kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,188
- 4,929
- Thread starter
- #61
roho yangu inaniuma bonge moja la demu ila dah nikifikiria nafsi yangu inagomaHamna mkuu wewe ndo falaa pekee aliekuona umebaki duniani
roho yangu inaniuma bonge moja la demu ila dah nikifikiria nafsi yangu inagomaHamna mkuu wewe ndo falaa pekee aliekuona umebaki duniani
Wewe jichimbiee kaburii tuu...!! Ila jamaa akae ataendelea kupigaa mpaka kiamaa..roho yangu inaniuma bonge moja la demu ila dah nikifikiria nafsi yangu inagoma
Dah mpaka kiama 😎😎😎😎😎Wewe jichimbiee kaburii tuu...!! Ila jamaa akae ataendelea kupigaa mpaka kiamaa..
uongo huo tafadhari usidanganye mtu. Mbele akaja kuishia pabaya!!Pia anaweza akampenda zaidi na kumuheshimu milele kwani keahajifunza makosa yake
jamaa ananivuta maji marefuuongo huo tafadhari usidanganye mtu. Mbele akaja kuishia pabaya!!
Katelekezwa alikozaaJe, tuko tayari kumuomba Mungu atufundisha jinsi ya kuwa na upendo kama ule wake kwa sababu tukipenda kama vile Mungu anavyopenda tutawapenda wengine hata kama hatupati faida yoyote.
Sasa basi kuna msichana tulimaliza wote o-level miaka ya nyuma kidogo nilikuwa namkubali sana ila alinipiga chini, sasa amerudi na ana mtoto anadai ananipenda!
Naomba ushauri wakuu.
kapigwa chini halafu anasema jamaa hana formula sasa nashangaa hiyo kutokuwa na formula ndo kaiona leoKatelekezwa alikozaa
Chukua ushauri huo kutoka kwa mzinifuKama bado ana vutia usiache kupiga ni muhimu sana afu mengine utaangalia mwenyewe uendelee ama uache
Mkuu Mimi Sina uzinifu ila jamaa anajishauri Nini wakati hata ye first option ilikuwa kupigaChukua ushauri huo kutoka kwa mzinifu