi hata wanyakyusa, mji huu ulikuwa ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya lakini hii bahati wakaichezea na ni ngumu kurudi tena. wasafwa waliletewa hivi vitu vizuri hapa mjini ila wakavikimbia.

-hapa mjini serikali ilijenga shule nyingi ila wasafwa walizikimbia

-ajira nzuri enzi hizo zinahitaji elimu hata za shule ya msingi au form 4 zilikuwepo mjini wao zikawa zinawapita

-mji ulianza kujaa na kukawa na fursa za biashara ambazo wasafwa wangeweza kupata pesa lakini kujitenga kwao kukaliacha soko wazi kwa wageni.

-madaraka, vyeo na teuzi serikalini za kuongoza mji huu wakawaachia wageni ambao nao walitumia bahati hii kuwekana maofisini na kupeana vyeo.

-viwanja vingi waliviacha ama kuviuza na kukimbilia milimani kusiko hata na huduma za jamii, n.k.

-baadhi ya wasafwa waliorudi hapa mjini ama waliobaki maeneo ya karibu wakaanza kujitambulisha ni wanyakyusa kwa kuogopa aibu na wengine kufikia hatua ya kufuta majina ya ukoo ili kuepukana na aibu, hii tabia hadi sasa inaendelea.

Ni historia yenye kusikitisha ila ina funzo kubwa sana, mkataa kwao hugeuka mtumwa.

Mwisho kwa kuhitimisha naweza kutoa ushauri kwa wasafwa kwamba historia haiwezi kubadilika itabaki kwajili ya kujifunza lakini mnachoweza kubadilisha ni muda wa mbele (future) kwa maamuzi mnayoweza kuanza kuyatekeleza sasa ili angalau mrudishe hadhi, mapendekezo yangu kwenu:

- wasafwa mzingatieni sana elimu pambanieni na ikibidi mjinyime watoto wasome.

- mjipanue na kutafuta fursa mpya za kibiashara na kujiajiri, Mbeya ni jiji lina watu wengi wenye mahitaji mengi muangalie ni sehemu zipi mnaweza kuchota pesa.

- muwe na bidii ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa na uongozi kwenye huu mji wenu, mpambanie nafasi za kupaza sauti ya kero zetu wageni wa mbeya na zenu wazawa halisi wa mbeya.

-msaidiane na kubebana ili walio chini nao wawe na maendeleo, roho za umimi na ubinafsi haziwezi leta maendeleo.

-mjivunie asili yenu ya usafwa, kuna baadhi ya wasafwa hufuta majina yao ya ukoo na wengine kukana kabila lao, huu ni ujinga, jivunie kabila lako, nyumbani ni nyumbani kwa jirani sio kwako.

bila kufanya haya hakuna kitachobadilika..
Asante mleta mada kwa hoja zako nzuri sana, ila kuna masuala kadhaa ningependa kuyaweka sawa ama kuyafafanua katika kunogesha mjadala.
  1. Wasafwa ni moja ya makabila machache ambayo yali resist ukoloni (kutawaliwa na wageni wa kizungu) kwa nguvu zote. Kumbuka ukoloni uliambatana na ujo wa elimi na huduma za kisasa za afya, kwa mantiki hii shule zilichelewa sana Usafwani kutokana na kupinga ukoloni tofauti na Unyakyusani. Shule ya kwanza ya misheni nadhani ni Irambo (1920s) tofauti na Rungweama Makete (wilaya jirani) ambako misheni ziliwahi kutokana na wao kutoupinga ukoloni. Hata hivyo, baadhi ya Wasafwa walisoma katika shule hizi ambazo zilikuwa nje ya wilaya ya Mbeya. Kuliweka sawa hili, Ikumbukwe kwamba katibu mkuu Kiongozi wa kwanza enzi za Mwalimu (Nkembo) alitokea Uswafwani.
  2. Wasafwa ni watu wakarimu sana kwa wageni (mpaka leo), suala la kuchangamana na wageni kwao sio ishu kubwa. Wasafwa kiasili ni wakulima na wafugaji, sasa maeneo yao ya kilimo yalipovamiwa wakasogea pembezoni mwa mji ambapo kuna ardhi ya kutosha kuweza kulima na kufuga ili kujikimu kimaisha. Suala hili kwa mtazamo wa wageni linaonekana ni kukimbia mji, sio kweli. Baada ya mfumo wa maisha kubadilika, wamechangamana na wageni mjini Mbeya na maisha yanaendelea. Nikilinganisha na baadhi ya makabila yanayosifika kwa kubagua wageni (yanajulikana) kimsingi Wasafwa sio wakabila kabisa.
  3. Wasafwa ni watu wa kujituma sana kwenye kufanya kazi na kusaka fursa nje ya nyumbani kwao kama ilivyo kwa Wakinga. Hili linadhihirishwa na kusambaa kwao kusaka maisha maeneo mbalimbali. Wapo kwa wingi wilaya za Handeni, Muheza, Korogwe (Tanga) na wilaya za Hai na Siha mkoani Kilimanjaro. Wapo kwa wingi pia wilaya za Nkasi, Sumbawanga (Rukwa) na mkoani Katavi katika kusaka fursa. Hii trend si ya miaka ya hivi karibuni, ni ya miaka mingi sana hapo nyuma.
  4. Wasafwa ndio kabila pekee mkoani Mbeya ambalo kiasili lipo katika wilaya zote za mkoa wa Mbeya isipokuwa wilaya ya Kyela tu. Naongelea kuanzia Kanyegere, Ntokela, Ndaga kuja Isyonje (Rungwe), Sonyanga kuja Ilongo, Igalako, Ruiwa nk (Mbarali), Chalangwa kwenda Ifumbo nk (Chunya) na wilaya zao za asili ambazo ni Mbeya mjini na Vijijini.
  5. Kuhusu siasa, nakubaliana na mleta mada, si wengi wamejikita katika kusaka nafasi za za juu kisiasa, kunahitajika mwamko sana.
Hitimisho
Ikumbukwe kwamba waliowahi kupata elimu ukanda huu waliwabagua sana Wasafwa kwa kuendeleza ukabila na ubaguzi katika suala la ajira hata kwa Wasafwa wasomi (mada hii ipo hapa JF), si ajabu baadhi ya Wasafwa walibadili ama kurekebisha majina yao ili kupata nafasi za ajira, maana wangetumia majina yao halisi wasingepata. Hili linajulikana toka kitambo sana. Unyanyasaji wa aina hii pia wafanyiwa sana watu wa Pwani kutoka kwa wageni wahamiaji.
Tuendelee kujadiliana!
 
