Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,753
- 46,395
Hao machinga waondolewe tu.
Tena wapigwe
Hao machinga waondolewe tu.
Yale maduka wapewe wawekezaji wenye mitaji, watakaoweza kuleta vitu vyenye ubora.Tena wapigwe
Asante kiongozi na ww ndio umefunga mjadala huuJuzi niiliona iPhone 13 feki kwa nikasema bado kazi ni kubwa.
Ila wanaonunua simu feki Tabia zao huwa zinafanana. Wanapenda vitu vya gharama kubwa kwa bei isiyohalisi.
Ngoja niwambi simu feki haziwezi kuisha nchini kwa kuwa hata wanaokwenda Africa Kusini kwenye maduka ya diplomatic zipo nimewai kushuhudia mtu amenunua kama original. Hata dubai zipo watu wanakuja nazo na wanapita uwanja wa ndege bila kikwazo. Ujanja unaotumika kwa vijana watundu wanadownload kisoftware kidogo cha imei changer kwa kutumia WiFi wanaenda software inaitwa industry imei calculator wanapata imei yoyote inayoruka bila tatizo. Msid zinakuwa sawa tcra inapita bila kupingwa. Lakini ukienda posta mpya simu zote za kisasa zinazolandana na simu za bei ghali zipo na wananchi wanazinunua wakijua kuwa ni feki. Simu hizi zinasaidia sana wababa waonga simu. Anainunua 170 iphone 13 au x au Samsung S20 yaani kama original anampiga nayo mdada shakubimbi anakula mzigo hatari akidhani kapewa simu ya million 3. Hata hivyo serikali inafaidika kwa kuwa kuna tozo ya muda wa maongezi kwa kuwa anayenunuliwa naye kama ana kitochi anakigawa kwa mwingine maisha yanaenda. Simu Feki hata vodacom wanaziuza kama original. Ukienda vodacom wana simu vitek 5 hii ukinunua inadumu siku 100 ikiharibika hawana mbadala nimegombana nao sana. Vodacom simu zote wanazouza laki moja ni feki na hazina spare. Waogope sana voda wa hapo samoraMkuu hii ni nchi yetu tuna TCRA, tuna TBS lazima tuhakikishe raia wetu wanauziwa bidhaa huku serikali ikiingiza mapato.
Napenda kununua kwenye maduka yao hasa sumsung, huko nako wana fake?Ngoja niwambi simu feki haziwezi kuisha nchini kwa kuwa hata wanaokwenda Africa Kusini kwenye maduka ya diplomatic zipo nimewai kushuhudia mtu amenunua kama original. Hata dubai zipo watu wanakuja nazo na wanapita uwanja wa ndege bila kikwazo. Ujanja unaotumika kwa vijana watundu wanadownload kisoftware kidogo cha imei changer kwa kutumia WiFi wanaenda software inaitwa industry imei calculator wanapata imei yoyote inayoruka bila tatizo. Msid zinakuwa sawa tcra inapita bila kupingwa. Lakini ukienda posta mpya simu zote za kisasa zinazolandana na simu za bei ghali zipo na wananchi wanazinunua wakijua kuwa ni feki. Simu hizi zinasaidia sana wababa waonga simu. Anainunua 170 iphone 13 au x au Samsung S20 yaani kama original anampiga nayo mdada shakubimbi anakula mzigo hatari akidhani kapewa simu ya million 3. Hata hivyo serikali inafaidika kwa kuwa kuna tozo ya muda wa maongezi kwa kuwa anayenunuliwa naye kama ana kitochi anakigawa kwa mwingine maisha yanaenda. Simu Feki hata vodacom wanaziuza kama original. Ukienda vodacom wana simu vitek 5 hii ukinunua inadumu siku 100 ikiharibika hawana mbadala nimegombana nao sana. Vodacom simu zote wanazouza laki moja ni feki na hazina spare. Waogope sana voda wa hapo samora
Baada ya machinga, wanaofuata ni hao wa masimu fekiHela hamna alafu mnataka vitu original, pambaneni na hizo feki mpaka mfike uchumi wa kati
Yale maduka wapewe wawekezaji wenye mitaji, watakaoweza kuleta vitu vyenye ubora.
Hili ndio tatizo, lakini serikali imelisikia hili na itaenda kulifanyia kazi. Hili ni taifa letu we expect quality products to our consumers.Ujue wanaosimamia ubora wapo na wanajua yote Haya ila wameishapewa rushwa wametulia tuli
Wao wakipita wanapitia chao Sisi tunapiga kelele wanatuchora
Hivi unadhani kama serikali ikiamua kuweka wawekezaji wanaoeleweka kwenye biashara ya simu tutashindwa kupata quality products????Nadhani kukwepa hizo simu watu wangekuwa wananunua mtandaoni au katika maduka rasmi....
Hiyo ni kazi ya TBS na TCRA. Mteja hajasoma atajuaje sasa.Sema watu wengi wanashindwa kutofautisha simu feki na refurbished
WTZ Wanataka vitu vya bei wakati hawana hela hapo pambana na feki og. Au nenda makumbusho upate refurbishedHela hamna alafu mnataka vitu original, pambaneni na hizo feki mpaka mfike uchumi wa kati
Kwa kweli hawajui. Maduka mengi mazuri yaliyopambwa kwa mbwembe mengi yanauza refurbished/ used na rejected. Hizi simu zinauzwa kwenye minada ulaya. Ukienda Amazon zipo. Ali Market China zipo. EBAY USA na UK zipo. Bado kwenye makampuni ya mawasiliano simu zinazouzwa na zimeisha walanti zipo. Tz hawawezi kuzikataza kuingia na zinaingia kuwa ni used au refurbished lakini wajanja wa kariakoo uyengeneza mabox na kuziuza kama mpya kwa bei ya chini.Sema watu wengi wanashindwa kutofautisha simu feki na refurbished