biden

Joseph Robinette Biden Jr. ( BY-dən; born November 20, 1942) is an American politician and the 46th president-elect of the United States. After defeating incumbent Donald Trump in the 2020 United States presidential election, he will be inaugurated as the 46th president in January 2021. A member of the Democratic Party, Biden previously served as the 47th vice president from 2009 to 2017 and United States Senator for Delaware from 1973 to 2009.
Raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware, Biden studied at the University of Delaware before earning his law degree from Syracuse University in 1968. He was elected a New Castle County Councillor in 1970, and became the sixth-youngest senator in American history when he was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972, at the age of 29. Biden was a longtime member of the Senate Foreign Relations Committee, and eventually its chairman. He opposed the Gulf War in 1991, but supported expanding the NATO alliance into Eastern Europe and its intervention in the Yugoslav Wars of the 1990s. He supported the resolution authorizing the Iraq War in 2002, but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He also chaired the Senate Judiciary Committee from 1987 to 1995, dealing with drug policy, crime prevention, and civil liberties issues; he led the effort to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act, and oversaw six U.S. Supreme Court confirmation hearings, including the contentious hearings for Robert Bork and Clarence Thomas. He ran unsuccessfully for the Democratic presidential nomination in 1988 and again in 2008.
Biden was reelected to the Senate six times, and was the fourth-most senior senator when he resigned to serve as Barack Obama's vice president after they won the 2008 presidential election; Obama and Biden were reelected in 2012. As vice president, Biden oversaw infrastructure spending in 2009 to counteract the Great Recession. His negotiations with congressional Republicans helped pass legislation including the 2010 Tax Relief Act, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved a debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending "fiscal cliff". He also led efforts to pass the United States–Russia New START treaty, supported military intervention in Libya, and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. Following the Sandy Hook Elementary School shooting he led the Gun Violence Task Force. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction.
In April 2019, Biden announced his candidacy in the 2020 presidential election, and he reached the delegate threshold needed to secure the Democratic nomination in June 2020. On August 11, he announced U.S. Senator Kamala Harris of California as his running mate. Biden won the 2020 presidential election of November 3 against President Trump. Thus, he is only the second non-incumbent vice president to become President-elect of the United States, and the first since Richard Nixon in 1968.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Joe Biden anaposhutumiwa kuwaunga mkono HAMAS, nani yuko salama?

    1. Marekani haijawahi kuwa na rais pro Israel kuliko bwana Joe Biden aliyeko madarakani sasa. 2. Yupo kwenye rekodi Joe Biden akisema commitment yake kwa Israel ni unconditional, iron clad na vya namna hiyo; kuwa atasimama nao hata iweje! 3. Kwamba hapo #3 atakuwa nao hata wamtie vidole...
  2. 100 others

    Kiongozi wa Israel anamlalamikia Biden kuwa anaiumiza nchi yao

    Amichai Chikli: Biden admin. doesn't project power, I would choose Republicans Jamaa analalama Biden anaiumiza Israel kwa sera na kauli zake. Ameenda mbali zaidi na kusema laiti kama angekuwa mwananchi wa US basi angempigia Trump kura yake. Anachozungumza huyu waziri wa mambo ya diaspora...
  3. BARD AI

    Rais Biden asaini Sheria itakayoifungia TikTok kama haitamilikiwa Marekani

    Biden signs Israel, Ukraine, TikTok bill into law President Joe Biden signed into law measures to provide aid to Israel, Ukraine and Taiwan, as well as force the divestiture of social media platform TikTok from its Chinese parent company ByteDance or face a national ban. TikTok has vowed to...
  4. DeepPond

    Rais Biden kuwafungia sola kaya 900,000 masikini nchini Marekani

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (x), Rais wa mmarekani JOE BIDEN amesema serikali yake inakusudia kupitisha dola bil. 7 kwa ajili ya kugharamia Sola 900,000 kwa ajili ya kaya maskini. Amesema kwenye program hiyo mpya itawawezesha wamarekani wa kipato cha chini kumiliki Sola kwenye mapaa...
  5. Lady Whistledown

