mahusiano

  1. chizcom

    Jamani jamani naomba msije jichanganya kuwa na mahusiano na wanawake wa uswahilini

    Ukiambiwa dunia ni usiku na mchana ndio haya. Malezi waliokulia wanawake wa uswahilini ni ya ajabu yani kuanzia shida wanazopitia na kutofatiliwa na wazazi wao yanapelekea kuwa watu wa ajabu. Kuna kipindi cha dada mmoja Geah habibu pale youtube mnaweza kujifunza vituko huko
  2. Rorscharch

    Asilimia Kubwa ya Wanawake Wanaosema Wanateseka Kwenye Mahusiano au Ndoa Zao, Mazingira Hayo Wameyajenga Wenyewe

    I – Inshu (Hoja Kuu) Katika jamii ya sasa inayozidi kukumbatia usawa wa kijinsia, sauti za wanawake wanaolalamika juu ya mateso ya kimahusiano na ndoa zimekuwa za kawaida. Mitandao ya kijamii, majukwaa ya wanawake, na hata mijadala ya hadharani imejaa simulizi za huzuni kuhusu wanawake...
  3. Festo Andrews

    What do you with a research paper after its been published?

    I was just wondering what actions are taken once you finish and publish a research paper. I'm not all that experienced nor informed, so I'm just genuinely curious what could be done with one's research after it's finished. I'm talking more so about humanities research, so it's not necessarily...
  4. Gusa Achia Inachosha

    Wanawake wenye ndevu changamoto kwenye mahusiano

    Wanawake wengi wenye ndevu wana ndani yao wengi wao viburi, jeuri na dharau. Hawa viumbe hawana unyenyekevi, utii wala heshima, jihadhari ukipata demu wa aina hii hawe fundi vipi umakini
  5. Half american

    Ila hizi simu zinachangia sana kuvuruga mahusiano

    Jana ndio nilitambua kumbe nina uwezo wa kula haraka hata chakula kiwe kingi na chamoto kiasi gani. Tumetoka kwa chakula cha usiku mwenzangu simu yake akaicha ndani kwenye chaji, tumefika sehemu ya kula tumeanza tu kula akaniomba simu yangu atume mail fulani kabla hajasahau, nikampa...
  6. 0005

    Ukiacha sex, mwanamke ana nini cha ziada anachotoa kwenye mahusiano?

    Hivi dada zetu wanafahamu Mambo wanayopaswa kuchangia kwenye relationship ukiacha sex ?
  7. 0005

    MAN TO MAN : Ni Nini alikifanya ukagundua kuwa yule mwanamke hakufai ??

    Seriously ... Tusaidiane kujua aina ya red flags mlizowahi kutana nazo wakulungwa kwa upande wenu na mkazichukulia hatua .... Hata wanawake mnaruhusiwa kutoa red flags zenu zilizowakimbiza kwenye baadhi ya Mahusiano.
  8. Jack Daniel

    Kazi na uhusiano wa kweli katika maisha.

    Salaam jamiiforum. Dunia inaenda kasi, mitindo ya maisha inabadilika,watu wengi wanakata tamaa. Asiye na pesa anadhani tatizo lake ni kutokuwa nazo ndiyo maana anateseka? Yes swali ni lenye maumivu,ambapo majibu yake ni kufanya kazi na si kingine. Fanya kazi Kwa kiasi na uwezo wako,buni...
  9. Daby

    Inafurahisha saana kuona jamii ilivyobadilisha mtazamo kuhusu watoto wa nje. Well done.

    Sasa hivi utaratibu ni njoo na wawili nilete wawili kisha tuongeze mmoja maisha yaendelee. Weekend baba yupo kwa baby mama na mama yupo kwa baby daddy wanaita kucooparent. Role model wao ni Chibu. Well done...ili kuwa ni suala la muda. Wewe uliye pata watoto kabla ya kuoa/kuolewa watoto ni...
  10. AlphaMale_

    Nina changamoto ya kimahusiano sijui tatizo ni nini. Natamani kuwa na mke lakini mahusiano yangu huwa yanafia njiani

    Habari wadau poleni na majukumu Mimi ni kijana wa 27 ,ni entrepreneur Ninaishi dar lkn muda mwing naenda polini ni chaka tu chaka nanunua Gold ,Elimu yang Degree. Nina changamoto ya kimahusiano sijui tatizo ni nn ,Natamani kua na mke lakn mahusiano yang huwa yanakufa njian labda niseme sijui...
  11. Eli Cohen

    Siasa za ki-communist zimeishapitwa na wakati, mahusiano yetu na uchina yawe na mipaka kama vile yeye anavyowawekea wengine mipaka.

