Si wewe ni singo maza?Msaidie jambo moja hapo kwa singo maza nae hajaliweka wazi....
Singo maza atakuja kuishi kwake na watoto wake ilhali watoto wa jamaa wanaishi na.mama zao na anawahudumia huko waliko.
Je watoto wa singo maza watahudumiwa na singo maza mwenyewe kwa posho ya laki 2.5 au singo maza apambane na watoto wake mwenyewe...?
Aje nao mjengoni au awaache kwa bibi yao?
Ila watoto wanaathirika sana na ngono zinazoishia kutunga mimba halafu baba na mama wa mtoto wanashindwana kuishi na kulea mtoto/watoto pamoja....
Basi tuu ila, nafsi nyingi sana za watoto zinauchungungu wa maisha tangu wadogo.
Ka
Si wewe ni singo maza?
Kwani umembiwa nimepoteza uwezo wa mimbisha?Unafanya kosa la kiufundi!itakugharim na mateso juu!!
Zeeka na mwanamke mwenye mtoto wako was kumzaa!!Tena ikiwezekana mzalishe kengine ka uzeeni!!
Unajua laana gani unaenda pata!!?laana ya kutokulea wanao kwenye paa la nyumba yako!!
NAKUHAKIKISHIA HAKUNA MTOTO ATAKAE KUWA TAYARI KUKUJALI UKIWA NA MWANAMKE AMBAE SIYO MAMA YAKE!!!!
NA TAMBUA AT ONE POINT HUKO UENDAPO UTAHITAJI UPENDO WA WATOTO WAKO NA HUTOUPATA!
LABDA HUYO SINGLE MOTHER UMZALISHE TENA MTOTO MWINGINE WA KWAKO!!
🤣Watoto wanne kila mmoja na mama yake.
Ina maana umeachana na wanawake wanne Ila wa tano mtawezana.
Bro. Jipime Tena.
Halafu Tsh 250,000 huyo mwanamke atakwenda saluni gani ili umpende zaidi?
Ubahili na wanawake wanaojielewa havikai nyumba moja.
Lazima uhakikishe utakae muoa una uwezo was kumzalisha!Kuna wengine walishamaliza mayai,au waliharibu kizazi hawazai Tena!!Kwani umembiwa nimepoteza uwezo wa mimbisha?
Na hao wanawake aliowazalisha kisha akawaacha waolewe na kina nani, yani wewe uzalishe huko halafu ukitaka kuoa utafute mwanamke mbichi, kama unajijua hutaki kuoa single mother basi nawe usitelekeze mwanamke uliyezalishaNi bora kubaki single kuliko kulea bao la mwanaume/wanaume wenzako
Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana
Hata kama mama yako alikulea akiwa single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana
Ndio ujue wanawake wanajuana
Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!
Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga, a useless son.
Learn or perish
Tatizo liko kwa wanawake wenyeweNa hao wanawake aliowazalisha kisha akawaacha waolewe na kina nani, yani wewe uzalishe huko halafu ukitaka kuoa utafute mwanamke mbichi, kama unajijua hutaki kuoa single mother basi nawe usitelekeze mwanamke uliyezalisha
Tatizo kwao liko maeneo ganiTatizo liko kwa wanawake wenyewe
Kwa nini walikubali kutiwa mimba?Tatizo kwao liko maeneo gani
Hivi uliielewa biolojia vizuri kweli, au na wewe ndio wale mliokariri kwamba mwanamke kujua siku zake basi anaweza kuzuia mimba muda wowote, hata hivyo kuna cases ambazo wanaume husababisha au hushawishi mwanamke abebe ujauzitoKwa nini walikubali kutiwa mimba?