Sioni haja ya kwenda chuo

Kaka kaka wewe kama mimi tuuu...
Naona muda unakwenda alafu nachokipata ni tofauti ..

Una soma computer ila unatoka hapa kichwani hamna kitu wewe unajua defin tuu ila practical hamna kitu kabisa.

Hao wanaosema degree itakulipa inategemea na Degree ya nini..

Kuna. Sisi ambao tusha left huko vyuo mapema kabisa.. kazi ni kwenda ku sign hiyo 700k na kupita hvi.

Kiufupi tulienda kutafuta capital ya kufanya mambo mengine basi...
 
Cha kwanza dogo usifuate nyayo za Kanye West uliyemquote utapotea, pili chagua elimu ya vitendo kwa dunia ya sasa hivi, elimu ni nguzo muhimu ambayo kwa vitendo itakusaidia dunia hii, nilipokuwa ulipo nikitoka high school niliwaza kama wewe ila mbeleni nilifunguka akili , nilisoma kwa mateso sana chuo cha sheria UDOM ila leo matunda yake nnayaona , walio kataa kuendelea na masomo hamna anayenifikia hata kwa upeo wa mbali .

Usiangalie jobless wenzio kila mtu na nyota na safari yake , pambania kikombe chako papo hapo katktk ya wenzio.

mwisho cheki course isiyojulikana au kuwa watu wengi , nenda bandari , benki , industry uliza waliopo kule fanya research yako kisha chukua hatua , tahadhari usijaribu kufanya uhasibu or business courses .... all the best
Umeongea kisomi kweli mkii
 
Usipoenda chuo utafikisha miaka 40 ukiwa mtupu na ukienda utafikisha miaka 40 ukiwa na elimu, you choose, Waone wasanii wa zamani wengi wamekula kitabu ndio wakaanza uhuni, japo katika jamii wengi walionekana masela, kina Master J wamekula engineering zao, mtu kama S2kizz kala kitabu we muone vile uchukulie poa, jux ni computer scientist mzuri tu ana degree yake, waone wanagonga beats lakini ikitokea hamna mziki wanatoa vyeti wanaendelea na maisha.
Hao wote kipindi chao, walikuwa na opportunity! Alaf soko lilikua huru. Sijui kuhusu s2kizy ila wengine wote walibebwa na upepo.
 
Kaka kaka wewe kama mimi tuuu...
Naona muda unakwenda alafu nachokipata ni tofauti ..

Una soma computer ila unatoka hapa kichwani hamna kitu wewe unajua defin tuu ila practical hamna kitu kabisa.

Hao wanaosema degree itakulipa inategemea na Degree ya nini..

Kuna. Sisi ambao tusha left huko vyuo mapema kabisa.. kazi ni kwenda ku sign hiyo 700k na kupita hvi.

Kiufupi tulienda kutafuta capital ya kufanya mambo mengine basi...
Facts, hata mm nishapita huko kitambo, sema jamii na wabongo ni wajinga sana wana support upuuzi sana. Elimu hasa kwa Africa ni kujua basics tu. Baada ya hapo unatakiwa ujitafta wewe kama wewe.

Elimu ilikua zamani sasa kuna decentralisation haiitaji kwenda chuo. Huko ninkupoteza muda na rasilimali.
 
Facts, hata mm nishapita huko kitambo, sema jamii na wabongo ni wajinga sana wana support upuuzi sana. Elimu hasa kwa Africa ni kujua basics tu. Baada ya hapo unatakiwa ujitafta wewe kama wewe.

Elimu ilikua zamani sasa kuna decentralisation haiitaji kwenda chuo. Huko ninkupoteza muda na rasilimali.
Daaha ani ni kupoteza mda aiseeeee
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Elimu wanaoitukana ni walio nayoo we jichangaje utajutaa
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Kumbuka Elimu ni Ufunguo wa Maisha.
Pia Education is better than money.
 
mwisho cheki course isiyojulikana au kuwa watu wengi , nenda bandari , benki , industry uliza waliopo kule fanya research yako kisha chukua hatua , tahadhari usijaribu kufanya uhasibu or business courses .... all the best
Wakati nipo zangu UDBS niliambiwa hivohivo eti dogo course za biashara izo hatari.Nikasema potelea pote nikazuka zangu account saivi jaah ame bless,yale magari ambayo watu wa masters wanatuoshea pale mabibo hostel saivi hayanishtui😂ila kutoboa pia ni bahati🙌
 
Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Kwa kiasi fulani uko sahihi, pia na kwa kiasi fulani hauko sahihi.
Ila kupanga ni kuchagua, uamuzi ni wako!
 
Back
Top Bottom