    Sawa tuna njaa, sawa hatuwezi linga diplomatically kwa maana hatuna kitu. Ila nakuambia hivii njaa itatoka tumboni na kwenda akilini pale utakapogundua anaeshirikiana na wewe kukutoa katika tabu kuanza kulala na mke wako na kunajisi watoto wako kisa tu anakusaidia kuishinda njaa. min -me LOTH...
  12. B

    Watu wengi hatupati mahusiano mazuri sababu tunawakataa /hatuwataki wanaotupenda kweli!

    Moja kati ya kitu ambacho Nimejifunza kwenye stage ya ukuaji wangu 👉Wengi tuliwakataa waliotupenda kweli, tukaangukia kwa ambao na hawatutaki na wao kuna sehemu wamependa ✔️Unakuta mtu umemkataa sababu hana kazi nzuri ✔️Sio msomi ✔️Mwonekano wa kawaida usiovutia(hana sick pack, Hana taqo...
  13. ngara23

    Aina ya wanawake hatari kuwa nao kwenye mahusiano

    1. Mke wa mtu Kuna mstari mwembamba unaotenganisha kifo na mke mtu. Ukiwa nae ujue parapanda inalipa muda wowote 2. Mwanafunzi Hapo tunaita kuguswa mamlaka Jera miaka 30 sio mingi 3 Single mothers Hawa ni wabinafsi na wana visurani kufa Kwa pressure ni jambo la kufikia Wengine...
  14. kyagata

    Hivi unapokua na mahusiano na mwanamke,halafu ghafla akaanza kukuita daddy, anakua na maana gani?

    Habari za uzima wakuu? Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano,naona ghafla kaanza kuniita daddy. Hii ina maana gani?
  15. T

    Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

    Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa. Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Mara nyingi Past ya mwanamke utakayemuoa ndio future ya Mahusiano yenu

    Hamjambo wote! Vijana wadogo, huwezi ipuuza Past ya mwanamke unayetaka kwenda kumuoa kwa Sababu past ya Mwanamke ndio future ya Mahusiano yenu. Kupuuza past yake ni kupuuza future yako. Zingatia, mtu habadiliki mtu ni yuleyule. Na ukiona mabadiliko yoyote usiyaamini. Katika mahusiano ya...
  17. KakaKiiza

    Kuna hii habari imekuwa ikiwachanganya watu katika mahusiano hasa wadada kudhani ni haki yao!

    Wadada wa mjini wengi wamekuwa wakijikuta katika mivutano mikubwa ya mahusiano bila wao kujua na kubaki wakilia mjini! Unakuta binti kaingia katika mahusiano na mtu wanaamua kusogezana pika pakua wakati akienda kwa mwanaume amemkuta na kiwanja na kibanda au nyumba kabisa! lakini baada ya miezi...
  18. W

    Ili kuweka "territory" kwenye mahusiano yako huwa unaacha vitu gani kwani mpenzi wako?

    Mimi kwanza sio mtu hata wa hayo mambo. Ila mara ya mwisho nilisahau mkufu wangu kwake na nikamwambia akaniambia ameuhifadhi. Nimerudi nikamuuliza kaniambia hauonekani itakuwa dada wa usafi kautupa. Sasa najiuliza huyo dada wa usafi kwanini anatupa vitu vya watu bila kuuliza jamani.
  19. mkokamoto

    Hii ina maana gani kwenye mahusiano?

    Salam wadau, Mwezi wa pili mwanzoni kuna binti niliona bora tu ahamie getoni kwangu tuishi kama mke na mume japokuwa bado sijajitambulisha kwao lakini wazazi wake wananifahamu!!! Lengo langu nilipanga mwezi wa kumi nikajitambulishe na ikiwezekana nimalize kila kitu hasa mahali awe mke rasmi...
Back
Top Bottom