Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,735
- 2,265
Hii barabara ijengwe kwa upya!Kwa ambao hawajawahi kupita hii njia wanaweza kuona utani...il ukweli hii njia kuanzia Mbagala rang 3 pale kokoto mpaka Mtwara hakuna kitu pia kutoka mnazi mmoja mpaka masasi takataka kabisa. Kunazia masasi kuelekea Songea ndo wamejitahidi.
Zamani kidogo Muhoro-Somanga ndo palikua na mkeka angalau nao ndo sababu ya upya ila baada ya muda viraka vikaanza.
Njia ya Kusini ngumu kukaa na kusoma uzi ukiwa ndani ya gari maana haijatulia hata kidogo,,wenza wa Iringa atleast wana mkeka safi kuanzia pale Ruaha mpaka makambako.