kitovu

Kitovu Hospital is a hospital in Kitovu, a neighborhood within the city of Masaka, Masaka District, Central Uganda. It is a private, community hospital, serving the city of Masaka and surrounding communities. It runs a specialist program to repair obstetric fistulas, that was founded by Dr. Maura Lynch; one of about six centers in the country that can do so.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    SoC04 Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika ndani ya miaka 25 kwa lengo la kukuza uchumi

    TANZANIA KUA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA NDANI YA MIAKA 25 KWA LENGO LA KUKUZA UCHUMI. UTANGULIZI Tanzania ni nchi ambayo imepakana na Bahari ya Hindi upande wa mashariki mwa Afrika na kuzungukwa na Nchi nyingine nyingi upande wa Kaskazini, Magharibi na Kusini ambazo kwa miaka mingi zimekua...
  2. chiembe

    Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

    Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori. Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na...
  3. hermanthegreat

    Kitovu changu ni cheupe. Je, kuna shida yoyote?

    Wakuu, Kitovu changu kina weupe unaosababishwa na vitu kama unga unga, japo hakuna maumivu yoyote lakini ningependa kufahamu hasa hili linasababishwa na nini.
  4. Beginning

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Miundombinu mibovu ndani ya jiji la Arusha. Barabara za lami,ndani ya jiji la Arusha barabara nyingi za lami ni nyembamba na haziendani kabisa na wingi wa magari yaliyopo. Barabara za vumbi,jiji la Arusha limezungukwa na barabara za vumbi kila kona,hii ni aibu kubwa sana kwa jiji ambalo...
  5. OCC Doctors

    Kamba ya kitovu kumzunguka mtoto shingoni

    Kamba ya kitovu kumzunguka mtoto shingoni kabla ya kuzaliwa (nuchal cord), matatizo yanaweza kujumuisha shida ya kupumua, na kuzaa mtoto aliyekufa. Kamba ya kitovu inaweza kumzunguka mtoto kwa ulegevu (loose), na inaweza kumzunguka mtoto kisha ikamkaza (tight), na inaweza kumzunguka mtoto mara...
  6. Pfizer

    Dkt. Kiruswa: Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji madini barani Afrika

    #Dkt. Kiruswa Afungua Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Lindi Ruangwa - Lindi Imeelezwa kuwa, Serikali inaandaa Mkakati wa kuwezesha uongezaji thamani madini kwa lengo la kuzalisha bidhaa mbalimbali zinazotokana na madini utakaopelekea Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji madini kwa...
  7. Burkinabe

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam siyo Chachu na Kitovu cha Mabadiliko tena, Imebaki Historia tu

    Habari wana JF, Kwa wale wazee wenzangu, watakubaliana na mimi kwamba wanachuo wa siku hizi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wamepoa sana na wengi wao hawajiamini kulinganisha na wale wa miaka ya 2005 kurudi nyuma! Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) al-maarufu kama Mlimani, ilikuwa ni kitovu...
  8. NetMaster

    Mbinu zipi wamezitumia Wakinga kuwa wafalme Kariakoo?

    Hapo zamani wafanyabiashara wengi wakifika kariakoo kujumua / kufunga mizigo kwajili ya kwenda kuuza mikoani ama nchi zilizotuzunguka walifikia maduka makubwa ya wachaga na wapemba ukiachana na wenye asili ya asia, Kwa sasa hali ni tofauti maana jamii ya wakinga wanamiliki share kubwa ya soko...
  9. sifi leo

    Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

    Sidhani kama nitaeleweka ila naomba ikae hivyo. Ni juzi tu vijana wa kiume wa umri wa zaidi ya miaka 30 madereva bodaboda na mwingine kinyozi walikutwa wanalawitiwa, walivamiwa na kupigwa. Kama haitoshi huwezi amini siku 35 zilizopita watoto kumi na mbili walibainika kuwa wanaingiliana wenyewe...
  10. ichumu lya

    Kanda ya Ziwa Kitovu cha Ukombozi wa Nchi Hii

    Ukombozi wa nchi hii utatokea Kanda ya ziwa muda na wakati wa ukombozi wa Taifa hili ni sasa kwakutambua hilo Chama kikuu cha siasa nchini Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tayari kinaandaa mkutano wa ufunguzi tangu marehemu alipobaka Katiba kwa kuweka zuio haramu zuio lililokinzana na...
  11. S

    Njia salama zaidi kwenye kushughulikia kitovu cha mtoto

    Kinadharia Jamii yetu unaamini uwepo wa nguvu za giza na jinsi zinavyoathiri maisha yetu. Kitovu ni muunganiko wa kiroho na kimwili ili kupitisha virutubisho na uwepo wa mawasiliano ya kiroho pia Kati ya mama na mtoto. Ipo inayotumika kupitisha nguvu za giza Ili kudhuru au kukamata maisha ya...
  12. peno hasegawa

    Geita kuwa kitovu cha uchumi Afrika Mashariki

    Geita. Serikali imelenga kuufanya mkoa wa Geita kuwa kitovu cha uchumi ndani ya Taifa na ukanda wa Afrika Mashariki na kuwataka wananchi kutumia fursa hiyo hasa kwenye uwekezaji wa mwambao wa Ziwa Victoria ili kufanya mkoa huo kuwa lango la biashara. Akizungumza na wananchi wa mkoa huo kwenye...
  13. B

    Zanzibar kuwa kitovu cha huduma za TEHAMA Afrika ya Mashariki

    HUU NDIO MJI WA TEKNOLOJIA, VIWANGO VYA GOOGLE NA AMAZON VINAKUJA ZANZIBAR Zanzibar kuwa kitovu cha tekinolojia za mawasiluano na habari - TEHAMA ukanda wa Afrika ya Mashariki kwa kutumia mifumo hiyo kuinua shughuli za kiuchumi, uzalishaji na usambazaji bidhaa pamoja na huduma. Video:source...
  14. EINSTEIN112

    VITA YA UKRAINE: Urusi yazingira kitovu cha viwanda

    Kramatorsk. Vikosi vya Russia vinavyohusika katika mapigano makali mashariki mwa Ukraine vimeuteka mji wa kimkakati wa Lyman na kuzingira kituo kikuu cha viwanda, Moscow imedai. Hata hivyo Ofisa wa Ukraine amekanusha kuwa mji wa Severodonetsk ambao ni kitovu cha mapigano makali ya wiki...
  15. Miss Zomboko

    Kuwawajibisha maafisa wa Serikali ni kitovu cha Demokrasia

    Kuwawajibisha maafisa wa serikali ni kitovu cha demokrasia. Uwajibikaji wa kidemokrasia unawapa wananchi na wawakilishi wao nafasi na njia ya kutoa maoni yao na kupatiwa maelezo kuhusu utendaji kazi wa maafisa wa kuchaguliwa na wale wasio wa kuchaguliwa, na inapobidi wanashauri hatua za kuchukua...
  16. MK254

    Eneo la Gulu tayari, kitovu cha biashara na usafiri kinachounganisha Kenya, Sudan Kusini, Uganda na DRC

    Miundo mbinu imeboreshwa, hamna haja ya kupitia Kampala tena, kipande cha reli cha Tororo kitaharakisha usafiri kutokea mpakani mwa Kenya.... More than a decade ago, Gulu was a no-go area, thanks to the Joseph Kony-led Lord’s Resistance Army rebels, who were fighting the government then. Fast...
  17. MK254

    Umuhimu wa Kenya kama kitovu cha TEHAMA Afrika, rais Biden amteua kigogo wa taaluma kuwa balozi Kenya

    Huyu mama alikua mkurungenzi HP na eBay, halafu tena ni bilionea aliyetosheka, ateuliwa kuiwakilisha Marekani nchini Kenya kama balozi...... Teuzi kama hizi hudadavuliwa sana, nani aende wapi, sio kama ambazo tumezoea ambapo mtu anateuliwa kwa uchawa wake..... US President Joe Biden has...
  18. Replica

    Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu

    Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu, lazima tuiendeleze Mwanza iwe kitovu majirani wasitupite. Yale yote yaliyopangwa na serikali ya Mkoa wafuateni nayo, Serikali kuu tuko nyuma yenu tunakwenda kumaliza shida zilizobakia. Najua kuna ahadi ya mpendwa wetu...
  19. Erythrocyte

    Gerson Msigwa karibu Idara ya Habari Maelezo, kitovu cha majungu, nyumba ya lawama ikiwa utakubali kutumika

    Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu. Idara...
  20. Miss Zomboko

    Usafi wa kibana kitovu cha Mtoto

    Baada ya mtoto wako kuzaliwa, mrija wa chakula toka kwa mama utakatwa na kubanwa na kibana kitovu. Mfunge nepi mtoto wako ikiwa chini ya kitovu, ili kibana kitovu kipate hewa na pia kisipate mkojo. Epuka kumuogesha mtoto wako mpaka kibana kitovu kitakapodondoka. Hakikisha kibana kitovu...
Back
Top Bottom