Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 11,186
- 21,053
Kaka kaka wewe kama mimi tuuu...
Naona muda unakwenda alafu nachokipata ni tofauti ..
Una soma computer ila unatoka hapa kichwani hamna kitu wewe unajua defin tuu ila practical hamna kitu kabisa.
Hao wanaosema degree itakulipa inategemea na Degree ya nini..
Kuna. Sisi ambao tusha left huko vyuo mapema kabisa.. kazi ni kwenda ku sign hiyo 700k na kupita hvi.
Kiufupi tulienda kutafuta capital ya kufanya mambo mengine basi...
Naona muda unakwenda alafu nachokipata ni tofauti ..
Una soma computer ila unatoka hapa kichwani hamna kitu wewe unajua defin tuu ila practical hamna kitu kabisa.
Hao wanaosema degree itakulipa inategemea na Degree ya nini..
Kuna. Sisi ambao tusha left huko vyuo mapema kabisa.. kazi ni kwenda ku sign hiyo 700k na kupita hvi.
Kiufupi tulienda kutafuta capital ya kufanya mambo mengine basi...