Muda wote nasoma hadidhi yako namkumbuka mzungu mmoja nilimletaga mbeya kutoka Netherlands akasema mbeya kumefanana na Afghanistan kwa kila kitu mam yule aliweza kuishi Afghanistan hyvo alisema japo Ni jiji pana ila kwa Kweli Kuna ushamaba na umasikini mno nyumba za mbeyani mbovu mbovu hatar sas HV ndio nao wanaazna kujenga kwa tofali za bloku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyo mzungu alikuwa basha wako siyo maku wewe
 
Muda wote nasoma hadidhi yako namkumbuka mzungu mmoja nilimletaga mbeya kutoka Netherlands akasema mbeya kumefanana na Afghanistan kwa kila kitu mam yule aliweza kuishi Afghanistan hyvo alisema japo Ni jiji pana ila kwa Kweli Kuna ushamaba na umasikini mno nyumba za mbeyani mbovu mbovu hatar sas HV ndio nao wanaazna kujenga kwa tofali za bloku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kiujumla Mbeya ni kwetu, lakini Mbeya hawana mwamko kabisa wa kujenga nyumba nzuri na mipango miji inayoleweka.
 
Asante mleta mada kwa hoja zako nzuri sana, ila kuna masuala kadhaa ningependa kuyaweka sawa ama kuyafafanua katika kunogesha mjadala.
  1. Wasafwa ni moja ya makabila machache ambayo yali resist ukoloni (kutawaliwa na wageni wa kizungu) kwa nguvu zote. Kumbuka ukoloni uliambatana na ujo wa elimi na huduma za kisasa za afya, kwa mantiki hii shule zilichelewa sana Usafwani kutokana na kupinga ukoloni tofauti na Unyakyusani. Shule ya kwanza ya misheni nadhani ni Irambo (1920s) tofauti na Rungweama Makete (wilaya jirani) ambako misheni ziliwahi kutokana na wao kutoupinga ukoloni. Hata hivyo, baadhi ya Wasafwa walisoma katika shule hizi ambazo zilikuwa nje ya wilaya ya Mbeya. Kuliweka sawa hili, Ikumbukwe kwamba katibu mkuu Kiongozi wa kwanza enzi za Mwalimu (Nkembo) alitokea Uswafwani.
  2. Wasafwa ni watu wakarimu sana kwa wageni (mpaka leo), suala la kuchangamana na wageni kwao sio ishu kubwa. Wasafwa kiasili ni wakulima na wafugaji, sasa maeneo yao ya kilimo yalipovamiwa wakasogea pembezoni mwa mji ambapo kuna ardhi ya kutosha kuweza kulima na kufuga ili kujikimu kimaisha. Suala hili kwa mtazamo wa wageni linaonekana ni kukimbia mji, sio kweli. Baada ya mfumo wa maisha kubadilika, wamechangamana na wageni mjini Mbeya na maisha yanaendelea. Nikilinganisha na baadhi ya makabila yanayosifika kwa kubagua wageni (yanajulikana) kimsingi Wasafwa sio wakabila kabisa.
  3. Wasafwa ni watu wa kujituma sana kwenye kufanya kazi na kusaka fursa nje ya nyumbani kwao kama ilivyo kwa Wakinga. Hili linadhihirishwa na kusambaa kwao kusaka maisha maeneo mbalimbali. Wapo kwa wingi wilaya za Handeni, Muheza, Korogwe (Tanga) na wilaya za Hai na Siha mkoani Kilimanjaro. Wapo kwa wingi pia wilaya za Nkasi, Sumbawanga (Rukwa) na mkoani Katavi katika kusaka fursa. Hii trend si ya miaka ya hivi karibuni, ni ya miaka mingi sana hapo nyuma.
