Ushauri: Alinikataa, sasa ana mtoto anadai ananipenda anataka turudiane!

Je, tuko tayari kumuomba Mungu atufundisha jinsi ya kuwa na upendo kama ule wake kwa sababu tukipenda kama vile Mungu anavyopenda tutawapenda wengine hata kama hatupati faida yoyote.

Sasa basi kuna msichana tulimaliza wote o-level miaka ya nyuma kidogo nilikuwa namkubali sana ila alinipiga chini, sasa amerudi na ana mtoto anadai ananipenda!

Naomba ushauri wakuu.
Katelekezwa alikozaa
 
Mpe mimba nyingine halafu piga chini ili awe mama wa mataifa
 
Jibu ni rahisi sana, je anajiweza kiuchumi kama hajiwezi kiuchumi huyo anaitaji financial support tu kutoka kwako ili aweze kukidhi mahitaji yake. Na kama financially yupo Ok basi hapo awali wewe haukuwa sampuli ya wanaume aliokuwa anawahitaji so huko alipokuwa kapigwa na kitu kizito anaona arudi tu by the way.
 
Back
Top Bottom