Bwawa la Julius Nyerere mto Rufiji: The Silver Lining!

Tunataka mtu kama Paul Kagame, hakuna kusikiliza kelele nje bali kufanya yale unayoamini ni ya manufaa kwa nchi basi, hebu fikiria Hayati Magufuli angesikiliza kelele za kupinga huo mradi kwa mgao uliokuwa umeanza tungewasha nini?. Germany bila Hitler isingefika pale, Urusi bila Stalin, North Korea bila Kim Il Sung, China bila Mao Zedong nk
Sure ndugu yangu, tunamhitaji Magufuli mwingine aisee.
 
Asante sana ndugu, kuna watu hawataki kusumbuka isipokuwa wanataka kula mema. Binafsi kwangu mafuriko si tatizo kama tutawwza kupunguza/kumaliza tatizo la umeme.
Ukiongeza na hayo manufaa, niseme nini zaidi ya kumshukuru Maulana.

Waliokumbwa na mafuriko serekali iwasimamie kuwahamisha sehemu salama, kama kuna kuchangia kufanikisha hilo binafsi nipo tayari.
 
Kuna muda kama naona hatupo kwa tayari kwa maendeleo yoyote, treni inapondwa, ndege zinapondwa, mradi wa umeme unapondwa, daraja la busisi linapondwa, barabara ya kibaha, flyover ya ubungo na mengi!
Sijui haswa tunataka nini?
Achana na mafala hao
 
Kuna muda kama naona hatupo kwa tayari kwa maendeleo yoyote, treni inapondwa, ndege zinapondwa, mradi wa umeme unapondwa, daraja la busisi linapondwa, barabara ya kibaha, flyover ya ubungo na mengi!
Sijui haswa tunataka nini?
Wengi wa wapondaji ni hawa vijana wala bhangi na madawa ya kulevya,

Pumbavu zao sana hao
 
Kuna project inaitwa RUBADA (Rufiji Basin Development Authority) ilianzishwa 1975 na Nyerere ililenga uanzishwaji wa;
●HEP (Hydro Electric Power)
●Kilimo
●Forestry
●Industrial developmemt
●Tourism
●Navigation

Ila points zikawa zilezile
●Lack of enough capital
●Lack of qualified personnel
●Low level of sci & tech

Kilichofanyika so far ni HEP ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHHP) angalau likaitwa kwa jina lake kumuenzi Mwalimu kwa maono yake

Lengo la Nyerere lilikuwa kufanya projects kama ile ya Tennessee River Valley Authority (TVA) ya Marekani au The Three Gorges Dam Poject on Yangtze River ya China
Point zile zile bado ni changamoto;
1. Tunakopa kufanya miradi
2. Wanajenga wageni kwa sababu ya kukosa wataalam wa vitendo na sayansi na teknolojia kuwa chini.
 
Watanzania huwa tunatazama mabaya tu ya kila jambo, hatutazami upande unaoweza kutunufaisha kiuchumi.
Bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere, mto Rufuji inabidi litufumbue macho.
Its time to think big.

Kuna miradi kadhaa inaweza kuibuliwa.
1. A Major Waterway kusafirisha mazao na binadamu. Mto unaweza kutumika vixuri .

2. Kujenga kingo, Levees, kando ya sehemu zote za mafuriko

3 Bonde lote la Rufiji laweza kutumika kwa kilimo mwaka mzima.

4 Utalii wa majini, kando ya mto na hata mtoni kuna sehemu nzuri sana kwa Utalii. Nimeona hilo pale gate la Mloka kuingia Mbuga ya Selous, na kuna ziwa zuri sana sehemu za Mbunju kama 10km toka Ikwiriri.
Si watu wengi wanajua kuwa katika mdomo(delta) ya mto rufiji, meli ya kivita, SS Koenigsberg(meli ya kivita ya wajerumani, vita Kuu ya Kwanza 1914, hata leo ipo hapo.
Meli hii ni karibia dada yake na mv Liemba ya Kigoma, na ilizamishwa hapo mto Rufiji ili isitekwe na waingereza.
Meli hii ikiibuliwa yaweza kuwa kivutio kikubwa cha utalii.

Wizara husika zaweza kutangaza fursa hizo nzuri, bahati nzuri waziri na mbunge Mchengerwa inabidi suala hili alivalie njuga.
Unaweza kufanya analysis nzuri Sana kama hiyo, lakin kule serikalin kuna mabumunda mengi sana, yatokanayo na wastaafu. Hawana uwezo huo wa, kufikiri viatu vya, maana kama hivyo badala waibe pesa.
 
Watanzania huwa tunatazama mabaya tu ya kila jambo, hatutazami upande unaoweza kutunufaisha kiuchumi.
Bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere, mto Rufuji inabidi litufumbue macho.
Its time to think big.

Kuna miradi kadhaa inaweza kuibuliwa.
1. A Major Waterway kusafirisha mazao na binadamu. Mto unaweza kutumika vixuri .

2. Kujenga kingo, Levees, kando ya sehemu zote za mafuriko

3 Bonde lote la Rufiji laweza kutumika kwa kilimo mwaka mzima.

4 Utalii wa majini, kando ya mto na hata mtoni kuna sehemu nzuri sana kwa Utalii. Nimeona hilo pale gate la Mloka kuingia Mbuga ya Selous, na kuna ziwa zuri sana sehemu za Mbunju kama 10km toka Ikwiriri.
Si watu wengi wanajua kuwa katika mdomo(delta) ya mto rufiji, meli ya kivita, SS Koenigsberg ,meli ya kivita ya wajerumani, vita Kuu ya Kwanza 1914, hata leo ipo hapo.
Meli hii ni karibia dada yake na mv Liemba ya Kigoma, na ilizamishwa hapo mto Rufiji ili isitekwe na waingereza.
Meli hii ikiibuliwa yaweza kuwa kivutio kikubwa cha utalii.

Wizara husika zaweza kutangaza fursa hizo nzuri, bahati nzuri waziri na mbunge Mchengerwa inabidi suala hili alivalie njuga.
Kweli kabisa, katika matatizo, hasa yanayotokana na naendeleo, fursa zinazojitokeza ni nyingi sana.
 
Kuna project inaitwa RUBADA (Rufiji Basin Development Authority) ilianzishwa 1975 na Nyerere ililenga uanzishwaji wa;
●HEP (Hydro Electric Power)
●Kilimo
●Forestry
●Industrial developmemt
●Tourism
●Navigation

Ila points zikawa zilezile
●Lack of enough capital
●Lack of qualified personnel
●Low level of sci & tech

Kilichofanyika so far ni HEP ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHHP) angalau likaitwa kwa jina lake kumuenzi Mwalimu kwa maono yake

Lengo la Nyerere lilikuwa kufanya projects kama ile ya Tennessee River Valley Authority (TVA) ya Marekani au The Three Gorges Dam Poject on Yangtze River ya China
This is the way to go!
RUBADA ifufuliwe ili haya majukumu yashughulikiwe kikamilifu.
 
Kuna muda kama naona hatupo kwa tayari kwa maendeleo yoyote, treni inapondwa, ndege zinapondwa, mradi wa umeme unapondwa, daraja la busisi linapondwa, barabara ya kibaha, flyover ya ubungo na mengi!
Sijui haswa tunataka nini?
Ndivyo waafrika na wengineo ndivyo tulivyo.

Rais SH alisema kelele nyingi zitampoteza njia, mambo mengine atatumia cheo chake ili yaende.
 
Back
Top Bottom