na wengine

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Siku ya Mtandao Salama: Hatua gani unachukua kujilinda wewe na wengine dhidi ya Udanganyifu Mtandaoni

    Siku ya Mtandao Salama ni mpango wa kimataifa unaofanyika kila mwaka kila Jumanne ya pili ya mwezi wa Februari, ili kuongeza uhamasishaji kuhusu matumizi salama ya mtandao. Ilianzishwa mwaka 2004 na tangu wakati huo imekuwa tukio muhimu linalowahamasisha watu kote duniani kufikiria kuhusu...
  2. W

    Hit za mwisho walizotoa malegend wa bongo flava, baada ya hapo walirudi level za kawaida na wengine hawakuvuma tena

    Inspector Haroun - Asali wa Moyo Juma Nature - Dance with Me Professor Jay - kipi sijasikia Dully Sykes - Bongo fleva Ray C - Unanimaliza Feruz - Ndege mtini Mwana Fa - Mfalme Ngwea (Rip) - Nipeni dili Chege na Temba - mkono moja Marlaw - Pii pii AY - Leo remix Mr Blue - Baki na mimi TID na...
  3. Dalton elijah

    Geita: Wanafunzi Saba wafariki na wengine kujeruhiwa na Radi

    Wanafunzi wa Kidato Cha Tatu Shule ya Sekondari Businda Wilayani Bukombe Mkoani Geita, wamepoteza maisha katika msiba, huku wengine 82 wakijeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa Masomoni Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Paskas Muragili amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea leo Jumatatu...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Marais 24 wa Afrika. Rais wa Bank ya Dunia, Rais wa Bank ya Afrika, n.k na Wengine 2600 kuhudhuria Mkutano Nishati Kesho

    ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜: ๐— ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ (๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ ๐—˜๐—ป๐—ฒ๐—ฟ๐—ด๐˜† ๐—ฆ๐˜‚๐—บ๐—บ๐—ถ๐˜) ๐Ÿฎ๐Ÿณ-๐Ÿฎ๐Ÿด ๐—๐—ฎ๐—ป๐˜‚๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ, ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit) Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 โ€“ 28 Januari, 2025. Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya...
  5. Rula ya Mafisadi

    Garatwa: Emmanuel Ntobi, Henry Kileo, Boni Yai, Martin Maranja, Yericko Nyerere ni Vijana wanaomuunga mkono Mbowe kwa sababu ya Bia na Konyagi tu.

    Na; Garatwa Francis Wakati umma unaomuunga mkono Tundu Lissu ukiwaza zaidi juu ya kumpata Tundu Lissu awe M/Kiti wa CHADEMA ili Chama kiweze kuinuka tena na kutoka kwenye mifuko ya CCM na Dola yao walikokificha kwa manufaa yao. Wengine wanawaza zaidi kuhusu tumbo zao na wengine wanawaza kuhusu...
  6. A

    DOKEZO Mbolea za ruzuku hakuna kabisa

    Sisi wakulima wa ukanda wa Pwani tunateseka sana na mbolea , hakuna mbolea yoyote ya Ruzuku kwa sasa ilipo kwa mawakala , toka mwezi wa 11 mwishoni, kila wakala anasema serikali haijalipa wasambazaji hivyo mawakala wakichukua mbolea na kuuza kwa ruzuku hawatalipwa . Tunaomba Waziri wa Kilimo...
  7. hermanthegreat

    Kuna uwezekano Mbowe anafahamu walipo wanachadema waliowahi kupotezwa.

    Huyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli. Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
  8. S

    Tusameheni Zitto, Dr. Slaa na wengine wote mliopakaziwa tuhuma za usaliti ndani ya CHADEMA. Mlikuwa mbele ya wakati

    Wahenga walisema ukweli huwa una tabia ya kuchelewa lkn siku ukifika huwa uwongo unakimbia kama giza kwenye mwanga. Waathirika wa kusingiziwa kuwa ni wasaliti ndani ya chadema hatimaye leo wameibuka kidedea na kinara wa kuchafua wenzake ameonekana. Zitto, Prof. Kitila, Dr. Slaa, Msigwa, mzee...
  9. Pascal Mayalla

    Ukipokea Ujumbe Huu wa Rais Samia Kuhusu Kesho, Usikae Nao, Sambazia na Wengine!. Kesho Kazi ni Moja Tuu!, ni Unachukua...Unaweka...!.

