tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,136
- 18,782
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa, huyu mwamba hajawahi kuvalia suruali kiunoni hata siku moja. Suruali zake alikuwa anavalia tumboni.Duh, mzee wa kuvalia suruali juu ya kitovu? Anaumwa nini? Pole zake mwalimu wangu wa annual crops, Mwenyezi Mungu na amponye mja wake!!