Sioni haja ya kwenda chuo

Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Ishu ni pesa sio elimu ya chuo,kama una maarifa ya kuingiza mkwanja piga chini elimu ya chuo!
Ungesema unaacha kutafuta pesa ningekushangaa.
 
Acha ujinga degree itakulipa siku moja, hata ukichelewa ila Itakulipa tu punguza papara..!
Kuna watu ni bodaboda mwaka wa 6 huu. Degree haijawahi kurejesha hata buku iliyotumika kwenye ada. Mleta mada yuko sahihi.

Hii ya kutiana moyo kuwa kuna siku degree italipa siyo guarantee.
 
Kuna watu ni bodaboda mwaka wa 6 huu. Degree haijawahi kurejesha hata buku iliyotumika kwenye ada. Mleta mada yuko sahihi.

Hii ya kutiana moyo kuwa kuna siku degree italipa siyo guarantee.
Watu wengi bado wanadhana potofu kuhusu degree, ni kama wameamninshwa bado ina manufaa! Ambapo kama hutoajiliwa na kujiajiri huna tofauti na mwenye cheti cha form 4
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom