Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!

Wewe ni :

chizi

mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo


Halafu ni:

taahira

mtu aliyepumbaa akili


Kisha ni:

mwendawazimu

mtu mwenye ugonjwa wa akili

Halafu ewe mwenye akili unajenga kitu kama hiki!
Kichwa kama kimbunga Hidaya we!!
1715063579229.png
 
Kama hutaki mfumo wa kumpa kazi lowest bidder ..Je unataka mfumo gani utumike?
Unajua maana ya value for money..? Kama umesoma procerment utanielewa..

Unataka tumpe highest bidder halafu baadae mje mseme kilomita moja ilijengwa kwa billion 2.5 ...?

Ubongo wako umejaa kokoto
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.

Kwa hayo maji hakuna barabara inayoweza kustahimili ....!!
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Kwa hayo mafuriko kama hata tone la lami lipo basi ntamsifu magufuli kama mtu wa viwango
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Tuliosoma sayansi tunajua nguvu ya maji.
 
Hakika inahitaji kujengwa Upya. Kama hela haikupigwa, basi nafikiri ilikuwa pungufu, yaani wametumia fedha ya kujenga Km 400 kujenga Km 560.
Barabara hiyo haina msimu wa kuchimbika, ni mashimokila siku, wakati wote ni viraka tu na watu site.
Walau barabara zetu zijengwe kwa kiwango cha wastani wa barabara ya Moro-Chalinze, inaridhisha kidogo.
 
Barabara ZOTE zilizojengwa huko nyuma na zinazojengwa sasa na TANROAD au TARURA kupitia wakandarasi zinajengwa chini ya viwango! Huo ndio ukweli mchungu.
Huu ndio wakati wa serikali kuamka na kufikiri kwa kina.
kila leo masikini Bashungwa yuko barabarani kukagua uozo uliofanywa na watanguizi wake.
Failure in design na viwango hafifu vya barabara zetu sasa zinatucost.
 
hujaeleza ni kwa kitaalamu ni wapi hicho kiwango cha chini, umeendeshwa na hisia, jazba, hasira,papara ,munkari na mhemko!

Hujui hata hiyo barabara ilijengwa vipi! Nenda kaulize wataalamu hiyo barabara ilijengwa vipi! Kaulize lile eneo likoje halafu ili uweke lami unahitaji nini.

Hapa ni Marekani (Colorado), mafuriko yalileta madhara haya, Marekani ni taifa lililoendelea kwenye kila nyanja, vipi hapa ni kiwango cha chini???
View attachment 2983090

Punguza ujuaji wa kishamba!
jf kuna wajuaji waliopitiliza.
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Wewe mdudu unachuki binafsi na JPM, aliyekuwa anatoa pesa si Kikwete wakati barabara ikijengwa kati ya 2011-2013?

Punguza upulizaji wa mbegu!!! Kwani waziri wa mambo ya nje kipindi hicho BM si alipewa pesa na Gadafi alizipeleka wapi?

Eneo lote kuanzia Kibiti, Rufiji, na Lindi yako bondeni na udongo wake hauhimili maji .


Hili ni janga la asili halafu unamlaumu mtu , JPM anawatesa mpaka leo ninyi wadudu
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Leo imetokea dhoruba unaita chini ya kiwango haya na huko Dubai uwanja ulojaaa maji nao tuwaambiaje???
Majanga yanatokea t hata uwe na ubora kias gani mungu huonesha ukuu wake
 
Barabara ikijengwa chini ya kiwango ni kosa la Waziri au ni kosa la Engineers wa Tanroads !??!

Maana Waziri sio mtaalamu wa miradi inayotekelezwa !
Leo atakuwa Waziri wa barabara kesho atateuliwa kwenye mifugo je ina maana huyo Waziri amesomea hizo kazi zote. ??!!

Ndio maana tunataka Katiba mpya bora itakayoainisha mapungufu yote haya ya kutokujua katika Ubadhirifu wa pesa za Umma nani na nani hasa wanastahili kuadhibiwa kisheria !
Na sheria ziwe kali kama za China au zifanane fanane !

