100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,688
- 12,234
Amichai Chikli: Biden admin. doesn't project power, I would choose Republicans
Jamaa analalama Biden anaiumiza Israel kwa sera na kauli zake.
Ameenda mbali zaidi na kusema laiti kama angekuwa mwananchi wa US basi angempigia Trump kura yake.
Anachozungumza huyu waziri wa mambo ya diaspora ambae yupo chama kimoja na Netanyahu ni mawazo ya viongozi wengi wa Israel ambao ni wapenda vita.
Kama Israel inajiweza kivita ya nini kuanza kulalama kumhusu Biden?
Jamaa wanajiaibisha sana kwa kuomba omba na hio ndio faida ya kuwa omba omba, sasa hata kujifanyia maamuzi hawawezi hadi US awape msaada.
Ni aibu.
Jamaa analalama Biden anaiumiza Israel kwa sera na kauli zake.
Ameenda mbali zaidi na kusema laiti kama angekuwa mwananchi wa US basi angempigia Trump kura yake.
Anachozungumza huyu waziri wa mambo ya diaspora ambae yupo chama kimoja na Netanyahu ni mawazo ya viongozi wengi wa Israel ambao ni wapenda vita.
Kama Israel inajiweza kivita ya nini kuanza kulalama kumhusu Biden?
Jamaa wanajiaibisha sana kwa kuomba omba na hio ndio faida ya kuwa omba omba, sasa hata kujifanyia maamuzi hawawezi hadi US awape msaada.
Ni aibu.