account

A transaction account, also called a checking account, chequing account, current account, demand deposit account, or share account at credit unions, is a deposit account or bank account held at a bank or other financial institution. It is available to the account owner "on demand" and is available for frequent and immediate access by the account owner or to others as the account owner may direct. Access may be in a variety of ways, such as cash withdrawals, use of debit cards, cheques and electronic transfer. In economic terms, the funds held in a transaction account are regarded as liquid funds. In accounting terms, they are considered as cash.
Transaction accounts are known by a variety of descriptions, including a current account (British English), chequing account or checking account when held by a bank, share draft account when held by a credit union in North America. In the Commonwealth of Nations, United Kingdom, Hong Kong, India, Ireland, Australia, New Zealand, Singapore, Malaysia, South Africa and a number of other countries they are commonly called current or, before the demise of cheques, cheque accounts. Because money is available on demand they are also sometimes known as demand accounts or demand deposit accounts. In the United States, NOW accounts operate as transaction accounts.
Transaction accounts are operated by both businesses and personal users. Depending on the country and local demand economics earning from interest rates varies. Again depending on the country the financial institution that maintains the account may charge the account holder maintenance or transaction fees or offer the service free to the holder and charge only if the holder uses an add-on service such as an overdraft.

View More On Wikipedia.org
  1. wete

    DOKEZO X Wamefunga account yangu msaada tafadhali hii ya A current, dated and signed statement on official company letterhead conforming that you're an autho

    Mnisaidie nitoke kwenye hii kitu wazee nilibadilishaga profile picture ndo yote haya yakatokea nimeshatuma email kibao bila mafanikio Kwa anaeweza kunisaidia tafadhali wakuu
  2. haszu

    Nilifuta account ya Facebook kutokana na kutongozwa na wanaume wenzangu.

    Nilikua natuma picha zangu kawaida tu, na zinaonesha kabisa mimi ni mwanaume ila kilichonitokea ikabidi nifute account, pia nikajifunza Kenya kuna watu mafilauni wa waziwazi. Yani mtu anakutumia meseji, “Et we ni mzuri, uko wapi?” Yani anakutongoza kama vile mtoto wa kike. Miongoni mwa watu...
  3. M

    Nimetengwa kanisani baada ya kuomba account namba ya Yesu ama Mungu nimuwekee Zaka zake, fungu la kumi. Wanalazimisha wao ndio wampokelee Mungu hela

    Kanisani walikuwa wanasisitiza sana kila muumini lazima atoe fungu la kumi, maana ni la Mungu, binafsi nikawa tayari kumtolea mungu hela zake hizo za fungu la kumi ila kwa kumpatia Mungu mwenyewe ili kuepusha watu wa kati kumlia Mungu hela zake. hivyo nikaomba account namba ya Mungu ama namba...
  4. Introv

    Wakuu meridian bet ni matapeli au siwaelewi nimeshinda milioni 10 jana wamefunga account

    Yaani Hawa jamaa nashindwa kuwaelewa mpaka sasaa hivi nimeshinda milioni 10 tangia Jana Kila nikiingia kwenye account inakataa kumbe Hawa jamaa ni matapeli aisee modds naombeni msiunganishe na jukwaa la wazee wa kubet
  5. D

    Kukodisha account ya linked in

    Habari wanajukwaa samahani kuna mlipuko wa watu saivi wanakufuata kukodisha account ya linked in je hawa watu wako kweli au ni scammers? Wakichukua Account wanafanya yao
  6. Crucifix

    Need assistance: SUSPENDED FACEBOOK ACCOUNT

    Anyone here who can help me unsuspend my facebook account? Please inbox for arrangements
  7. KING MIDAS

    Mwamposa ni mkweli sana, Mungu hatumii hela ndio maana account zote za sadaka ziko kwa jina la Mwamposa

    Niko ugenini, usiku nikakaribishwa chakula cha jioni, wenyeji wangu ni watu wa imani kali, tukiwa tunaendelea na kula huku tukitazama tv ya Mwamposa akawa anasisitiza na kuhimiza watu watoe sadaka. Akaorodhesha namba nyingi sana za voda, tigo, airtel, halotel, na mabenki mbalimbali. Accounts...
  8. R

    Niliomba kazi Western Governors University lakini kuna fomu nimeambiwa nilipe usd 20, je nilipe au niutapeli?

