Tafadhali mwenye Ktabu chochote au Chapisho lolote la Kumfundisha Mtu vyema Lugha ya Kiswahili aniwekee hapa ili 'Nikidanlodi' haraka sana

aiseee watanzania wana roho mbaya sana. Sasa ulitaka asifurahie maisha sababu kafika uganda? Kwa mujibu wa viwango gani nchi fulani ukifika ndo una exposure?
Genta ana mwezi Uganda na nyuzi 60 za Uganda....hakuna hata Moja anayotoa hata fursa Yani zote za kijinga tu
 
Genta ana mwezi Uganda na nyuzi 60 za Uganda....hakuna hata Moja anayotoa hata fursa Yani zote za kijinga tu
Fursa zinakuja namalizia kuandaa Project ambayo pia itanilazimu kuja huko Tanzania kukutana na Mawaziri Waandamizi Wawili kisha nitaenda Zanzibar, Rwanda na Kenya. Kuna Kitu nakifanya ambacho nataka niache Alama kwa wana Afrika Mashariki kwa Kusaidia Wachache ambao nitawaweza. Vuta subira Wewe Juha na HATER sawa?
 
Fursa zinakuja namalizia kuandaa Project ambayo pia itanilazimu kuja huko Tanzania kukutana na Mawaziri Waandamizi Wawili kisha nitaenda Zanzibar, Rwanda na Kenya. Kuna Kitu nakifanya ambacho nataka niache Alama kwa wana Afrika Mashariki kwa Kusaidia Wachache ambao nitawaweza. Vuta subira Wewe Juha na HATER sawa?
Poa Mimi juha na hater navuta subra
 
Back
Top Bottom