Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Shabiki lialia wa yanga kaanzisha thread kuhusu Simba?
2. Je swed mkwabi amewahi kuwa mwenyekiti wa board mwaka gani? Mwenyekiti wa board serious?
Tufike mahala tuache hizi propaganda ambazo hazina tija kwa mpira wetu,
Mimi naamini tunaweza kuwa na yanga bora, na vilevile tukawa na Simba bora,.
 
Kama jamiiforums ingekuwa huru Kama inavyodai ningeweka Hadi viongozi wa serikali wanaohujumi Simba , wanaomlinda mo na waliomweka try again.
Ningemweka wazi kiongozi aliyezimabsakata la rushwa baada ya kiongozi wa Simba kukamatwa na Takukuru.
Try again ni Simba Kama anaona Mambo anayofanya mo hayana faida kwa Simba kwanini aendelee kumsupport wakati wako wengine wanayoweza kufanya zaidi ya mo.
Mangungu Hana nguvu yoyote zaidi mo analipa watu mitandaoni kuwasakama.
 
Kama jamiiforums ingekuwa huru Kama inavyodai ningeweka Hadi viongozi wa serikali wanaohujumi Simba , wanaomlinda mo na waliomweka try again.
Ningemweka wazi kiongozi aliyezimabsakata la rushwa baada ya kiongozi wa Simba kukamatwa na Takukuru.
Try again ni Simba Kama anaona Mambo anayofanya mo hayana faida kwa Simba kwanini aendelee kumsupport wakati wako wengine wanayoweza kufanya zaidi ya mo.
Mangungu Hana nguvu yoyote zaidi mo analipa watu mitandaoni kuwasakama.
Kwani umewahi kumuona nani aliyekamatwa kwa alichokiandika hapa JF Mkuu?
 
Back
Top Bottom