Kitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.
Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.
Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.
Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na...