GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,029
- 109,985
Ndiyo maana GENTAMYCINE nikaamua tu kubakia na hii hii Degree yangu Moja tu kutoka Chuo Kikuu cha Werevu tupu Tanzania cha Mtakatifu Augustino Mwanza ( SAUT Mwanza ) na wala sikutaka tena sijui Kuhangaika kufanya Masters au Doctorates kama wafanyavyo Washamba wengi ninaokutana nao.
Sasa kama tu hii Degree yangu Moja ya Chuo Kikuu cha Werevu tupu Tanzania ( SAUT Mwanza ) imeweza kunifanya niwe Mwerevu, Mjenga Hoja mzuri huku hata wenye hizo sijui Masters na Doctorates zao Wananiogopa huku hadi wengine sasa wakiniita Daktari na Pofesa yanini nihangaike kwenda kufanya Masters na hizo PhD's zenu?
Kwa mfano kuna haja gani ya Mtu kujitapa kuwa ana Masters au PhD huku akiwa hata tu Kutumia Computer hajui, kufanya Presentation kwa kutumia Pojector hajui, Programs za Computer kama Power Point na Excel hajui, Kuzungumza katika Public hawezi na Kiingereza ndiyo kabisa hakijui ila katika Vyeti vyake ana A na B za Kumwaga tu?
Hivi mmeshajiuliza au tumeshajiuliza kuwa ni kwanini Wazungu wengi ( ambao Kutwa tunawapelekea Mibakuli yetu Kuwaomba Misaada ya Fedha ) wao Kipaumbele chao hasa ni kuwa tu na angalau Degree Moja na hata wakiwa na Masters au Phd huwa hawapendi Kuzitambia au hata kuwa addressed kama mwana Utopolo maaufu hapa JamiiForums Dr Matola PhD?
Kuna Mtaalam Mmoja nchini Tanzania na pia ni Mtafiti Mwandamizi wa Masuala ya Elimu aliniambia kuwa 98% ya Watanzania wanaosoma Masters wamesoma kwa kutafuta tu Sifa Mitaani ila Vichwani mwao ukikutana nao hutokutana na hizo Masters zao bali ni Upuuzi na Utoto mtupu. Alisema dhamira Kuu ya Mtu kwenda kufanya Masters ni kuja kuleta Kitu Kipya Kazini Kwako sasa unawezaje kuleta Tija Kazini Kwako wakati Masters unayoenda au uliyoenda Kuifanya Chuo Kikuu hapo Ofisini Kwako kila Mtu anayo hiyo hiyo namaanisha ya Field yako hiyo hiyo?
Akaenda mbali na hapa sasa ndiyo aliniumiza kweli kweli ambapo alisema kuwa kama Kweli hizi Doctorates ( PhD's ) zingekuwa zina Tija sehemu kama Benki Kuu, huko Bandarini na katika Madini na Nishati ambako zipo nyingi Tanzania ingekuwa inaibiwa tu kila Siku na kuendelea kuwa Masikini na Tegemezi kwa nchi za Ulaya na Marekani ambao Wao Watu Wao wala hawana muda wa Kukimbilia kufanya Masters na PhD's?
Mwisho GENTAMYCINE namalizia hivi kuna haja gani ya Mimi kuharakisha kufanya sijui Masters au PhD's wakati najua kabisa kuwa nikija kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2040 nitazipata nyingi tu kutoka Finland, South Afrika, UDOM, UDSM, Uarabuni, SUZA na Uturuki japo najua sitozitumia ila najua Ukutani Kwangu Sebuleni nitazitundika zote ili mliofanya Masters na PhD's zenu mkiziona tu muumie na mjione Mizozola ( Mijinga ) na Mipopoma ( Mipumbavu )
Haya naomba sasa nami GENTAMYCINE baada ya Kuandika huu Uzi wa Kimkakati wenye Mitego mingi mahala fulani na Ujumbe wa Kificho na Chokonozi Chokozi mkae chini na mjddiliane mtanipa Zawai gani nami ya Heshima ya Kitaaluma kwani nadhani kwa niliyoyaandika hapa nastahili Mastes au PhD ya Heshima.