    Habari wapendwa… Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Force Account: Darasa laporomoka Same, lajeruhi 30

    Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali. Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika...
  10. snipa

    Account ya Dr Kigwangalla inapush X Token ambayo ni scam, kimbieni kama pi Network.

    https://x.com/HKigwangalla/status/1893226663623762175 Wadau X Token zipo nyingi sana ila asilimia kubwa ni scam, jambo lakutambua ni kuwa Musk Hana Token yeyote inayoitwa XToken, msije mkajichanganya. Kwa mujibu wa Grok Musk Hana Token yeyote inayoitwa x Token.
  11. Jamii Opportunities

    Regional and International Wholesale Account Manager at Yas Tanzania

    Regional and International Wholesale Account Manager Let’s grow together and become our Regional and International Wholesale Account Manager. Qualifications: Bachelor’s Degree in Marketing, Business Administration, or related fields. Minimum 5 years of experience in account...
  12. C

    Changamoto ya malipo aliexpress

    Habari wakuu nina changamoto ya kufanya malipo aliexpress leo siku ya 5 nmejaribu hata kutumia account ya jamaangu bado nimejaribu kutumia visa card ya voda wap nmejarbu kuwasiliana na benk husika kuona kama kuna tatizo wamenambia wao hakuna tatizo nmewachek aliexpress pia na wao vivyo hvyo...
  13. issac77

    Wakuu META wamepita na account yangu ya WhatsApp Business

    Kwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hvi
  14. stabilityman

    Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa

    Habari wakuu Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa Account ni kama flem ya biashara 0615813053
  15. Manfried

    Kwa wazazi , mtoto wako mfungulie Account Facebook ,instagram , twitter akizaliwa tu.

    Mtoto wako akizaliwa mfungulie account za kijamii na uanze kuzikuza taratibu. Hii itamsaidia akikuwa Kwa sasa hivi soko la ajira na fursa zote limeshikiliwa na teknolojia . Ili kulinda privacy za mtoto usiweke au kupost picha yake bila sababu. Mfano mtoto wa diamond anaingiza pesa nyingi tu...
  16. snipa

    Account ya Mohamed Dewji haikuwa hacked "haikudukuliwa" ? ila kalipwa kuwadanganya na kuwaingiza mkenge watanzania, Crypto scam.

    Wadau Kwa wanaoona Kanye west ni chizi basi jifikirieni mara mbili, mana Kuna ukweli kwenye analolisema. Kanye west anadai scammers wa crypto walimfuata na kumwambia apost kwenye x crypto yao ajifanye yake na aiache post Kwa masaa 8 na baada ya muda huo kupita aje aseme account yake...
  17. D

    Account yako ya Instagram imekuwa hacked mpaka sasa sijaelewa imehackiwa kwa style gani

    Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer. Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo...
  18. Zirconium

    Je,Una Mapengo kinywani na hujui wapi utapata Suluhisho la kudumu !?

    Iwapo umepoteza meno yako halisi , Unashariwa kuziba mepengo kwa meno bandia ya Kisasa Mapengo . husababisha Meno mengine Kutoka .Meno Kuoza .Meno Kuhama Kwenye Nafasi zake Meno Bandia Ya Kisasa Ya Kudumu Yapo Ya Chuma ( Ceramics) , zirconium haya yatakusaidia -Kutafuna Chakula Vizuri...
  19. W

    EQUITY Bank unafungua account na kupewa ATM Card ndani ya dakika 10 , Crdb na Nmb wameboresha huduma zao ?

    Ninahitaji kuongeza account kati ya benki hizo mbili Crdb na Nmb. Nakumbuka hapo zamani Crdb na Nmb process zilikuwa ndefu sana wiki 1 hadi 2 Mambo yamebadilika ????
Back
Top Bottom