Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,618
- 4,363
Hivi huu utaratibu wa mtu kusoma mfano Education (bila tourism hadi Masters) halafu afanye ka research ka Tourism apewe PHD
Eti kuanzia hapo atambulike kuwa amesoma Tourism hadi kupewa PHD naona haupo sawa.
Huyo mtu, akisimamishwa na mtu aliyesoma tourism kwa ngazi zozote (Certificate, Diploma, Degree nk) wote wanamshinda kwa mbali kabisa na hii ni kwa sababu hajasomea Tourism.
Fikiria mtu kama huyo apewe kitengo au kuwa mkuu wa Chuo cha Utalii eti kwa kuwa ana phD ya Tourism? hii inaweza kuwa chanzo cha migogoro kwenye Idara /taasis zinazo hitaji utaalam wa kazi kwani aliyeaminiwa anakuwa hana taaluma husika...
Kimsingi huwezi kulaumu mtu hata hao wanaoboronga huko badala ya kuja na strategies za kusaidia Mashirika (wananchi) kazi ni kukucopy na kupaste vitu vya wazungu vingine hata havipo applicable huku kwetu. Tatizo hapa ni kuwa, pamoja na kuwa na phD; Hawana Elimu husika!
Binafsi nahisi ipo haja ya kuangalia mfumo wa Elimu ya juu, watu wafanye research kwa masomo waliyosomea kwenye main course atleast kwa degree ya kwanza
Kuna jamaa ni HR nasikia amefanya ka reseach ka nutrition naye kapata PHD; sasa sijui atatambulika kama mtaalam wa Lishe?
Eti kuanzia hapo atambulike kuwa amesoma Tourism hadi kupewa PHD naona haupo sawa.
Huyo mtu, akisimamishwa na mtu aliyesoma tourism kwa ngazi zozote (Certificate, Diploma, Degree nk) wote wanamshinda kwa mbali kabisa na hii ni kwa sababu hajasomea Tourism.
Fikiria mtu kama huyo apewe kitengo au kuwa mkuu wa Chuo cha Utalii eti kwa kuwa ana phD ya Tourism? hii inaweza kuwa chanzo cha migogoro kwenye Idara /taasis zinazo hitaji utaalam wa kazi kwani aliyeaminiwa anakuwa hana taaluma husika...
Kimsingi huwezi kulaumu mtu hata hao wanaoboronga huko badala ya kuja na strategies za kusaidia Mashirika (wananchi) kazi ni kukucopy na kupaste vitu vya wazungu vingine hata havipo applicable huku kwetu. Tatizo hapa ni kuwa, pamoja na kuwa na phD; Hawana Elimu husika!
Binafsi nahisi ipo haja ya kuangalia mfumo wa Elimu ya juu, watu wafanye research kwa masomo waliyosomea kwenye main course atleast kwa degree ya kwanza
Kuna jamaa ni HR nasikia amefanya ka reseach ka nutrition naye kapata PHD; sasa sijui atatambulika kama mtaalam wa Lishe?