  4. Wasafwa ndio kabila pekee mkoani Mbeya ambalo kiasili lipo katika wilaya zote za mkoa wa Mbeya isipokuwa wilaya ya Kyela tu. Naongelea kuanzia Kanyegere, Ntokela, Ndaga kuja Isyonje (Rungwe), Sonyanga kuja Ilongo, Igalako, Ruiwa nk (Mbarali), Chalangwa kwenda Ifumbo nk (Chunya) na wilaya zao za asili ambazo ni Mbeya mjini na Vijijini.
  5. Kuhusu siasa, nakubaliana na mleta mada, si wengi wamejikita katika kusaka nafasi za za juu kisiasa, kunahitajika mwamko sana.
Hitimisho
Ikumbukwe kwamba waliowahi kupata elimu ukanda huu waliwabagua sana Wasafwa kwa kuendeleza ukabila na ubaguzi katika suala la ajira hata kwa Wasafwa wasomi (mada hii ipo hapa JF), si ajabu baadhi ya Wasafwa walibadili ama kurekebisha majina yao ili kupata nafasi za ajira, maana wangetumia majina yao halisi wasingepata. Hili linajulikana toka kitambo sana. Unyanyasaji wa aina hii pia wafanyiwa sana watu wa Pwani kutoka kwa wageni wahamiaji.
Tuendelee kujadiliana!
Mkuu nakubaliana kwa kiasi na maoni yako.
Ikumbukwe kuwa kabila la wasfwa na wahehe wamefanya kazi kubwa sana kutokea enzi za machifu kama Merere kuondoa au kukinga utumwa kuingia Mbeya.
Wasafwa walikuwa na jeshi kubwa sana lililowazuia waarabu kupita nyanda(plains) za kuanzia Mbarali, Kapunga na Chimala.
Ndio maana utakuta nyanda za juu kusini kuelekea Mbozi, huwezi kukuta influence kubwa za waarabu, na hata wazungu.
 
Ni kweli unachokisema, nmekaa Mbeya sana muda nilipata kuambuwa unachokisema! Afu masafwa ni wazuri sana ni ma Black Beauty kuliko ndugu zao...
 
WASAFWA NDIO WAZAWA HALISI WA WILAYA ZA JIJI LA MBEYA, KILITOKEA NINI MPAKA WANYAKYUSA WA WILAYA ZA NJE YA JIJI KUFAHAMIKA NDIO WENYEJI?

Yani hii Tanzania nzima ukiuliza jiji la Mbeya linakaliwa na kabila gani, fasta mtu anakujibu wanyakyusa lakini ukweli ni kwamba wasafwa ndio wenyeji na hata hili jina la Mbeya lina asili ya kisafwa. si ajabu mtu anaweza asijue kwamba waoambnaji wakuu na matajiri wengi wa mbeya wenye maduka mengi, mahoteli, viwanda na makampuni ni wakinga lakini ukimuuliza swali mwenyeji wa hapa mbeya ni nani, atakujibu fasta tu mnyakyusa, kilotokea nini hadi ikawa hivi?

ni kwamba nchi ilipopata uhuru kulikuwa kuna wanyakyusa wengi wazawa wa wilaya za rungwe na kyela walianza kuja na kuhamia wilaya ya Mbeya mjini (kwa sasa jiji) ambako ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya, wageni wengine nao pia walikuja kuhamia mjini kupata huduma za kijamii, kusoma, kufanya biashara, n.k.

Muda huo wakazi wa mbeya mjini wengi walikuwa ni wazawa ambao ni wasafwa kundi la wamalila, shida ikaja kwamba wasafwa wakiona wageni walikuwa hawataki kuchangamana nao walikuwa wanahamisha makazi kwenda sehem ambayo wapo peke yao, mji ulizidi kuchanganya na kufanya wanyakyusa na wageni wazidi kuja mjini na ikawa usumbufu kwa wasafwa kuhama hama mji unavyozidi kupanuka, ikafikia kipindi wengine wakaanza kukimbilia maeneo ya mbali zaidi hata milimani.

matokeo yake hapa mjini makabila ya ziada yaliyokuja kama wanyiha, wandali, wakinga, wahehe, wangoni, wabena, n.k. wao wakawa wanajua huu mji ni wa wanyakyusa maana wasafwa wengi walikimbilia milimani ikawa vigumu kuwajua wao ndio wenye mji.

Laiti wasafwa wangebaki kwenye huu mji huenda wangekuwa na maendeleo sana kuzidi hata wanyakyusa, mji huu ulikuwa ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya lakini hii bahati wakaichezea na ni ngumu kurudi tena. wasafwa waliletewa hivi vitu vizuri hapa mjini ila wakavikimbia.

-hapa mjini serikali ilijenga shule nyingi ila wasafwa walizikimbia

-ajira nzuri enzi hizo zinahitaji elimu hata za shule ya msingi au form 4 zilikuwepo mjini wao zikawa zinawapita

-mji ulianza kujaa na kukawa na fursa za biashara ambazo wasafwa wangeweza kupata pesa lakini kujitenga kwao kukaliacha soko wazi kwa wageni.

-madaraka, vyeo na teuzi serikalini za kuongoza mji huu wakawaachia wageni ambao nao walitumia bahati hii kuwekana maofisini na kupeana vyeo.

-viwanja vingi waliviacha ama kuviuza na kukimbilia milimani kusiko hata na huduma za jamii, n.k.

-baadhi ya wasafwa waliorudi hapa mjini ama waliobaki maeneo ya karibu wakaanza kujitambulisha ni wanyakyusa kwa kuogopa aibu na wengine kufikia hatua ya kufuta majina ya ukoo ili kuepukana na aibu, hii tabia hadi sasa inaendelea.

Ni historia yenye kusikitisha ila ina funzo kubwa sana, mkataa kwao hugeuka mtumwa.

Mwisho kwa kuhitimisha naweza kutoa ushauri kwa wasafwa kwamba historia haiwezi kubadilika itabaki kwajili ya kujifunza lakini mnachoweza kubadilisha ni muda wa mbele (future) kwa maamuzi mnayoweza kuanza kuyatekeleza sasa ili angalau mrudishe hadhi, mapendekezo yangu kwenu:

- wasafwa mzingatieni sana elimu pambanieni na ikibidi mjinyime watoto wasome.

- mjipanue na kutafuta fursa mpya za kibiashara na kujiajiri, Mbeya ni jiji lina watu wengi wenye mahitaji mengi muangalie ni sehemu zipi mnaweza kuchota pesa.

- muwe na bidii ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa na uongozi kwenye huu mji wenu, mpambanie nafasi za kupaza sauti ya kero zetu wageni wa mbeya na zenu wazawa halisi wa mbeya.

-msaidiane na kubebana ili walio chini nao wawe na maendeleo, roho za umimi na ubinafsi haziwezi leta maendeleo.

-mjivunie asili yenu ya usafwa, kuna baadhi ya wasafwa hufuta majina yao ya ukoo na wengine kukana kabila lao, huu ni ujinga, jivunie kabila lako, nyumbani ni nyumbani kwa jirani sio kwako.

bila kufanya haya hakuna kitachobadilika..
Hebu nipe majina 10 ya Wasafwa ambayo ambayo distinctly unajua huyu sio Mnyakyusa.
 
Wanyakyusa ni wavivu na wana kiburi na majivuno sio rahisi kukuza mji. Ila kuupaisha ujulikane hilo wanaweza sana tu.

Wasafwa mpaka kesho wanaogopa kuchangamana, huko ituha wako kibao waliohamia miaka hiyo wakidhani ni mbali na mji. Lakini sasa hivi lami imewafikia mpaka mlangoni. Wageni wanajazana hapo ituha, mijengo inaangushwa kila leo.
Wengine kama ilivyo kawaida wanahama wanakimbilia milimani zaidi, na akihama anauza kila kitu anaenda kuanza upya huko milimani .

Hawapendi kuchangamana, walau kizazi hiki cha sasa ila pia bado wasafwa kuchangamana ni tatizo kubwa. Bado wanakimbilia kujenga milimani wakae peke yao. So muda mrefu ituha itamilikiwa na wageni.
Hata viongozi wao tu sio wasafwa, aisee hili kabila.
Sijui kwanini wanyakyusa wanajisikia sana na kupenda kujisifia ilihali ukimwangalia unaona kabisa ana kipato na maisha ya chini sana
 
Back
Top Bottom