Kuna taarifa kutoka vyanzo vya ndani vya kiserikali kwamba Heche atakamatwa na kupewa kesi Kama ya Tundu Lissu hivi karibuni ili kuunyamazisha kabisa umma!
Mwenye kuweza kuomba juu ya Tanganyika na aombe!! Maana mateso yakizidi ukombozi waja
Baada ya kimya kirefu tangu kukamatwa kwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu, leo ubalozi wa Marekani hapa nchini umetoa tamko kuhusu hali ya kisiasa na wasiwasi wake mkubwa kwa serikali ya Tanzania kuhusu matukio ya hivi karibuni ya kuminya demokrasia na ukandamizaji kwa vyama vya...
Kwa wale ambao mnaotoka sehemu ya private unaweza kuwasiliana na mimi room kama unavyoiona bei yake 60k kwa siku usalama upo wa kutosha kwa mawasiliano wanaweza ukani ni dm ila location ipo makumbusho
Kigiza hicho, haya nimeachana na siasa nimerudi kwenye mada zetu pendwa.
Wiki hii nimemchangamsha shemeji yenu na style mpya . Mikao inaitwa “nilie juu ya meza” na “naokota hela uvunguni”
Mkao wa Nilie juu ya meza: tulimaliza kula nikamwambie abaki mezani anisubiri nitoe vyombo. Nilivyomaliza...
1 master bedroom
1 self room
1 single room
Sitting room
Kitchen
Store
Public toilet,
3 verandah (entrance).
BAJETI yetu ilikua ni 11.2M, Hadi tunamaliza kazi tumetumia 11.4M.
GHARAMA zimejumuisha materials pamoja na hela yangu ya Ufundi, maji, ndoo, chepe, Shimo la Choo (Hadi kufunika), pamoja...
Mungu Baba, umetuagiza katika 1 Thes 5:18 kwamba tushukuru kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi yako kwetu katika Kristo Yesu.
Tunakushukuru sasa Baba kwa kutulinda usiku kucha. Tumelala usingizi mnono na kuamka tukiwa na nguvu na uzima. Asante sana Baba kwa neema yako.
Endelea kutulinda...
Mchana umetoweka, usiku umeingia!
Wakati wa usiku, tunapokwenda kulala na kufumba macho yetu, hatuna uwezo wa kujua yanayotokea katika ulimwengu wa roho au hata kimwili. Ndiyo maana ni muhimu kumkabidhi Mungu maisha yetu kila usiku kabla ya kulala, ili atulinde na kutuepusha na mabaya.
Yesu...
Timu ya Singida Black Stars inatarajia kuzindua uwanja wake mkoani Singida, uzinduzi utafanyika Marchi 24 kwa mchezo wa Kirafiki dhidi ya Yanga SC.
Uwanja unaitwa AIRTEL STADIUM ambao wao ndio wameujenga kwa kushirikiana na wengine kama Azam, GSM, NBC, SBS na MO DEWJI.
Credit: Nassib Mkomwa
The Responsibility of Open Discourse
The tagline of our Jamiiforums declares, "Where We Dare to Talk Openly." Yet, does unfettered expression justify indiscriminate speech? Intellectual freedom, when devoid of restraint and wisdom, risks devolving into chaos, undermining the integrity of...
Mchambuzi mahiri Hans Rafael ameomba kuvunja mkataba wake na Crown FM 👑, hatua inayozua maswali kwa mashabiki wa uchambuzi wa michezo.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa chanzo changu cha uhakika zinaeleza kuwa Hans amepewa ofa nono na Azam Media, jambo lililomsukuma kuomba kuondoka Crown FM...
Habari,
Ofa ofa karibu ujipatie matairi Kwa punguzo la bei mwezi huu wa ramadhani.
Matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo yote yanapatikana Kwa bei za kizalendo kabisa karibu ununue.
Kwa wale wa mikoani mzigo tunatuma Kwa uaminifu mkubwa pia Dar es salaam tunafanya delivery.call...
Habari,
Ofa ofa karibu ujipatie matairi ya aina mbalimbali na size zote Kwa bei ya punguzo ya mwezi wa ramadhan.
Tunauza matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo zifuatazo ni baadhi ya brands ambazo zipo.
1.CENTARA
2.TRANSTONE
3.TIMAX
4.SAFERIN
5.RUADLUX
6.DOUBLECOIN
7.VALIANT...
Habari,
Karibu ujipatie matairi ya aina mbalimbali na size tofauti za brands zote.
Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo.
Bei zetu ni nafuu sana mikoani tunatuma Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wte.
Location Vingunguti karibu na sido Dar es salaam...
Kuna miaka bana nilibrowse simu nkaona nichat na bidada mmoja tukakubaliana atanitembelea mkoa nilipo, tulikuwa tunaishi mikoa tofauti. basi bana ikawa imeisha iyo, wakubwa hawatongozani, wanapeana taarifa tu.
huyu bidada tulifahamiana kitambo icho tuliwahi kuishi mkoa mmoja.
Sasa nimemcheki...
Kocha Erik ten Hag ametoa kauli ambayo inaonesha kuna uwezekano wa kutorejea kwenye mchezo wa Soka badala yake akaelekeza nguvu kwenye kazi zake binafsi.
Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu alipositishiwa ajira yake Manchester United, miezi minne iliyopita amesema kwa sasa anajihusisha na...
Mashabiki wa Simba Mashabiki Simba nawaita Tena Simba jiandaen kalieni kusema Yanga ananunua match ila mnajisahau kwenye hili.
Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi?
Nenden mkajikumbushe games 5 za nyuma za Yanga kabla hajaja kuwapiga Zile 5 alikua anashinda Kwa goli ngapi ngapi...
Leo mida ya mchana wife akiwa anatoka kanisani alikuwa ameongozana na binti muhitimu wa chuo cha ualimu.
Hapa nyumbani nimefuga sungura wapo watatu nimenunua hivi karibuni baada ya madogo kuwapeleka kwa mfugaji mwenzangu wakawapenda sana nikaamua kuwanunulia .Muda ule walinikuta nahangaika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.