    Biden: Marekani haitashiriki katika Mgogoro kama Israel italipiza kisasi kwa Iran

    Rais Joe Biden amemwambia Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kwamba Marekani haitashiriki katika hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, ambayo ni chaguo la Baraza la vita la Israel baada ya shambulio la ndege zisizo na rubani na makombora usiku wa Aprili 13, 2024 Tishio la vita vya wazi...
  6. B

    Biden: Neanyahu longo longo za nini? "Simamisha vita!"

    1. Yamemkuta yanayo mstahili Natenyahu: 2. Yanaweza kuwapo makavu kuliko haya? 3. Kwamba: 4. Haya mengine ndiyo zile longo longo zisizotakikana: 5. Kama Beberu ndiyo huyu, kumbe kabaki na nini Natenyahu?
  7. U

    Biden kapitisha Jumapili ya Pasaka iwe siku ya Mwonekano wa Watu waliobadili jinsia, Trump amlaani na kumtaka awaombe msamaha wakristo.

    Rais wa Marekani, Joseph Biden ametangaza rasmi kwa taifa lake kwamba leo Jumapili ya Pasaka Tarehe 31 Machi ni siku rasmi na maalumu ya kuonyesha mwonekano kwa watu wote waliobadili jinsia, Trump ameonyesha kukasirishwa kwa maamuzi haya na kumsihi Biden awaombe msamaha mamilioni ya wakristo...
  8. FaizaFoxy

    Exclusive-Militia wa Iraq waonya wanajeshi wa Marekani wataondoka 'katika majeneza' ikiwa Biden hatajiondoa

    Kiongozi wa wanamgambo wa Iraq wanaoshiriki katika muungano wa makundi ambayo yamefanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na Israel ameiambia Newsweek kuwa vikosi vyake viko tayari kuongeza kampeni zao kwa kiasi kikubwa ikiwa Rais Joe Biden hatatimiza matakwa yao. Kwa mujibu wa Sheikh...
  9. Poppy Hatonn

    The Biden White House has forbiden M23 to use its anti-aircraft guns

    The White House has instructed the M 23 rebels to use only light weapons when engaging in the figthing,and also to get out of DRC. This is very humane for The White House to say such a thing. But it is time now to bring this war to an end. What should happen is this: The side which is...
  10. U

    Mahakama ya juu zaidi Marekani yapiga marufuku jimbo lolote kumzuia Trump sanduku la kura, Wasiempenda anazidi kung'aa, Biden kaiharibu nchi

    wabunge na vyombo vya sheria vya majimbo yaliyoshikiliwa na chama cha Democrats anachotokea Rais Biden yamekuwa yakifanya michezo michafu kukwamisha jitihada za Trump kugombea uraisi 2024. Jimbo la Colorado lilimumuondoa Donald Trump kwenye sanduku la kura na majimbo mengine yalikuwa kwenye...
  11. Webabu

    Hamas wasema wako tayari kwa suluhu na kwa vita pia.Waziita juhudi za Biden kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu

    Viongozi wawili wakubwa wa Hamas wamezipuuza jjuhudi za Marekani kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu. Basem Naim akiwa nchini Uturuki ameyapuuza matamshi ya raisi Biden aliyotoa juzi wakati akila askirimu aliposema makubaliano baina ya Hamas na Israel yanatarajiwa kufikiwa ifikapo...
  12. The Evil Genius

    Rais Joe Biden: Ndoa yangu umejengwa kwenye ' Good Sex'

    Rais Biden wa Marekani anasema msingi wa ndoa yake ni mapenzi motomoto na mkewe, good sex. Biden anasema huwashauri wasaidizi wake wasiache kufanya mapenzi kadri wawezavyo. Biden ana miaka 81, kikongwe kabisa lakini bado anapeleka moto ajuza wake, cha ajabu unakuta kijana mdogo wa miaka 20-40...
  13. I

