Kumbe GSM ni Mchina?Kufanya kazi na muhindi huwezi kutoboa
Hata mimi jina lake limenitoka, ila story yake juu ya kubwa la maokoto iko sahihi.Namkumbuka,,akaondoka Tanzania Ila ujio wake si haba,Kaondoka na Gadiel Michael kamagi now anazima mbavu ya kushoto Ajax Cape Town,na mwalimu yule yule,utanikumbusha jina mkuu
Huna akili kuhusu jezi hujui mkataba ulitangazwa kapewa SandalandBado kuna swala la uuzaji wa jezi hauna ukaguzi wowote wala maelezo ya timu inafaidika vipi ktk mauzo hayo. Ujanja huu unatufanya tuwe tegemezi kwa kila nyanja iwe usajili hata uendeshaji wa timu unamtegemea mtu mmoja ambapo ni jambo la hatari sana kwa maendeleo ya timu.
Hili linawezekana kabisa na kwa taarifa tu ni kwamba mpaka sasa kwenye hii vita Try Again na genge lake wanaongoza ndio maana Mo anahaha na mechi ya Yanga.Vipi Singida black star na yanga mdhamini kuwa mmiliki hiyo Sheria haihusiki.
Njia nyingine ni kuachia hisa zake Azam
Hata weza na sio rahisi hisa mtu anauza kwa hiari yake na huwezi mlazimishaLisingekuwa agizo la kuanza upya mchakato Try again asingepata nguvu ya kuthubutu kumpindua Mo, hii ngoma ni ngumu kwa maana kila mmoja ana nafasi.
Exactly azam anamiliki bakharesa hawezi miliki tena na simbaMakolo washapoteana Hadi wajipate miaka kumi tayari,Ila Kuna mahala umetupiga,
1:Tajiri anaishi Uturuki
2:Familia Moja/mtu, au kampuni moja haiwezi Kumiliki Timu zaidi ya moja Ligi moja
Lakini mkuu hapo kwa team naona sawaMakolo washapoteana Hadi wajipate miaka kumi tayari,Ila Kuna mahala umetupiga,
1:Tajiri anaishi Uturuki
2:Familia Moja/mtu, au kampuni moja haiwezi Kumiliki Timu zaidi ya moja Ligi moja
We unaona ni muhindi yule?Kumbe GSM ni Mchina?
Mdhamini kuwa mmoja sio tatizo as long sio mmilikiVipi Singida black star na yanga mdhamini kuwa mmiliki hiyo Sheria haihusiki.
Njia nyingine ni kuachia hisa zake Azam
Nashukuru sana kwa kunigundua sina akili, naomba uniwie radhi sana kwa kukukwaza kwa nilichokiandika hapo juu.Huna akili kuhusu jezi hujui mkataba ulitangazwa kapewa Sandaland
Hilo haliwezekani sababu ni mmiliki wa azam tayariHuyu MO atuache tu kama inawezekana japo anatoa hela kwa uwezo wake ila drama zinamzonga sana amekua mtu wa kuzungukwa na matukio sana.
Nikikumbuka kuna watu walishawahi changia mchango wa uwanja ila mpaka leo kimya ndo nazidi kutokumuamini Guvu moya
Sasa bakhressa akiwa na asilimia hapa unyamani itakuaje maana si mmiliki wa Azam FC?
Mbona ameshindwa kuifanikisha azam mambo sio marahisi hivyoMimi kama shabiki wa Yanga naomba Mungu hilo lisifanikiwe, kwetu ni heri Mo kuliko SSB, hana mchezo yule akiweka nguvu zake.
Hahahahaha..nimekukubali ktk hili bi mdada una source..na source iko vzrNinazo habari nyingine kubwa nne ikiwemo inayomuhusu boss wa TFF moja kwa moja basi tu nakosa muda wa kuandika.
Chanzo nyeti ninacho Mkuu. Lols
Ukweli ni kwamba kama sio SSB kupewa Simba basi bado mtaendelea kumuhitaji Dewj pamoja na drama zake zote hizo.Huyu MO atuache tu kama inawezekana japo anatoa hela kwa uwezo wake ila drama zinamzonga sana amekua mtu wa kuzungukwa na matukio sana.
Nikikumbuka kuna watu walishawahi changia mchango wa uwanja ila mpaka leo kimya ndo nazidi kutokumuamini Guvu moya
Sasa bakhressa akiwa na asilimia hapa unyamani itakuaje maana si mmiliki wa Azam FC?
Huko kwenye jezi ndiko kuna balaa Mkuu. Watoto wa mjini ndio wameshika mpini, Sandaland yuko pale kama bendera tu.Bado kuna swala la uuzaji wa jezi hauna ukaguzi wowote wala maelezo ya timu inafaidika vipi ktk mauzo hayo. Ujanja huu unatufanya tuwe tegemezi kwa kila nyanja iwe usajili hata uendeshaji wa timu unamtegemea mtu mmoja ambapo ni jambo la hatari sana kwa maendeleo ya timu.