Baada ya kumjua kuwa kumbe Adui Mkubwa wa Simba SC ni Mwekezaji Mo Dewji nawaomba Msamaha 'Mangungu' na 'Try Again'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,894
109,620
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
 
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
Kelele nyiiingi utadhani mkipewa timu hata mwezi mmoja utaiweza.
 
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
Halafu timu tukupe wewe sio? Hopeless argument ever.
 
Pale simba Mhene na Mangungu ndio virus tuwe wakweli jamani...

Huyu Dewji hata ningekua mimi nisingetoa hela huku nikijua zinaliwa tu
NO NO NO. MO Dewji ni kirusi kikali sana. Post nyingi za kumtuhumu Mangungu anazifadhili MO Dewji. Kisa ni kuwa kwenye kugombea nafasi ya Mwenyekiti wanachama wa Simba walimpa kura nyingi Mangungu kuliko yule mgombea aliyekuwa na sapoti ya MO Dewji. Kwa mtazamo wake huyu anayejiita mfadhili ni kuwa Simba wakifungwa basi wanachama watachachamaa wamwondoe Mangungu madarakani, Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa Dewji alihusika Simba kufungwa goli 5 na Yanga. Simba aliifunga Yanga kombe la hisani. Akacheza na El Ahly African Football League mechi mbili japo alitolewa lakini aliiheshimisha Simba. Ghafla anakuja MO eti anaunda mkamati ya kumsaidia kuiongoza Simba siku chache kabla kucheza na Yanga. Matokeo tunayajua. Ile kamati haijasikika tena. Na wajumbe wa ile kamati ni mashabiki wa yule mgombea aliyeshindwa na Mangungu kwenye uchaguzi. Tahadhari wapewe viongozi wa Simba kuwa kama ni msaada wote kwa timu autoe ila kamwe wasomruhusu MO na watu wake kwenda kambini kabla ya mechi na Yanga. MO anataka Simba ipate aibu kubwa zaidi ili iwe sababu kumwondoa Mangungu
 
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
Acheni uhuni nyie,viongozi wa Simba ni tatizo namba moja,kisha tatizo namba 2 ni mwekezaji na tatizo namba 3 ni wanachamba wa Simba wa Dar wengi ni njaa kali na hawana mwelekeo wala uelewa,hawana mapenzi na timu ila kazi yao kuvizia fursa za kupiga hela tu kupitia club.
Wewe uliyeandika hapa huna sababu ya kuwatetea au la wamekutuma kuwa chawa wao.
 
Mkuu waza nje ya box?tajiri gani analiwa hela misimu yote miaka mitatu hajui inatumikaje?Mo hatoi hela mkuu,ila kaweka mkononi viongozi wa chini ili wamlindie maslahi
Huo ndio ukweli
 
NO NO NO. MO Dewji ni kirusi kikali sana. Post nyingi za kumtuhumu Mangungu anazifadhili MO Dewji. Kisa ni kuwa kwenye kugombea nafasi ya Mwenyekiti wanachama wa Simba walimpa kura nyingi Mangungu kuliko yule mgombea aliyekuwa na sapoti ya MO Dewji. Kwa mtazamo wake huyu anayejiita mfadhili ni kuwa Simba wakifungwa basi wanachama watachachamaa wamwondoe Mangungu madarakani, Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa Dewji alihusika Simba kufungwa goli 5 na Yanga. Simba aliifunga Yanga kombe la hisani. Akacheza na El Ahly African Football League mechi mbili japo alitolewa lakini aliiheshimisha Simba. Ghafla anakuja MO eti anaunda mkamati ya kumsaidia kuiongoza Simba siku chache kabla kucheza na Yanga. Matokeo tunayajua. Ile kamati haijasikika tena. Na wajumbe wa ile kamati ni mashabiki wa yule mgombea aliyeshindwa na Mangungu kwenye uchaguzi. Tahadhari wapewe viongozi wa Simba kuwa kama ni msaada wote kwa timu autoe ila kamwe wasomruhusu MO na watu wake kwenda kambini kabla ya mechi na Yanga. MO anataka Simba ipate aibu kubwa zaidi ili iwe sababu kumwondoa Mangungu
Mpira ni mchezo wa wazi
Uliangalia mechi ya Simba vs Yanga ya ngao ya jamii?
Uliona performance ya Yanga dhidi ya Somba japokuwa mlibeba ngao jamii?
Yanga waliizidi Simba kila kitu na watu wengi wa Simba walinusa harufu ya hatari ila waliamini pengine kutakuwa na improvement mbeleni.
Mechi ya Simba na Al Ahly, Al Ahly waliwakoss Simba magoli zaidi ya matano ila tu walikosa umakini na utulivu golini.

Unazungumzia eti mechi ya Yanga ilifanyika hujuma, hujuma gani wakati Simba ilikuwa hati hati kufuzu klabu bingwa hatua ya makundi? Simba ilicheza na power dynamos na ilishindwa kuifunga mechi zote mbili. Hakuna cha hujuma Simba ilifungwa na Yanga kwa kuzidiwa ubora
 
NO NO NO. MO Dewji ni kirusi kikali sana. Post nyingi za kumtuhumu Mangungu anazifadhili MO Dewji. Kisa ni kuwa kwenye kugombea nafasi ya Mwenyekiti wanachama wa Simba walimpa kura nyingi Mangungu kuliko yule mgombea aliyekuwa na sapoti ya MO Dewji. Kwa mtazamo wake huyu anayejiita mfadhili ni kuwa Simba wakifungwa basi wanachama watachachamaa wamwondoe Mangungu madarakani, Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa Dewji alihusika Simba kufungwa goli 5 na Yanga. Simba aliifunga Yanga kombe la hisani. Akacheza na El Ahly African Football League mechi mbili japo alitolewa lakini aliiheshimisha Simba. Ghafla anakuja MO eti anaunda mkamati ya kumsaidia kuiongoza Simba siku chache kabla kucheza na Yanga. Matokeo tunayajua. Ile kamati haijasikika tena. Na wajumbe wa ile kamati ni mashabiki wa yule mgombea aliyeshindwa na Mangungu kwenye uchaguzi. Tahadhari wapewe viongozi wa Simba kuwa kama ni msaada wote kwa timu autoe ila kamwe wasomruhusu MO na watu wake kwenda kambini kabla ya mechi na Yanga. MO anataka Simba ipate aibu kubwa zaidi ili iwe sababu kumwondoa Mangungu
Mo kama hamataki Mangungu anamtaka nani ?
 
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
Nashukuru wengi. Mnaanza kuliona hilo
 
Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?

Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
bro nakushauri uchunguze jambo pande zote mbili,nahisi shida sio kwa MO tu
 
Back
Top Bottom