    Kwanini Putin angependa kuona Rais Biden (badala ya Trump) akirejea tena madarakani nchini Marekani

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema angependelea urais wa Joe Biden badala ya Donald Trump kabla ya uchaguzi wa Marekani mwezi huu wa Novemba. Bwana Biden alikuwa mtu mwenye uzoefu zaidi, anayeweza kutabirika, alisema kwa maneno ambayo hakika yatainua nyusi. Kabla ya Bw Trump kugombea urais...
  14. ward41

    Biden ana uzoefu mkubwa sana wa siasa za Marekani

    Huyu raisi amebahatika kupita kwenye vyeo vyote vikubwa vya maamuzi. Amekuwa senator wa Delaware kuanzia 1972 - 2009. 2009 -2016 makamu wa raisi wa Marekani 2021 - present: Rais wa sasa wa Marekani Biden ana uzoefu mkubwa sana wa siasa za Marekani Apewe hongera
  15. M

    Rais Biden, Waziri wa Ulinzi na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani washitakiwa katika mahakama huko Marekani kwa kusaidia uzeshwaji wa Genocide Gaza

    Rais Joe Biden awa rais wa kwanza katika historia ya Marekani kufunguliwa kesi ya uhusika wa mauaji ya Kimbari. Hii inatokana na msaada wa silaha na kiintelijensia na kushindwa kwake kuchukua hatua stahiki zilizomo katika uwezo wake kuzuia mauaji ya kimbari huko Gaza. Kesi hiyo imefunguliwa na...
  16. Webabu

    Netanyahu na Rais Biden hawasemezani kwa muda mrefu sasa. Sababu ni vita vya Gaza

    Vita vya Israel na Palestina vinazidi kutoa matokeo hasi na ambayo hayakutarajiwa kabisa. Mataifa rafiki na ya kiislamu yameanza kutofautiana na kuanza kupigana yenyewe mfano ni Iran na Pakistan na Iran kupiga ndani ya Syria na Iraq bila hofu ikiwinda vikundi vinavyofadhiliwa na Israel. Hata...
  17. ward41

    Je, Trump akisimama tena na Biden kwenye Mbio za Urasi mwaka huu, nani anaweza kuibuka mshindi?

    Uchaguzi wa Marekani unafanyika mwaka huu mwezi November Democract itawakilishwa na Biden, raisi wa sasa wa USA wakati upande wa Republican, bado hanapatikana mgombea lakini wako kwenye mchakato wa kumpata mgombea. Kuna dalili kubwa bwana Trump akawa mgombea wa uraisi kupitia Republican Je...
  18. B

    Maswahiba wa Gaza ana kwa ana na rais Biden

    Katika hali ambayo hakuitegemea, bwana Joe Biden kajikuta akibananishwa na wapenda haki kanisani: https://www.bbc.com/news/av/world-us-canada-67886694 Kwamba kalazimika kukiri kuwa hata yeye kukereka na kuwa anapambana na Natenyahu, usiku na mchana akimtaka aondoke Gaza? Kwa hakika yahitaji...
  19. ward41

    Biden anagombea tena na atashinda

    Pamoja na uzee wake Rais Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa. Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti Rais Putin kuwa tishio barani Europe. Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango...
  20. B

    Laana Gaza: Weah tayari, njiani Natenyahu, Biden na wengine waja

    1. Binadamu mwenye kauli anaweza vipi kuyanyamazia ya Gaza? 2. Kwamba watoto na wanawake wale, kwa hatia ipi Yarabi? 3. Natenyahu yuko njia moja: 4. Joe Biden ni Suala la muda tu. 5. Kwa hakika ikawakumbe wote, hata walioamua kuufyata makwetu Kenya na Uganda huku.
Back
Top Bottom