Baada ya kusoma nimeelewa,napingua kauli yangu...japo ishu inabaki kuwa ni tetesi,zaweza kuwa kweli au la.Shida ni kwamba watu mnatoa maoni kwenye kichwa cha habari hamsomi habari yote.
Kwani umewahi kumuona nani aliyekamatwa kwa alichokiandika hapa JF Mkuu?Kama jamiiforums ingekuwa huru Kama inavyodai ningeweka Hadi viongozi wa serikali wanaohujumi Simba , wanaomlinda mo na waliomweka try again.
Ningemweka wazi kiongozi aliyezimabsakata la rushwa baada ya kiongozi wa Simba kukamatwa na Takukuru.
Try again ni Simba Kama anaona Mambo anayofanya mo hayana faida kwa Simba kwanini aendelee kumsupport wakati wako wengine wanayoweza kufanya zaidi ya mo.
Mangungu Hana nguvu yoyote zaidi mo analipa watu mitandaoni kuwasakama.
Hakuna Ila wanafuta threadKwani umewahi kumuona nani aliyekamatwa kwa alichokiandika hapa JF Mkuu?