Ukiambiwa dunia ni usiku na mchana ndio haya.
Malezi waliokulia wanawake wa uswahilini ni ya ajabu yani kuanzia shida wanazopitia na kutofatiliwa na wazazi wao yanapelekea kuwa watu wa ajabu.
Kuna kipindi cha dada mmoja Geah habibu pale youtube mnaweza kujifunza vituko huko
I – Inshu (Hoja Kuu)
Katika jamii ya sasa inayozidi kukumbatia usawa wa kijinsia, sauti za wanawake wanaolalamika juu ya mateso ya kimahusiano na ndoa zimekuwa za kawaida. Mitandao ya kijamii, majukwaa ya wanawake, na hata mijadala ya hadharani imejaa simulizi za huzuni kuhusu wanawake...
I was just wondering what actions are taken once you finish and publish a research paper. I'm not all that experienced nor informed, so I'm just genuinely curious what could be done with one's research after it's finished. I'm talking more so about humanities research, so it's not necessarily...
Wanawake wengi wenye ndevu wana ndani yao wengi wao viburi, jeuri na dharau. Hawa viumbe hawana unyenyekevi, utii wala heshima, jihadhari ukipata demu wa aina hii hawe fundi vipi umakini
Jana ndio nilitambua kumbe nina uwezo wa kula haraka hata chakula kiwe kingi na chamoto kiasi gani.
Tumetoka kwa chakula cha usiku mwenzangu simu yake akaicha ndani kwenye chaji, tumefika sehemu ya kula tumeanza tu kula akaniomba simu yangu atume mail fulani kabla hajasahau, nikampa...
Seriously ... Tusaidiane kujua aina ya red flags mlizowahi kutana nazo wakulungwa kwa upande wenu na mkazichukulia hatua ....
Hata wanawake mnaruhusiwa kutoa red flags zenu zilizowakimbiza kwenye baadhi ya Mahusiano.
Salaam jamiiforum.
Dunia inaenda kasi, mitindo ya maisha inabadilika,watu wengi wanakata tamaa.
Asiye na pesa anadhani tatizo lake ni kutokuwa nazo ndiyo maana anateseka? Yes swali ni lenye maumivu,ambapo majibu yake ni kufanya kazi na si kingine.
Fanya kazi Kwa kiasi na uwezo wako,buni...
Sasa hivi utaratibu ni njoo na wawili nilete wawili kisha tuongeze mmoja maisha yaendelee.
Weekend baba yupo kwa baby mama na mama yupo kwa baby daddy wanaita kucooparent. Role model wao ni Chibu.
Well done...ili kuwa ni suala la muda. Wewe uliye pata watoto kabla ya kuoa/kuolewa watoto ni...
Habari wadau poleni na majukumu
Mimi ni kijana wa 27 ,ni entrepreneur Ninaishi dar lkn muda mwing naenda polini ni chaka tu chaka nanunua Gold ,Elimu yang Degree.
Nina changamoto ya kimahusiano sijui tatizo ni nn ,Natamani kua na mke lakn mahusiano yang huwa yanakufa njian labda niseme sijui...
Sawa tuna njaa, sawa hatuwezi linga diplomatically kwa maana hatuna kitu.
Ila nakuambia hivii njaa itatoka tumboni na kwenda akilini pale utakapogundua anaeshirikiana na wewe kukutoa katika tabu kuanza kulala na mke wako na kunajisi watoto wako kisa tu anakusaidia kuishinda njaa.
min -me
LOTH...
Moja kati ya kitu ambacho Nimejifunza kwenye stage ya ukuaji wangu
👉Wengi tuliwakataa waliotupenda kweli, tukaangukia kwa ambao na hawatutaki na wao kuna sehemu wamependa
✔️Unakuta mtu umemkataa sababu hana kazi nzuri
✔️Sio msomi
✔️Mwonekano wa kawaida usiovutia(hana sick pack, Hana taqo...
1. Mke wa mtu
Kuna mstari mwembamba unaotenganisha kifo na mke mtu.
Ukiwa nae ujue parapanda inalipa muda wowote
2. Mwanafunzi
Hapo tunaita kuguswa mamlaka
Jera miaka 30 sio mingi
3 Single mothers
Hawa ni wabinafsi na wana visurani kufa Kwa pressure ni jambo la kufikia
Wengine...
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.
Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo...
Hamjambo wote!
Vijana wadogo, huwezi ipuuza Past ya mwanamke unayetaka kwenda kumuoa kwa Sababu past ya Mwanamke ndio future ya Mahusiano yenu.
Kupuuza past yake ni kupuuza future yako.
Zingatia, mtu habadiliki mtu ni yuleyule.
Na ukiona mabadiliko yoyote usiyaamini.
Katika mahusiano ya...
Wadada wa mjini wengi wamekuwa wakijikuta katika mivutano mikubwa ya mahusiano bila wao kujua na kubaki wakilia mjini! Unakuta binti kaingia katika mahusiano na mtu wanaamua kusogezana pika pakua wakati akienda kwa mwanaume amemkuta na kiwanja na kibanda au nyumba kabisa! lakini baada ya miezi...
Mimi kwanza sio mtu hata wa hayo mambo. Ila mara ya mwisho nilisahau mkufu wangu kwake na nikamwambia akaniambia ameuhifadhi. Nimerudi nikamuuliza kaniambia hauonekani itakuwa dada wa usafi kautupa. Sasa najiuliza huyo dada wa usafi kwanini anatupa vitu vya watu bila kuuliza jamani.
Salam wadau,
Mwezi wa pili mwanzoni kuna binti niliona bora tu ahamie getoni kwangu tuishi kama mke na mume japokuwa bado sijajitambulisha kwao lakini wazazi wake wananifahamu!!!
Lengo langu nilipanga mwezi wa kumi nikajitambulishe na ikiwezekana nimalize kila kitu hasa mahali awe mke rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.