GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,918
- 109,692
Haya chagua jibu moja tu sahihi je, unadhani kwa 100% Matatizo ya Simba SC yanamhusu nani hasa kati ya wafuatao?
a. Kocha Mihasira Benchika
b. Tajiri Mwekezaji Muongo Muongo
c. Mwana Yanga SC Mangungu na mwana Simba SC, ila Rafiki mkubwa wa GSM Abdallah Mhene Try Again
d. Wachezaji wasio wa Kiushindani wa Simba SC
Haya kila mwana Simba SC aje hapa apige Kura yake ili tunapojiandaa Kuchapana Bakora tujue tunaanza na nani Okay?
a. Kocha Mihasira Benchika
b. Tajiri Mwekezaji Muongo Muongo
c. Mwana Yanga SC Mangungu na mwana Simba SC, ila Rafiki mkubwa wa GSM Abdallah Mhene Try Again
d. Wachezaji wasio wa Kiushindani wa Simba SC
Haya kila mwana Simba SC aje hapa apige Kura yake ili tunapojiandaa Kuchapana Bakora tujue tunaanza na nani Okay?