Hot bird
Member
- Jan 18, 2021
- 56
- 101
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano.
Leo napenda kuupongeza uongozi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) kwa kufuta udahili wa kozi za shahada ya elimu zenye somo la fizikia.
Wamefanya hivi baada ya kukosa wanataaluma wenye uwezo na weledi wa kufundisha kozi husika ijapokua walijitahidi kudanganya umma kuwa kozi hizo ziko sawa na kuwa uwezo wa kuziendesha wanao wakati wakijua hawawezi kuendesha degree programme hizo.
Nimewahi kuleta uzi kuhusu hilo unaweza kusoma hapa👇:
Pamoja na pongezi hizi,naomba kutaarifu umma huu wa watanzania kuwa bado kuna wanafunzi wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili hapa SUA wanaotakiwa kuendelea kusoma kozi za fizikia huku chuo kikiwa hakina hata lecturer mmoja wa kozi husika,sio hivyo tu bali hata assistant lecturer wa fizikia hakina.
Hali hii inashusha ubora wa elimu na hata hawa waliohitimu mwezi huu wa saba hawako competent kwenye fizikia,atayebisha hii aje apewe faili.
Binafsi naona chuo kinaendelea kuwaibia wanafunzi hawa,inafaa kitoe taarifa TCU kuwa hakiwezi kuendelea kutoa elimu ya kozi husika kwa wanafunzi hao ili waamishiwe vyuo vingine vyenye kujali ubora wa elimu.
How can a university conduct the degree programme without even a single PhD staff in the degree?
Isn't that a deliberate sabotage of the quality of education?
Wewe mkuu wa idara ya Kemia na Fizikia SUA wajibika,hicho kiti ni cha muda tu,hii degree yenu haina maana,wanafunzi hawapati elimu yoyote ya maana.
Wewe mkuu wa hiyo idara,unakumbuka siku ile umewakimbia kwenye kikao wanafunzi wa mwaka wa tatu waliokuwa wamekukomalia kwenye kikao kuwa wanataka mwalimu wa radiology,ukajifanya unapokea simu ukatoka hukurudi?,sasa utaendelea kuaibika hivi hadi lini?
Wewe principal wa mazimbu wajibika japo najua unajifanya uko busy sana kila siku vikao tu,huku ukijua kabisa hao wanafunzi hawapati elimu yoyote kuwajengea uwezo wa kitaaluma kama wewe.
Wewe DVC academic wajibika,japo wewe unajulikana wazi hujui academic ya chuo ilivyoharibika,hata hii kozi hujui ukanjanja unaofanyika hapa mazimbu.
VC fatilia, japo wewe unaangushwa na hao wa chini.
Sisi tuko hapa lindoni kwa sababu ya elimu mbovu kama hizi.
Leo napenda kuupongeza uongozi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) kwa kufuta udahili wa kozi za shahada ya elimu zenye somo la fizikia.
Wamefanya hivi baada ya kukosa wanataaluma wenye uwezo na weledi wa kufundisha kozi husika ijapokua walijitahidi kudanganya umma kuwa kozi hizo ziko sawa na kuwa uwezo wa kuziendesha wanao wakati wakijua hawawezi kuendesha degree programme hizo.
Nimewahi kuleta uzi kuhusu hilo unaweza kusoma hapa👇:
Pamoja na pongezi hizi,naomba kutaarifu umma huu wa watanzania kuwa bado kuna wanafunzi wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili hapa SUA wanaotakiwa kuendelea kusoma kozi za fizikia huku chuo kikiwa hakina hata lecturer mmoja wa kozi husika,sio hivyo tu bali hata assistant lecturer wa fizikia hakina.
Hali hii inashusha ubora wa elimu na hata hawa waliohitimu mwezi huu wa saba hawako competent kwenye fizikia,atayebisha hii aje apewe faili.
Binafsi naona chuo kinaendelea kuwaibia wanafunzi hawa,inafaa kitoe taarifa TCU kuwa hakiwezi kuendelea kutoa elimu ya kozi husika kwa wanafunzi hao ili waamishiwe vyuo vingine vyenye kujali ubora wa elimu.
How can a university conduct the degree programme without even a single PhD staff in the degree?
Isn't that a deliberate sabotage of the quality of education?
Wewe mkuu wa idara ya Kemia na Fizikia SUA wajibika,hicho kiti ni cha muda tu,hii degree yenu haina maana,wanafunzi hawapati elimu yoyote ya maana.
Wewe mkuu wa hiyo idara,unakumbuka siku ile umewakimbia kwenye kikao wanafunzi wa mwaka wa tatu waliokuwa wamekukomalia kwenye kikao kuwa wanataka mwalimu wa radiology,ukajifanya unapokea simu ukatoka hukurudi?,sasa utaendelea kuaibika hivi hadi lini?
Wewe principal wa mazimbu wajibika japo najua unajifanya uko busy sana kila siku vikao tu,huku ukijua kabisa hao wanafunzi hawapati elimu yoyote kuwajengea uwezo wa kitaaluma kama wewe.
Wewe DVC academic wajibika,japo wewe unajulikana wazi hujui academic ya chuo ilivyoharibika,hata hii kozi hujui ukanjanja unaofanyika hapa mazimbu.
VC fatilia, japo wewe unaangushwa na hao wa chini.
Sisi tuko hapa lindoni kwa sababu ya elimu mbovu kama hizi.