BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,840
Third World War Info
-Balozi za Israel duniani kote haziko salama tena, anaonya Kayhan, msemaji wa Kiongozi Mkuu wa Iran Khamenei.
-Licha ya Iran kuendelea kupanga namna itavyoshambulia na kuimaliza Israel, Iran imeongeza tena mipango yake yaapa kulipiza kisasi kushambulia balozi zote za Israel duniani kote.
-Vyombo vya habari vya Ulaya na wachambuzi wanadai kuwa Iran inaweza kulenga maslahi ya US/UK kama vile maslahi ya Israeli katika Ulaya na Ghuba.
-Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amemkashifu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiahidi "kumpiga makofi" kwa tuhuma za shambulio la anga nchini Syria.
-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema Washington imetuma ujumbe Tehran kwamba "haikuhusika" katika shambulio la ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus, Syria, na kwamba Iran haipaswi "kutumia shambulio hili kama kisingizio cha kushambulia vikosi na vituo vya Marekani.
Nguvu ya Iran
...
-Balozi za Israel duniani kote haziko salama tena, anaonya Kayhan, msemaji wa Kiongozi Mkuu wa Iran Khamenei.
-Licha ya Iran kuendelea kupanga namna itavyoshambulia na kuimaliza Israel, Iran imeongeza tena mipango yake yaapa kulipiza kisasi kushambulia balozi zote za Israel duniani kote.
-Vyombo vya habari vya Ulaya na wachambuzi wanadai kuwa Iran inaweza kulenga maslahi ya US/UK kama vile maslahi ya Israeli katika Ulaya na Ghuba.
-Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amemkashifu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiahidi "kumpiga makofi" kwa tuhuma za shambulio la anga nchini Syria.
-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema Washington imetuma ujumbe Tehran kwamba "haikuhusika" katika shambulio la ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus, Syria, na kwamba Iran haipaswi "kutumia shambulio hili kama kisingizio cha kushambulia vikosi na vituo vya Marekani.
Nguvu ya Iran
...