Inaweza isikulipe pia. Japo elimu ni muhimu ila lazima ujiongeze kupambana. Maana watu wengi wanafanya mishe tofauti na major zao za vyuoni.Umenifanya nipige hesabu ya ada na matumizi nimepata zaidi ya 12M😂
Acha ujinga degree itakulipa siku moja, hata ukichelewa ila Itakulipa tu punguza papara..!
Lengo lako ni nini?? Waulize ambao walikua na maoni km yako wakayatimiza kisha waulize walioendelea kusoma,Ajira ngumu,
Kupoteza muda,
Kupoteza pesa ambayo kiuharisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.
kuingia madeni yasio ya razima, (mikopo)
Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.
Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.
High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
ulisomea nini chuo if i may askMm nimemaliza high school na kwenda chuo, ila nilijua elimu ya chuo haina manufaa. It depends na malengo ila kwangu it means nothing.
Atafundisha hata chekechea apate ela unazan akifika age 30+ atamuomba nan ela akamuelewaUnafikiri chuo ndo kitaleta mali? 🤣🤣🤣
Mapenzi yanakutesa sana mkuu😂😂 jus kidding.Ajira ngumu,
Kupoteza muda,
Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.
Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)
Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.
Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.
High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
There's something you need to know about the world, and the purpose of schools na ma vyuo. Nimesomea fields mbili siwezi zisema from science to arts. Ila nilicho kiona hakuna applications kwenye kasi na speed yakimaendeleo dunianiulisomea nini chuo if i may ask
Lengo la kwanza la kwenda chuo ni kujifunza elimu na kuongeza maarifa...hatuendi chuo kwaajili ya kupata ajira .Ajira ni bonus tu...maarifa utakayoyapata yatadumu hadi unakufaAjira ngumu,
Kupoteza muda,
Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.
Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)
Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.
Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.
High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Kulipa sio kuajiriwa tu! Kupanua akili ya kuweza kuchanganua mambo, akili ya kuweza kujua niingie wapi nitoke vipi kupata michongo ya pesaInaweza isikulipe pia. Japo elimu ni muhimu ila lazima ujiongeze kupambana. Maana watu wengi wanafanya mishe tofauti na major zao za vyuoni.
Sio wasomi wote ni wataka ukwasi kama wa wanasiasa wa Tz, Shimba ya Buyenze nadhani, alieleza hili kwa uzuri kabisa.Unafikiri chuo ndo kitaleta mali? 🤣🤣🤣
Lazima uende shule kidogoNi muhimu, ila sio mpka uende chuo
So unataka kwenda Wapi?Kila Uamuzi huwa na Pros and Cons.Tafakari UPYAAjira ngumu,
Kupoteza muda,
Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.
Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)
Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.
Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.
High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West