Vinginevyo this is gonna be business as usual daima dumu !!
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Tutaendesha teksi toka Mtwara hadi Mwanza!!!
 
Mkuu kinachogomba ni project design na method ya ujenzi.
Hakuna kitu kisichowezekana ukikifanyia matayarisho yaliyoenda shule.

Miradi mingi ya maendeleo wahandisi wetu wamebebshwa ubongo wa kuwafurahisha wanasiasa.
Matokeo yake tunayaona sasa!
Mpaka sasa ninyi mbona hamjajenga chochote zaidi ya kufanya 'pot hole patching tena kwa kushindilia udongo mwingi mvua ikinyesha inatoboa.

Eleza hapa si waziri au rais wako kajenga barabara gani yenye hadhi hapa Tanzania, yaaani mmerahishiwa usafiri halafu unakuja kutapika chuki zako dhidi ya mtu 'you are doomed to say it the least'.
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.
Watu wa procurement wamekariri lowest bider ni yule mwenye hela ndogo, alafu wanasiasa wajinga wananekenua,

magufuli wanayemsifu ndo alikuwa mjiga kwenye mananuzi hakujua maana ya quality cost base(QBS) akataleta force account, akadai kuokoa hela, akawasimanga sana wakandarasi na washauri( consultants) kuwa ni eezi

Tunassubiri project za magufuli tuone kama zitadum Mika 5

Ifike mahali tuheshimu professional za watu walipe vizuri na wanasiasa wasiingilie tasluma zao tuthibiti rushwa ili kazi zifanyike kwa viwango vya juu

Katiba mpya inahitajika
 
Huu ndio wakati wa serikali kuamka na kufikiri kwa kina.
kila leo masikini Bashungwa yuko barabarani kukagua uozo uliofanywa na watanguizi wake.
Failure in design na viwango hafifu vya barabara zetu sasa zinatucost.
Mkuu, barabara zetu zinajengwa na kandarasi za nje, ni sehemu chache tu unakuta mkandarasi mzawa kapata tenda kwa mfano barabara ya Nyakanazi- Kakonko/Kabingo. Sielewi huwa tunawapa maagizo gani kuhusu barabara tunazotaka tujengewe na kwa kiwango gani.
Kujengewa barabara nyembamba zenye matuta yanayofunikwa na maji wakati wa mafuriko ni jambo lililozoeleka.
Ujenzi wetu wa barabara katika ukanda huu tunaweza kufananishwa na Burundi tu, ingawa nao wameanza kushtuka baada ya kujifunza kutoka kwa majirani zao Rwanda.
Huwa najiuliza kila ninaposafiri ndani ya Rwanda, hawa hawana makampuni ya ujenzi lakini barabara zao ni za vigezo na haziharibiki pamoja na kuwa na milima mingi na mabonde, ni nani hasa anawajengea barabara zao ? 😲
 

Attachments

  • ‎Reply_to_naenda_soon_bro‎20230225‎_Phoenix.mp4
    1.5 MB
hujaeleza ni kwa kitaalamu ni wapi hicho kiwango cha chini, umeendeshwa na hisia, jazba, hasira,papara ,munkari na mhemko!

Hujui hata hiyo barabara ilijengwa vipi! Nenda kaulize wataalamu hiyo barabara ilijengwa vipi! Kaulize lile eneo likoje halafu ili uweke lami unahitaji nini.

Hapa ni Marekani (Colorado), mafuriko yalileta madhara haya, Marekani ni taifa lililoendelea kwenye kila nyanja, vipi hapa ni kiwango cha chini???
View attachment 2983090

Punguza ujuaji wa kishamba!
Wewe mjinga sana, sasa hako kapicha ndio mwisho wako wa kufikiri.
Ati kwa vile Marekani barabara zina haribika , basi hapa kwetu ruksa kuharibika!
Wengine mnasoma lakini mna akili za kuku, kula karibu na kinyesi chake.
 
Back
Top Bottom