fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,226
- 20,270
Aisee hii inafikirisha sana hasa hapo kwenye kutembelea bibi na babu dah.Ni bora kubaki single kuliko kuhudumia bao la mwanaume/wanaume wenzako
Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana
Hata kama mama yako amekulelea kama single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana
Ndio ujue wanawake wanajuana
Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!
Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga.
Learn or perish