Aahh tena tunaosoma hapa vet medicine ndo kabisaaa, Tunafundishwa elimu ya zamani ambapo haiendani na uhalisia wa mambo ys siku hizi, what they think merely personal gain. Upuuzi mtupuHayo ndiyo mawazo ya uongozi wa SUA,ikifika mwezi wa 6 hela zinarudi hazina eti hazijatumika.
Chuo hiki kinauwawa kwa viongozi wake kutokujali elimu bali pesa zao na teuzi.
Huu ukweli wakiambiwa wanaunda zengwe.