Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,384
- 24,353
Watanzania huwa tunatazama mabaya tu ya kila jambo, hatutazami upande unaoweza kutunufaisha kiuchumi.
Bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere, mto Rufuji inabidi litufumbue macho.
Its time to think big.
Kuna miradi kadhaa inaweza kuibuliwa.
1. A Major Waterway kusafirisha mazao na binadamu. Mto unaweza kutumika vixuri .
2. Kujenga kingo, Levees, kando ya sehemu zote za mafuriko
3 Bonde lote la Rufiji laweza kutumika kwa kilimo mwaka mzima.
4 Utalii wa majini, kando ya mto na hata mtoni kuna sehemu nzuri sana kwa Utalii. Nimeona hilo pale gate la Mloka kuingia Mbuga ya Selous, na kuna ziwa zuri sana sehemu za Mbunju kama 10km toka Ikwiriri.
Si watu wengi wanajua kuwa katika mdomo(delta) ya mto rufiji, meli ya kivita, SS Koenigsberg ,meli ya kivita ya wajerumani, vita Kuu ya Kwanza 1914, hata leo ipo hapo.
Meli hii ni karibia dada yake na mv Liemba ya Kigoma, na ilizamishwa hapo mto Rufiji ili isitekwe na waingereza.
Meli hii ikiibuliwa yaweza kuwa kivutio kikubwa cha utalii.
Wizara husika zaweza kutangaza fursa hizo nzuri, bahati nzuri waziri na mbunge Mchengerwa wa Rufiji inabidi suala hili alivalie njuga.
Bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere, mto Rufuji inabidi litufumbue macho.
Its time to think big.
Kuna miradi kadhaa inaweza kuibuliwa.
1. A Major Waterway kusafirisha mazao na binadamu. Mto unaweza kutumika vixuri .
2. Kujenga kingo, Levees, kando ya sehemu zote za mafuriko
3 Bonde lote la Rufiji laweza kutumika kwa kilimo mwaka mzima.
4 Utalii wa majini, kando ya mto na hata mtoni kuna sehemu nzuri sana kwa Utalii. Nimeona hilo pale gate la Mloka kuingia Mbuga ya Selous, na kuna ziwa zuri sana sehemu za Mbunju kama 10km toka Ikwiriri.
Si watu wengi wanajua kuwa katika mdomo(delta) ya mto rufiji, meli ya kivita, SS Koenigsberg ,meli ya kivita ya wajerumani, vita Kuu ya Kwanza 1914, hata leo ipo hapo.
Meli hii ni karibia dada yake na mv Liemba ya Kigoma, na ilizamishwa hapo mto Rufiji ili isitekwe na waingereza.
Meli hii ikiibuliwa yaweza kuwa kivutio kikubwa cha utalii.
Wizara husika zaweza kutangaza fursa hizo nzuri, bahati nzuri waziri na mbunge Mchengerwa wa Rufiji inabidi suala hili alivalie njuga.