Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

Dig the EA

JF-Expert Member
Dec 7, 2017
287
274
Kama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.

Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.

Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.

Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.

Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.

Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.

Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
 
Ukimaluza masters kwanza uwe chawa, pili andaa kibunda Cha kununua huo uHM na tatu uwe na connection.

Hakuna anayekuogopa Kwa kimastaz chako cha kuunga unga.

Ukishapewa uHM kuwa chawa Mkuu, ili uwe AEK. Ukiupata huo uAEK kuwa chawa Mkuu mwandamizi, Anza safari za Dodoma ili uteuliwe kuwa DAO/SLO.

Baada ya kuwa DAO/SLO endeleza uchawa mwandamizi daraja II, Anza kuwaroga na kuwapiga majungu maafisa elimu. Jipendekeze Kwa mbunge wa eneo lako na la ulikozaliwa ili upate connection Kwa wazito wa tamisemi. Ukipewa uDSEO au DEO ndipo unayaoatia maisha na kuifaidi masters Yako huku ukikunja LSEE2 3,400,000 yenye matupu ya nyumba, mavazi, mawasiliano nk.

Kama huwezi niliyokushauri usipoteze Hela kusoma ukitegemea muujiza eti utaonekana, never never!
 
Zamani nikikuwa nafikiri kusoma hadi kuwa professor ni kuwa na maarifa ya kutosha kiasi Cha kuweza kupambana na changamoto za maisha na kuweza kumudu maisha Kwa kiasi kikubwa sana kulinganisha na asiyesoma. Kumbe kiuhalisia ni tofauti. Uprofesa ni Kama cheo Fulani tu lakini maisha ya professor yanaweza kuwa ya mabovu / ya kawaida tu ukilinganisha na asiye professor
 
Kama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.

Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.

Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.

Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.

Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.

Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.

Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
=halafu
 
Kama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.

Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.

Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.

Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.

Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.

Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.

Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
Usipuuzwe. Una hoja.

Harafu ❌
Halafu ✅
 
Kama unafanya kazi chini ya ofisi ya Rais TAMISEMI ngazi za chini hususani Ualimu harafu ukapata Elimu kubwa ya juu hususani ngazi ya Masters au doctorate degree, unanielewa vizuri.

Ngazi ya Halmashauri idara ya Elimu hawazingatii mwalimu mwenye degrees mbili au tatu. Sababu ya maana haieleweki lkn husikika ikisemwa ngazi hiyo ya Elimu ni faida ya mwalimu.

Sasa nini hutokea ukiwa na Elimu hiyo; kwanza hutegemea hutakaa uendelee kufundisha, wanahisi na kuamini utaondoka. Katika mtazamo huo linaloibuka ni kuwa unaweza usifikiriwe kwa lolote kwa maana ya post ya nafasi ya uongozi hata ngazi ndogo tu kama U- headmaster na kujikuta vijana wadogo wanateuliwa na kuanza kuwaongoza wale wazoefu kazini na wenye elimu kubwa. Hali hii inafikirisha sana kwa nini maamuzi ya teuzi hizo kuwa hivyo. Lingine Kuna ishara za mtazamo hasi kutoka wa watumishi (kundi la waajiriwa) kwa watu /walimu wenye Elimu kubwa.

Mara nyingi wenye Elimu kubwa hutazamwa na kusemwa vibaya na watumishi wengine kwa vile wanafanya kazi Kama wanazofanya wenyewe. Katika hilo huwasema wasomi hao kuwa Elimu zao hazijawasaidia. Mitazamo yao wanataka ukiwa na Masters degree au doctorate degree ukakae TAMISEMI au Elimu au Wizara yoyote au kazi nyingine tofauti na kufundisha darasani.

Kiuhalisia kusoma degree ya pili au ya tatu harafu ukarudi kituoni kwako kufundisha ni changamoto sana. Kuna watu wanatamani uwezo wako wa Elimu usijulikana, Kuna watu wanataka usionekane wala kutoka. Na usiposhtuka waweza kuzeeka na kustaafu bila kuteuliwa na kupuuzwa tu.

Maana yake ni nini Elimu hiyo kwa mashuleni Kama vituo vya kazi na Halmashauri siyo sehemu sahihi ya kwenda au kupeleka masters na PhD huko. Kingine nilichokiona, Elimu ya juu nchini bado haipokelewi vzr ngazi za chini. Kuna mwamko na exposure ndogo huko. Ukisoma sana bado unaonekana threat kwa wengi. Hapo ndo utapingwa, kutengwa na kubaguliwa kwa mengi mazuri.

