Ukweli ni lazima usemwe, natafuta mrembo wa kuzeeka naye. Mapungufu yangu haya Hapa

Ni bora kubaki single kuliko kuhudumia bao la mwanaume/wanaume wenzako

Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana

Hata kama mama yako amekulelea kama single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana

Ndio ujue wanawake wanajuana

Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!

Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga.

Learn or perish
Aisee hii inafikirisha sana hasa hapo kwenye kutembelea bibi na babu dah.
 
Watoto wanne kila mmoja na mama yake.
Ina maana umeachana na wanawake wanne Ila wa tano mtawezana.
Bro. Jipime Tena.
Halafu Tsh 250,000 huyo mwanamke atakwenda saluni gani ili umpende zaidi?
Ubahili na wanawake wanaojielewa havikai nyumba moja.
Mwanamke hadi aende saluni ndio umpende? Hii ni kwa mchepuko tu.

Mke anabaki kuwa Mke. Kikubwa Kuoga, kusafisha nguo, kupiga maswaki na kitanda kisafi.
 
Wanaume sometimes tunazingua sana.

Kwahy jamaa umeacha wanawake wako wanne wenye watoto na bado unatafuta wa tano umzalishe ili nae umuache utafute wa sita.?

Naomba niishie hapa mana ntazidi kukuona ww ni mpumbavu tangu siku ya kwanza kuzaliwa.

Mpaka hapo naomba nikuambie tuu ww mtoa mada ni mpumbavu kama wapumbavu wengine.
Haha..
Na utakuta huko pm ya mwamba washafurika tayari.
Inasemekana wanawake wanapendaga "bad guys"
 
Aiseh kufanya maendeleo makubwa nyumbani wakati mama aliekuzaa hayupo ni ngumu sana Kwa wengi!!

Kuna nguvu ya hisia negative inavuta nanmhusika kushindwa!!

Ni kweli wanaume hatupendwi SI na watoto Wala jamii Bali tunahitajika tu!!Tunajitahidi kupunguza athari za uzeeni TU!lakini sio uhalisia!!nimeliona hilo mapema kabisa kabla hata 40 sijafika lakini naliona Kwa kasi Sana MAMA NA WATOTO WANAPENDANA SANA MI NI KAMA OUTSIDER TU!
Wamekutenga!😄
Jitahidi usiwe mkali, warekebishe kwa upendo...
Cheza nao ikibidi, waulize taarifa za shule
Baba marafiki zao ni watoto wa kike, sema tukikua mnaondoa ukaribu sijui mnaogopa nini.

Mtoto wa kiume ningumu kukujali wao wanawapenda mama zao.
 
Wanaume sometimes tunazingua sana.

Kwahy jamaa umeacha wanawake wako wanne wenye watoto na bado unatafuta wa tano umzalishe ili nae umuache utafute wa sita.?

Naomba niishie hapa mana ntazidi kukuona ww ni mpumbavu tangu siku ya kwanza kuzaliwa.

Mpaka hapo naomba nikuambie tuu ww mtoa mada ni mpumbavu kama wapumbavu wengine.
Sasa kipi bora.....punyeto au mwanamke?
 
Msaidie jambo moja hapo kwa singo maza nae hajaliweka wazi....

Singo maza atakuja kuishi kwake na watoto wake ilhali watoto wa jamaa wanaishi na.mama zao na anawahudumia huko waliko.

Je watoto wa singo maza watahudumiwa na singo maza mwenyewe kwa posho ya laki 2.5 au singo maza apambane na watoto wake mwenyewe...?

Aje nao mjengoni au awaache kwa bibi yao?

Ila watoto wanaathirika sana na ngono zinazoishia kutunga mimba halafu baba na mama wa mtoto wanashindwana kuishi na kulea mtoto/watoto pamoja....

Basi tuu ila, nafsi nyingi sana za watoto zinauchungungu wa maisha tangu wadogo.
Hao mama huenda wana maisha yao tayari, wameshaolewa hivyo inabidi yeye aanze upya.

Na kwa vile kuna wanaume wanalea watoto wake, na yeye achukue singo mama asaidie malezi ya watoto wa mwanaume mwenzake, its both teams to score in both halves, option ngumu kwenye game ila hana jinsi.
 
Hao mama huenda wana maisha yao tayari, wameshaolewa hivyo inabidi yeye aanze upya.

Na kwa vile kuna wanaume wanalea watoto wake, na yeye achukue singo mama asaidie malezi ya watoto wa mwanaume mwenzake, its both teams to score in both halves, option ngumu kwenye game ila hana jinsi.

Ikiwa bayana hivi mwanzoni ni vyema, huko mbele hakuna kusimangana wala kunyanyasana.

Sometimes this life needs us to have people surrounding us just for comfortability, it doesn't matter they are your blood or strangers, as long as they are nice and treat you well....

Being humble and live simple life.
 
Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao.

Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda itokee tu, wana gharama sana na Mimi ni bahili sana.

Mwanamke ninayemtaka awe na sifa zifuatazo, anivumilie Mimi na mapungufu yangu.

Nitaweka Kila kitu ndani, kifurushi kikubwa cha DSTV, umeme wa kutosha, vyakula na Kila kitu.

Mke atapewa pocket money ya sh. 250,000/ kwa mwezi. Gari sina, ukiniona naendesha ujue ni la ofisi. Usiahoboke nalo.

Wadada karibuni sana, single mothers watapewa kipaumbele.
Elimu Yako kaa nayo hukohuko, hata ukiwa na PhD Yako, kwangu wewe ni mke tu sawa na wa darasa la saba. Zingatia sana hili kabla hujaja PM.
Namba ya simu itapatikana PM.
Tangazo limejaa ubabe...
 
Back
Top Bottom