Ukweli ni lazima usemwe, natafuta mrembo wa kuzeeka naye. Mapungufu yangu haya Hapa

Hivi uliielewa biolojia vizuri kweli, au na wewe ndio wale mliokariri kwamba mwanamke kujua siku zake basi anaweza kuzuia mimba muda wowote, hata hivyo kuna cases ambazo wanaume husababisha au hushawishi mwanamke abebe ujauzito
Kwa nini ukubali kutiwa mimba na irresponsible man?

Sehemu safe ya kubeba mimba ni kwa mwanaume aliyecommitted kwako. Wewe unajua kabisa ni mume wa mtu unakubalije kwenda raw during sex?

Nyinyi mnashindwa kuelewa sisi wanaume tunasex na baadhi ya wanawake wengi ni just for fun sasa wewe chanua mapaja hovyohovyo bila tahadhari utaishia kuwa single maza

Na hizo mambo za nikimzalia atanioa kisa ana kibunda mtatombwa sana na kuzalishwa na kuishia kuwa baby mamas

My advice every woman not to get pregnant for any man who hasn't legally married you
 
Msaidie jambo moja hapo kwa singo maza nae hajaliweka wazi....

Singo maza atakuja kuishi kwake na watoto wake ilhali watoto wa jamaa wanaishi na.mama zao na anawahudumia huko waliko.

Je watoto wa singo maza watahudumiwa na singo maza mwenyewe kwa posho ya laki 2.5 au singo maza apambane na watoto wake mwenyewe...?

Aje nao mjengoni au awaache kwa bibi yao?

Ila watoto wanaathirika sana na ngono zinazoishia kutunga mimba halafu baba na mama wa mtoto wanashindwana kuishi na kulea mtoto/watoto pamoja....

Basi tuu ila, nafsi nyingi sana za watoto zinauchungungu wa maisha tangu wadogo.
Kweli kabisa mkuu,watu tu hawajui na Huwa wengine wanafanya maamuzi bila kufikiria matokeo ya kizazi Chao Cha baadae,waathirika wakubwa ni watoto pale wazazi wanapotengana,hata vitabu vya dini havipendi watu kuachana sema tu binadamu sie hatuelewi,Mungu atusaidie
 
Kwa nini ukubali kutiwa mimba na irresponsible man?

Sehemu safe ya kubeba mimba ni kwa mwanaume aliyecommitted kwako. Wewe unajua kabisa ni mume wa mtu unakubalije kwenda raw during sex?

Nyinyi mnashindwa kuelewa sisi wanaume tunasex na baadhi ya wanawake wengi ni just for fun sasa wewe chanua mapaja hovyohovyo bila tahadhari utaishia kuwa single maza

Na hizo mambo za nikimzalia atanioa kisa ana kibunda mtatombwa sana na kuzalishwa na kuishia kuwa baby mamas

My advice every woman not to get pregnant for any man who hasn't legally married you
Okay kwahiyo unachotaka kusema ni kwamba wanawake sasa waache kuwapenda wanaume kwa dhati bali wakiingia kwenye mahusiano wakae kimachalemachale, maana haya yote yanayotokea ya wanawake kufanya yale ambayo wanaume wanataka ni kutokana na mapenzi waliyonayo kwa wanaume kwahiyo wanaume ni kama wana take advantage ya huo upendo, wanawake wengi wanafanya yale wanayotaka wanaume kwa sababu wanaogopa kuachwa tu na wanaume wanajua hilo ila wanafanya makusudi kuwachezea wanawake sasa msiwa provoke wanawake wafikie msipopapenda
 
Okay kwahiyo unachotaka kusema ni kwamba wanawake sasa waache kuwapenda wanaume kwa dhati bali wakiingia kwenye mahusiano wakae kimachalemachale, maana haya yote yanayotokea ya wanawake kufanya yale ambayo wanaume wanataka ni kutokana na mapenzi waliyonayo kwa wanaume kwahiyo wanaume ni kama wana take advantage ya huo upendo, wanawake wengi wanafanya yale wanayotaka wanaume kwa sababu wanaogopa kuachwa tu na wanaume wanajua hilo ila wanafanya makusudi kuwachezea wanawake sasa msiwa provoke wanawake wafikie msipopapenda
My advice every woman not to get pregnant for any man who hasn't legally married you
 
Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao.

Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda itokee tu, wana gharama sana na Mimi ni bahili sana.

Mwanamke ninayemtaka awe na sifa zifuatazo, anivumilie Mimi na mapungufu yangu.

Nitaweka Kila kitu ndani, kifurushi kikubwa cha DSTV, umeme wa kutosha, vyakula na Kila kitu.

Mke atapewa pocket money ya sh. 250,000/ kwa mwezi. Gari sina, ukiniona naendesha ujue ni la ofisi. Usiahoboke nalo.

Wadada karibuni sana, single mothers watapewa kipaumbele.
Elimu Yako kaa nayo hukohuko, hata ukiwa na PhD Yako, kwangu wewe ni mke tu sawa na wa darasa la saba. Zingatia sana hili kabla hujaja PM.
Namba ya simu itapatikana PM.
hapo kwenye gari kweli wasishoboke, namfahamu jamaa angu fulani, ameoa, ila yeye ni dereva wa magari ya serikali, sasa jumapili utaona anakujana v8 kapakiza mkewe pale mbele anapokaaga boss, anamshusha kanisani, anarudi kulipaki home, yeye anarudi tena kanisani. nikasema siku huyu mke ajichanganye apande pale mbele aende naye ofisini kwa mumewe.
 
So you are even mentioning god here, and why does it look like women are the only ones supposed to obey the principles of god, what are men supposed to do
It's up to you women, keep in your mind that women are always the biggest losers when it comes to sexual relations between unmarried couple
 
Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao.

Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda itokee tu, wana gharama sana na Mimi ni bahili sana.

Mwanamke ninayemtaka awe na sifa zifuatazo, anivumilie Mimi na mapungufu yangu.

Nitaweka Kila kitu ndani, kifurushi kikubwa cha DSTV, umeme wa kutosha, vyakula na Kila kitu.

Mke atapewa pocket money ya sh. 250,000/ kwa mwezi. Gari sina, ukiniona naendesha ujue ni la ofisi. Usiahoboke nalo.

Wadada karibuni sana, single mothers watapewa kipaumbele.
Elimu Yako kaa nayo hukohuko, hata ukiwa na PhD Yako, kwangu wewe ni mke tu sawa na wa darasa la saba. Zingatia sana hili kabla hujaja PM.
Namba ya simu itapatikana PM.
Dereva wa magari ya serikali mbona mkali sana?
 
Ni bora kubaki single kuliko kulea bao la mwanaume/wanaume wenzako

Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana

Hata kama mama yako alikulea akiwa single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana

Ndio ujue wanawake wanajuana

Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!

Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga, a useless son.

Learn or perish


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Msaidie jambo moja hapo kwa singo maza nae hajaliweka wazi....

Singo maza atakuja kuishi kwake na watoto wake ilhali watoto wa jamaa wanaishi na.mama zao na anawahudumia huko waliko.

Je watoto wa singo maza watahudumiwa na singo maza mwenyewe kwa posho ya laki 2.5 au singo maza apambane na watoto wake mwenyewe...?

Aje nao mjengoni au awaache kwa bibi yao?

Ila watoto wanaathirika sana na ngono zinazoishia kutunga mimba halafu baba na mama wa mtoto wanashindwana kuishi na kulea mtoto/watoto pamoja....

Basi tuu ila, nafsi nyingi sana za watoto zinauchungungu wa maisha tangu wadogo.
Oya punguza sauti basi 🤣
 
Back
Top Bottom