Hivyo kama ni mtumishi (mwalimu) na unatamani kupata Elimu hizo kubwa jiandae kwa stress, au ujiandae kabla hujaipata uwe umetafuta sehemu nyingine ya kwenda kufanya kazi lakini si kule chini kufundisha. Kuna changamoto sana.
Una hoja nzuri lakini hii yote imetokea baada ya mfumo wa kujipendekeza na kusifia sifia kila kitu hata upumbavu ulipoanza kutumika.
Kwa siku hizi mtu mwenye hoja za mantiki anaonekana haini lakini Chawa anaonekana ndiye mtu sahihi, kizazi dormant kinanyemelea hili taifa Mungu atusaidie kwa kweli.
All in all kusoma ni kuongeza maarifa. Pia kwa walimu kama ka GPA ni chini ya 3.5 sioni faida ya kusoma masters kama hujajipanga. Kwa GPA 3.5 above possibility kubwa ya kufundisha vyuo vya kati hata vyuo vikuu unayo. Naomba kuwasilisha
 
Una hoja nzuri lakini hii yote imetokea baada ya mfumo wa kujipendekeza na kusifia sifia kila kitu hata upumbavu ulipoanza kutumika.
Kwa siku hizi mtu mwenye hoja za mantiki anaonekana haini lakini Chawa anaonekana ndiye mtu sahihi, kizazi dormant kinanyemelea hili taifa Mungu atusaidie kwa kweli.
All in all kusoma ni kuongeza maarifa. Pia kwa walimu kama ka GPA ni chini ya 3.5 sioni faida ya kusoma masters kama hujajipanga. Kwa GPA 3.5 above possibility kubwa ya kufundisha vyuo vya kati hata vyuo vikuu unayo. Naomba kuwasilisha
Kujipendekeza kumekuwa na nguvu kuliko uwezo. Neno "connection" limekuwa na nguvu kuliko "maarifa na ujuzi".
 
Zamani nikikuwa nafikiri kusoma hadi kuwa professor ni kuwa na maarifa ya kutosha kiasi Cha kuweza kupambana na changamoto za maisha na kuweza kumudu maisha Kwa kiasi kikubwa sana kulinganisha na asiyesoma. Kumbe kiuhalisia ni tofauti. Uprofesa ni Kama cheo Fulani tu lakini maisha ya professor yanaweza kuwa ya mabovu / ya kawaida tu ukilinganisha na asiye professor
Hili ni sahihi kabisa kwa nchi zetu hizi za Africa ambazo ni masikini, hazijali wala kuthamini matokeo ya Elimu kubwa.
 
Kwenda kusoma masters mara phd halafu urudi kulialia kwenye chaki nao ni uzwazwa, matumizi mabaya ya pesa, muda na akili. Ungebaki tu uendelee kuwa T.O.D
Kuwa TOD nako hakukufanyi uache kulialia. Mtu yeyote makini na akili iko intact hawezi kulidhika na utumishi ule ikiwemo Ualimu (Tod)
 
Ukimaluza masters kwanza uwe chawa, pili andaa kibunda Cha kununua huo uHM na tatu uwe na connection.

Hakuna anayekuogopa Kwa kimastaz chako cha kuunga unga.

Ukishapewa uHM kuwa chawa Mkuu, ili uwe AEK. Ukiupata huo uAEK kuwa chawa Mkuu mwandamizi, Anza safari za Dodoma ili uteuliwe kuwa DAO/SLO.

Baada ya kuwa DAO/SLO endeleza uchawa mwandamizi daraja II, Anza kuwaroga na kuwapiga majungu maafisa elimu. Jipendekeze Kwa mbunge wa eneo lako na la ulikozaliwa ili upate connection Kwa wazito wa tamisemi. Ukipewa uDSEO au DEO ndipo unayaoatia maisha na kuifaidi masters Yako huku ukikunja LSEE2 3,400,000 yenye matupu ya nyumba, mavazi, mawasiliano nk.

Kama huwezi niliyokushauri usipoteze Hela kusoma ukitegemea muujiza eti utaonekana, never never!
Kwamba ubobee kwenye uchawa na ulozi ndo uteuliwe uwa HM au DAO, hii ni hatari. Unavyozidi kusoma, ndivyo kiwango cha kujipendekeza kinapotea !
 
Back
Top Bottom