w0rM
Member
- May 3, 2011
- 68
- 166
Habari WanaJF,
Leo nimepita pale maeneo ya St. Peters karibu na Mbuyuni Jijini Dar es Salaam nimekutana na bango hili kubwa sana likiwa na maandishi mamubwa “Visit South Africa” inaweza kuwa sio jambo baya ila najiuliza na sisi kwenye nchi za Wenzetu tunafanya kujitangaza hivi?
Nawaza katika nchi za wenzetu sisi tunaweza kuweka bango kubwa namna hii na kusema “Visit Tanzania” katika eneo linalopitiwa na watu kwa wingi kila mara.
Yawezekana likawa ni tangazo la ndege za South Africa ila hadi ujue hivyo ni mtihani kwani cha kwanza unaona ni maneno makubwa kabisa “Visit South Afica” ni kama tunawahamasisha Wageni na Watanzania waende South Africa.
Naweza kuwa nakosea. Ila je hii ni sawa? Na Tanzania inafanya hivi huko Ugenini?
Leo nimepita pale maeneo ya St. Peters karibu na Mbuyuni Jijini Dar es Salaam nimekutana na bango hili kubwa sana likiwa na maandishi mamubwa “Visit South Africa” inaweza kuwa sio jambo baya ila najiuliza na sisi kwenye nchi za Wenzetu tunafanya kujitangaza hivi?
Nawaza katika nchi za wenzetu sisi tunaweza kuweka bango kubwa namna hii na kusema “Visit Tanzania” katika eneo linalopitiwa na watu kwa wingi kila mara.
Yawezekana likawa ni tangazo la ndege za South Africa ila hadi ujue hivyo ni mtihani kwani cha kwanza unaona ni maneno makubwa kabisa “Visit South Afica” ni kama tunawahamasisha Wageni na Watanzania waende South Africa.
Naweza kuwa nakosea. Ila je hii ni sawa? Na Tanzania inafanya hivi huko Ugenini?