    Wanabodi Huu ni ujumbe kwa wote waliopokea ujumbe huu siku ya leo โ€œHabari Ndg. PASCAL ANDREW MAYALLA, Mimi Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT. Kwa heshima napenda kukumbusha kesho tarehe 27 Novemba, 2024 kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa...
  10. Rorscharch

    Sababu Zilizowasukuma Elon Musk, Tulsi Gabbard, na Wengine Kuwa Wapinzani wa Chama cha Democratic

    Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mijadala mingi kuhusu jinsi baadhi ya watu mashuhuri walivyogeuza mtazamo wao dhidi ya chama cha Democratic nchini Marekani. Wakati Robert Kennedy Jr. na Donald Trump hawajulikani wazi kilichowasukuma, hali za Elon Musk na Tulsi Gabbard ni rahisi...
  11. Mtoa Taarifa

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bunda na wengine 11 Wafikishwa Mahakamani kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

    Watumishi tisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, akiwamo aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Amos Kusaja na wafanyabiashara watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya...
  12. G

    Shigongo ameonesha uanaume, na wengine muige

    Shigongo ametoa surprise msibani kwa Grace Mapunda (a.k.a Tesa). Shigongo ametamka bila hofu kuwa Grace alikuwa mpenzi wangu (mchepuko) . Watu wote (wake kwa waume) msibani wakabaki wameduwaa. Huyu ndiyo mwanaume sasa, haogopi "kuku" (mke) aliyeko ndani kwa sasa. Maana huyo kuku kafugwa na...
  13. mdukuzi

    Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

    Orodha ni ndefu sana kuanzia justin bieber mpaka Lil bow wow, Orodha ni ndefu sana,na wameanza kujitaja na kutajana baada ya kugindua mamlaka ina ushahifi wa wapakwa mafuta wote ,
  14. MK254

    Wanajeshi 19 wa Iran waliuawa na wengine 150 kujeruhiwa kwenye shambulizi la Israel la kutumia elektroniki

    Hawa ni wanajeshi wa Iran waliokua wanatoa misaada kwa magaidi wa waislamu, yaani Myahudi ni balaa nyingine.... Haya kama kawa njooni na povu zenu wazee wafia ile dini japo waoga wa kyeboard warriors...mnapigwa kote, mpaka sasa pale Gaza idadi ya mizoga yenu inasoma zaidi ya 40,000 Mlilianzisha...
  15. NGOSWE2

    Hivi na wengine huwatokea?

    Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna wakati ninapotaka kujibu au kuchangia hoja mbalimbali zinazoibuliwa na wadau humu JF, .kuna kitu huwa kinanikwaza. Unakuta kila nikijibu, mara neno nililoandika linafutwa au hata sentensi nzima inafutwa hata kabla ya kumaliza kuandika. Hii najiuliza ni...
  16. Nyanda Banka

    Wakati tunamtukana Diamond tuwakumbushe na wengine kwamba wamelala

    Kitu Kimoja Ambacho Mashabiki Wa Muziki Mnapaswa Kujua Ni Kwamba Diamond Ni Msanii Mkubwa Afrika Na Anaweza Kufanya Show Nchi Yoyote Ndani Ya Afrika Na Watu Wakajaa, Lakini Inapokuja Kwenye Soko La Ulaya Bado Hana Nguvu Tofauti Na Wenzetu Nigeria. Wenzetu Walishatangulia Kiuwekezaji Na...
  17. BLACK MOVEMENT

    Mbowe ndio Amebeba Idea ya CDM, kama ilivyo Odinga, Malema, Tsvangirai(RIP) na wengine wengi.

    Mbowe ndio amebeba Idea ya CDM, kama ilivyo kwa Raial Odinga kwa ODM au Malema kwa EFF, au ilivyo kuwa kwa Morgan Tsvangirai na mfano mzuri ni huyu mwamba alie mpelekesha vilivyo Mugabe na Baada ya kufa Chama chake kimepotea kabisa. Uzidhanie Raial Odinga akiondoka pale ODM itabakua na nguvu...
  18. Mohamed Said

    Prof. Shivji na Wengine Wamkumbuka Mwalimu Nyerere

    PROF. SHIVJI AMWELEZA MWALIMU NYERERE Ilikuwa siku ya uzinduzi wa nyumba ya Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere baada ya kufanyiwa ukarabati. Baada ya uzinduzi wadau wa historia ya Mwalimu Nyerere tulijumuika kuzungumza. Kabla ya shighuli hii nilitembelewa na maofisa wa nyumba hii ya kumbukuzi...
  19. Kaka yake shetani

    Sawa ukifungwa mtandao X na viongozi wenu wa ccm na serikali wata kuwa wanapost wapi?

    Hii nchi bwana yani hawa ccm na watu wengine wanao shabikia kufungwa mtandao waulize kama raisi wao ana account JF. mtandao X ndio mtandao umebeba viongozi wengi wenye account kuliko mitandao mengine. Hivi nyie chawa wa ccm na uvccm mnajitafakari au mnataka kujiona mna akili
Back
Top Bottom