Kama kawaida yangu namalizia na ANGALIZO langu Tukuka hapa chini kwa wale 'Visokolokwinyo' na 'Wawashwaji Kunako' wa mara kwa mara hapa Jamvini.
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.
Sasa kama tu hii Degree yangu Moja ya Chuo Kikuu cha Werevu tupu Tanzania ( SAUT Mwanza ) imeweza kunifanya niwe Mwerevu, Mjenga Hoja mzuri huku hata wenye hizo sijui Masters na Doctorates zao Wananiogopa huku hadi wengine sasa wakiniita Daktari na Pofesa yanini nihangaike kwenda kufanya Masters na hizo PhD's zenu?
Kwa mfano kuna haja gani ya Mtu kujitapa kuwa ana Masters au PhD huku akiwa hata tu Kutumia Computer hajui, kufanya Presentation kwa kutumia Pojector hajui, Programs za Computer kama Power Point na Excel hajui, Kuzungumza katika Public hawezi na Kiingereza ndiyo kabisa hakijui ila katika Vyeti vyake ana A na B za Kumwaga tu?
Hivi mmeshajiuliza au tumeshajiuliza kuwa ni kwanini Wazungu wengi ( ambao Kutwa tunawapelekea Mibakuli yetu Kuwaomba Misaada ya Fedha ) wao Kipaumbele chao hasa ni kuwa tu na angalau Degree Moja na hata wakiwa na Masters au Phd huwa hawapendi Kuzitambia au hata kuwa addressed kama mwana Utopolo maaufu hapa JamiiForums Dr Matola PhD?
Kuna Mtaalam Mmoja nchini Tanzania na pia ni Mtafiti Mwandamizi wa Masuala ya Elimu aliniambia kuwa 98% ya Watanzania wanaosoma Masters wamesoma kwa kutafuta tu Sifa Mitaani ila Vichwani mwao ukikutana nao hutokutana na hizo Masters zao bali ni Upuuzi na Utoto mtupu. Alisema dhamira Kuu ya Mtu kwenda kufanya Masters ni kuja kuleta Kitu Kipya Kazini Kwako sasa unawezaje kuleta Tija Kazini Kwako wakati Masters unayoenda au uliyoenda Kuifanya Chuo Kikuu hapo Ofisini Kwako kila Mtu anayo hiyo hiyo namaanisha ya Field yako hiyo hiyo?
Akaenda mbali na hapa sasa ndiyo aliniumiza kweli kweli ambapo alisema kuwa kama Kweli hizi Doctorates ( PhD's ) zingekuwa zina Tija sehemu kama Benki Kuu, huko Bandarini na katika Madini na Nishati ambako zipo nyingi Tanzania ingekuwa inaibiwa tu kila Siku na kuendelea kuwa Masikini na Tegemezi kwa nchi za Ulaya na Marekani ambao Wao Watu Wao wala hawana muda wa Kukimbilia kufanya Masters na PhD's?
Mwisho GENTAMYCINE namalizia hivi kuna haja gani ya Mimi kuharakisha kufanya sijui Masters au PhD's wakati najua kabisa kuwa nikija kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2040 nitazipata nyingi tu kutoka Finland, South Afrika, UDOM, UDSM, Uarabuni, SUZA na Uturuki japo najua sitozitumia ila najua Ukutani Kwangu Sebuleni nitazitundika zote ili mliofanya Masters na PhD's zenu mkiziona tu muumie na mjione Mizozola ( Mijinga ) na Mipopoma ( Mipumbavu )
Haya naomba sasa nami GENTAMYCINE baada ya Kuandika huu Uzi wa Kimkakati wenye Mitego mingi mahala fulani na Ujumbe wa Kificho na Chokonozi Chokozi mkae chini na mjddiliane mtanipa Zawai gani nami ya Heshima ya Kitaaluma kwani nadhani kwa niliyoyaandika hapa nastahili Mastes au PhD ya Heshima.
Kama kawaida yangu namalizia na ANGALIZO langu Tukuka hapa chini kwa wale 'Visokolokwinyo' na 'Wawashwaji Kunako' wa mara kwa mara hapa Jamvini.
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.