Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,149
- 2,274
Uyo achana nae mkuu mbona watoto wa kiislam mashaalah wapo wengi tu kina zukaila . Na saiv wanamaliza id wew tu mkuu
Hahaha dah mkuu kwaiyo mtoto wa uyo mwanamke anaemsema ni shahawa?Yaan upo tayari ukalee shahawa za mwanaume mwenzako uku yy akijivinjari na vibinti uko,ww uwe unateseka uwaze mtt wake ale nn .
Kumanishaa nn🛏️
Ss c shahawa hzo mkuu zilitungaa mimba ya huyo mtt jamaako anataka akaleee ..Kuna wanaumee wenzetu muda mwingine wanazingua Sanaa ,ss utaleaje mtt ambaye babaake yupo hai hyo Hela c Bora ukule tu mkuuHahaha dah mkuu kwaiyo mtoto wa uyo mwanamke anaemsema ni shahawa?
Hawezi kukuelewaa mkuu acha akakutane na za kichwaaa akili imkae sawaaHili suala tunalirudia kila mara lakini naona hamsikii.
Kiufupi mwanaume kuoa single maza hakikisha umeshuhudia cheti cha kifo na kaburi la mume mwenza.
Ukiamua kuingia mzima mzima kisa wewe ndio mjuzi wa kupenda shauri yako, jiandae kisaikolojia, muda wowote kitanuka.
View attachment 2960693
If you don't love me now don't love me later when my later is much better.... kimbiaJe, tuko tayari kumuomba Mungu atufundisha jinsi ya kuwa na upendo kama ule wake kwa sababu tukipenda kama vile Mungu anavyopenda tutawapenda wengine hata kama hatupati faida yoyote.
Sasa basi kuna msichana tulimaliza wote o-level miaka ya nyuma kidogo nilikuwa namkubali sana ila alinipiga chini, sasa amerudi na ana mtoto anadai ananipenda!
Naomba ushauri wakuu.
naondoka nayoIf you don't love me now don't love me later when my later is much better.... kimbia
wanawake wanatamaa mnoo MkuuSs c shahawa hzo mkuu zilitungaa mimba ya huyo mtt jamaako anataka akaleee ..Kuna wanaumee wenzetu muda mwingine wanazingua Sanaa ,ss utaleaje mtt ambaye babaake yupo hai hyo Hela c Bora ukule tu mkuu
Aache ujinga●Kuoa single maza ni kujipotezea heshima. Familia, watu wa ukoo, marafiki lazima wamshushe thamani. Jamii pia lazima imuone fara mabinti kibao hawajazaa wanasubiri waume wa kuwaoa yeye anataka afanye maisha na malaya aliyezalishwa
●Anajishusha thamani sana. Malaya alimkataa wakati anajitafuta halafu malaya kawa broke na damaged na umri umeenda ndio afanye naye maisha. Hii ni dharau kubwa sana
●Kujipa majukumu yasiyo yake. Anaanza maisha ya ndoa kwa kulea bao la mwanaume mwenzake badala ya kumlea mtoto wake, ni upumbavu wa hali ya juu
Mungu mwenyewe alishasema mwanaume aanzishe familia yake yeye anapingana naye anaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzake
He'll learn the hard way
Sasa unakuta kamuelew binti mkuu kias hana namna japo baadae lazima ajutie sanaSs c shahawa hzo mkuu zilitungaa mimba ya huyo mtt jamaako anataka akaleee ..Kuna wanaumee wenzetu muda mwingine wanazingua Sanaa ,ss utaleaje mtt ambaye babaake yupo hai hyo Hela c Bora ukule tu mkuu
Kama wewe ni kijana haujaoa na haujawahi kuoa, hilo swali haukustahili hata kulileta humu, kwa sababu nyuzi na mifano mingi sana ilikwishakutolewa na members humu kuwa kijana 'fresh' kama wewe haustahili kujibebesha misalaba isiyokuhusu.Je, tuko tayari kumuomba Mungu atufundisha jinsi ya kuwa na upendo kama ule wake kwa sababu tukipenda kama vile Mungu anavyopenda tutawapenda wengine hata kama hatupati faida yoyote.
Sasa basi kuna msichana tulimaliza wote o-level miaka ya nyuma kidogo nilikuwa namkubali sana ila alinipiga chini, sasa amerudi na ana mtoto anadai ananipenda!
Naomba ushauri wakuu.
Hamna mkuu wewe ndo falaa pekee aliekuona umebaki dunianiMimi naona dharau kwa kipindi hiki ambacho kapata mtoto
Duh,we jamaa bwanaHamna mkuu wewe ndo falaa pekee aliekuona umebaki duniani
🤣🤣🤣🤣🤣Hamna mkuu wewe ndo falaa pekee aliekuona umebaki duniani