Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,581
- 45,097
Kwa nini ukubali kutiwa mimba na irresponsible man?Hivi uliielewa biolojia vizuri kweli, au na wewe ndio wale mliokariri kwamba mwanamke kujua siku zake basi anaweza kuzuia mimba muda wowote, hata hivyo kuna cases ambazo wanaume husababisha au hushawishi mwanamke abebe ujauzito
Sehemu safe ya kubeba mimba ni kwa mwanaume aliyecommitted kwako. Wewe unajua kabisa ni mume wa mtu unakubalije kwenda raw during sex?
Nyinyi mnashindwa kuelewa sisi wanaume tunasex na baadhi ya wanawake wengi ni just for fun sasa wewe chanua mapaja hovyohovyo bila tahadhari utaishia kuwa single maza
Na hizo mambo za nikimzalia atanioa kisa ana kibunda mtatombwa sana na kuzalishwa na kuishia kuwa baby mamas
My advice every woman not to get pregnant for any man who hasn't legally married you