Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 201
- 300
Habari ya muda wanajamvi. Nimejaribu kufuatilia udahili wa vyuo vikuu kwa miaka mitano nikagundua hamasa ya watu kusoma master's degree imepungua sana.
Hata mtaani ni wachache sana utasikia wanasema wanataka kusoma Master, ukilinganisha na miaka 10 iliyopita hasa 2010 hadi 2015 hamasa ilikuwa juu sana mpaka hata nje ya nchi watu walikuwa wanaenda kwa wingi kusoma.
Hii ipo wazi kwani baadhi ya matangazo ya kazi za wahadhiri zinarudiwa kutangazwa mara mbili mbili na bado zinakosa watu wenye sifa hizo ambayo mara nyingi ni Master's degree au PhD lakini GPA kubwa inazingatiwa pia.
Nini inaweza kuwa sababu, ni kukosa ajira na fedha, watu hawapendi kusoma, shida ni vyuo au sababu ni nini hasa wakuu..
Hata mtaani ni wachache sana utasikia wanasema wanataka kusoma Master, ukilinganisha na miaka 10 iliyopita hasa 2010 hadi 2015 hamasa ilikuwa juu sana mpaka hata nje ya nchi watu walikuwa wanaenda kwa wingi kusoma.
Hii ipo wazi kwani baadhi ya matangazo ya kazi za wahadhiri zinarudiwa kutangazwa mara mbili mbili na bado zinakosa watu wenye sifa hizo ambayo mara nyingi ni Master's degree au PhD lakini GPA kubwa inazingatiwa pia.
Nini inaweza kuwa sababu, ni kukosa ajira na fedha, watu hawapendi kusoma, shida ni vyuo au sababu ni nini hasa wakuu..