Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,400
21,292
Wakati watu wenye akili wakishauri mradi wa umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere ufanyiwe tathmini ya mazingira, genge la JPM lilikuwa linabeza huku likijivisha uzalendo mapepe kwamba mradi utachelewa. Sasa Rufiji iko hatarini kumezwa na maji.

Maji hayo yanatokana na bwawa kujaa na mto kujaa, na hapakuwa na mkakati wa kimazingira kuidhibiti hali hiyo. Maji yanaingia mitaani kwa wananchi na mashambani.Bwawa limejaa, mto umejaa, bwawa likimwaga maji mtoni, mtu unajaa pomoni mpaka bujee (overflow)

Hii pia iko Morogoro, kila mvua zikinyesha, matuta ya SGR yanarudisha maji kwa wananchi, maji hayana njia ya kupita.

Screenshot_20240405-183759.jpg

 
Wakati watu wenye akili wakishauri mradi wa umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere ufanyiwe tathmini ya mazingira, genge la JPM lilikuwa linabeza huku likijivisha uzalendo mapepe kwamba mradi utachelewa. Sasa Rufiji iko hatarini kumezwa na maji.

Hii pia iko Morogoro, kila mvua zikinyesha, matuta ya SGR yanarudisha maji kwa wananchi, maji hayana njia ya kupita.

View attachment 2954714
Laana za Mabeberu
 
Wakati watu wenye akili wakishauri mradi wa umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere ufanyiwe tathmini ya mazingira, genge la JPM lilikuwa linabeza huku likijivisha uzalendo mapepe kwamba mradi utachelewa. Sasa Rufiji iko hatarini kumezwa na maji.

Maji hayo yanatokana na bwawa kujaa na mto kujaa, na hapakuwa na mkakati wa kimazingira kuidhibiti hali hiyo. Maji yanaingia mitaani kwa wananchi na mashambani

Hii pia iko Morogoro, kila mvua zikinyesha, matuta ya SGR yanarudisha maji kwa wananchi, maji hayana njia ya kupita.

View attachment 2954714
Yani baba yako aache nyumba ipo kwenye lenta, mama yako ahonge hela kwa vibenten aezeke kwa makuti nyumba ivuje umlauma baba yako aliyekufa nyumba ikiwa kwenye lenta!?
Tena ulivyo zuzu unaomba asingejenga mkaendelea kuishi kwenye nyumba nzuri za kupanga za iptl na dowans
 
Wakati watu wenye akili wakishauri mradi wa umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere ufanyiwe tathmini ya mazingira, genge la JPM lilikuwa linabeza huku likijivisha uzalendo mapepe kwamba mradi utachelewa. Sasa Rufiji iko hatarini kumezwa na maji.

Maji hayo yanatokana na bwawa kujaa na mto kujaa, na hapakuwa na mkakati wa kimazingira kuidhibiti hali hiyo. Maji yanaingia mitaani kwa wananchi na mashambani

Hii pia iko Morogoro, kila mvua zikinyesha, matuta ya SGR yanarudisha maji kwa wananchi, maji hayana njia ya kupita.

View attachment 2954714
Chiembeee,Chieeembe hata wewe leo ndio wa kumnanga boss wako pendwa wa wakati wote,basi dunia inakimbia tena kweli kweli🫣🫣
 
Wakati watu wenye akili wakishauri mradi wa umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere ufanyiwe tathmini ya mazingira, genge la JPM lilikuwa linabeza huku likijivisha uzalendo mapepe kwamba mradi utachelewa. Sasa Rufiji iko hatarini kumezwa na maji.

Maji hayo yanatokana na bwawa kujaa na mto kujaa, na hapakuwa na mkakati wa kimazingira kuidhibiti hali hiyo. Maji yanaingia mitaani kwa wananchi na mashambani

Hii pia iko Morogoro, kila mvua zikinyesha, matuta ya SGR yanarudisha maji kwa wananchi, maji hayana njia ya kupita.

View attachment 2954714
Wacha porojo wewe. Rufiji ilikuwa na mafuriko miaka yote hata kabla bwawa halijajengwa; mafuriko hayakuletwa na Magufuli.


View: https://www.youtube.com/watch?v=OJNt1AIBhnE

Bwawa likianza kufanya kazi sawawasawa mafuriko hayo nayo yatakuwa ni hadithi za kale. Kilichotokea sasa hivi na Bwawa ku-overflow kwa vile halikufunguliwa kwa wakati. Huwezi kuinghiza maji bwawani bila kuyaruhusu kwa kiwango kinachoweka equilibrium.

Manochukuia maamuzi ya Magufuli mtahangaika sana kutafuta pa kulaumu lakini muda utakuja kuwasuta tu.
 
Yote ni matokeo yangekuwa mazuri anayemchukia Magufuli angemsifia japo kimoyo moyo yakiwa mabaya kama hivi ndiyo anatema sumu.

Kinatushinda nini kuelewa kwamba kwa kuzingatia mazingira ya nchi yetu kukosa nishati ya uhakika au hata kama ipo ya uhakika haitoshi kungemfanya kiongozi yeyote atafute option ya kudumu ya tatizo hilo?
 
Jiwe alijisifia kwa kukaidi ushauri wa kitaalamu. Akajinadi mbele ya kamera za vyombo vya habari kuwa "mimi sishauriki, tena ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa".

Matokeo yake amefukia matrilioni ya hela kwenye bwawa ambalo limefeli kabla ya kuanza kazi

Mshenzi sana yule.
 
Wacha porojo wewe. Rufiji ilikuwa na mafuriko miaka yote hata kabla bwawa halijajengwa; mafuriko hayakuletwa na Magufuli.


View: https://www.youtube.com/watch?v=OJNt1AIBhnE

Bwawa likianza kufanya kazi sawawasawa mafuriko hayo nayo yatakuwa ni hadithi za kale. Kilichotokea sasa hivi na Bwawa ku-overflow kwa vile halikufunguliwa kwa wakati. Huwezi kuinghiza maji bwawani bila kuyaruhusu kwa kiwango kinachoweka equilibrium.

Manochukuia maamuzi ya Magufuli mtahangaika sana kutafuta pa kulaumu lakini muda utakuja kuwasuta tu.

Watetezi wa marehemu mnatumia nguvu sana kutetea ujinga alioufanya huyu jiwe.
Mafuriko haya yalielezwa hata kwenye tathmini ya mazingira iliyofanywa kabla ya ujenzi, jiwe akakaidi.
 
Back
Top Bottom