Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,373
- 8,324
Serikali baada ya kuwashughulikia machinga naomba tuwashughulikie wauza simu feki wa Kariakoo, Makumbusho na maeneo mengine.
Saivi kuna sumsung, iphones na nyingine nyingi, zote hizo ni feki.
Serikali iangazie jicho pale Makumbusho, Kariakoo na maeneo mengine mwaga vijana wa TCRA na TBS.
Simu nyingi ni za magendo. hazilipiwi kodi wala nini ndio maana zinaingia zikiwa feki.
Serikali inapoteza kodi nyingi kupitia simu feki. Serikali ikiweza kudhibiti ipasavyo biashara ya simu itaingiza mapato mengi sana.
Ni vyema yale maduka yote ya simu kariakoo, makumbusho na kwingineko wapewe watu maalumu wanaoweza kuuza bidhaa zenye ubora unaotakiwa na taifa hili. Wezi wote na matapeli waondolewe kabisa.
Tukiiheshimu electronic business na kuifanya kuwa quality tutaingiza mapato mengi serikalini.
Kitu cha kwanza tudhibiti importation ya hizo electronics tuhakikishe simu zote zinazoingia ziwe Bora.
Baada ya hapo tudhibiti wauzaji wa simu, tutafute wauzaji maalumu wenye mitaji ndio wauze simu maeneo yote yanayofanya biashara za simu.
Tufanye biashara tuchukue kodi, tuendeshe nchi.
Ukiangalia wauza simu wa maeneo mengi ya Dar es Salaam ni mafundi simu wanauza simu zilezile mbovu na feki. Wanahujumu uchumi wa taifa hili.
Kwanini hayo maeneo serikali isiwape watu maalumu wenye mitaji ndio wafanye biashara kuliko kuwapa wababaishaji.
Saivi kuna sumsung, iphones na nyingine nyingi, zote hizo ni feki.
Serikali iangazie jicho pale Makumbusho, Kariakoo na maeneo mengine mwaga vijana wa TCRA na TBS.
Simu nyingi ni za magendo. hazilipiwi kodi wala nini ndio maana zinaingia zikiwa feki.
Serikali inapoteza kodi nyingi kupitia simu feki. Serikali ikiweza kudhibiti ipasavyo biashara ya simu itaingiza mapato mengi sana.
Ni vyema yale maduka yote ya simu kariakoo, makumbusho na kwingineko wapewe watu maalumu wanaoweza kuuza bidhaa zenye ubora unaotakiwa na taifa hili. Wezi wote na matapeli waondolewe kabisa.
Tukiiheshimu electronic business na kuifanya kuwa quality tutaingiza mapato mengi serikalini.
Kitu cha kwanza tudhibiti importation ya hizo electronics tuhakikishe simu zote zinazoingia ziwe Bora.
Baada ya hapo tudhibiti wauzaji wa simu, tutafute wauzaji maalumu wenye mitaji ndio wauze simu maeneo yote yanayofanya biashara za simu.
Tufanye biashara tuchukue kodi, tuendeshe nchi.
Ukiangalia wauza simu wa maeneo mengi ya Dar es Salaam ni mafundi simu wanauza simu zilezile mbovu na feki. Wanahujumu uchumi wa taifa hili.
Kwanini hayo maeneo serikali isiwape watu maalumu wenye mitaji ndio wafanye biashara kuliko kuwapa wababaishaji.