LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,615
- 18,541
lazima mchanganyiko utokee, kuna offspring watatokea, mind kuna waarabu, wasomali, waethipia, waafrika wa west african countries/states. Itakuwa ni mwingiliano wa ajabu wa tamaduni na dini na miaka ya mbeleni kutakuwa na wanyarwanda wa ajabu/machotara sio kama hawa tuliozoea kuwaona. Historia itakuja kutoa siri ya uingereza kwa nini ilifanya hivyoFaida Ni Nyingi Sana Hasa Wanaelekea Miaka Kadhaa Mbele
Rwanda Itatazamwa Na Hayo Mataifa Walikotoka Hao Pia Baadaye Kuna Mchanganyiko Unataka Utengenezwe